Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣Mkemia mkuu wa serikali!🤣🤣🤣🤣 sisy leo nipo nabalance km mkemia mkuu hapa 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mkemia mkuu wa serikali!🤣🤣🤣🤣 sisy leo nipo nabalance km mkemia mkuu hapa 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Acha kunipa sifa kama alizopewa Le Mutuz mzee wa Kibamia!Shem hebu nitumie laki hawakujui km wewe pedezee Jack Pemba 😂😂😂😂
😂😂😂😂 usisahau na ile G Wagon yako sisy hakujui huyu km wewe bosslady🤣😂😂
Ngoja aonyeshe kwanza motokaa anayotumia kwendea kubeba box halafu watoto wa Samia tumuonyeshe magari😂🤣🤣.
Ila unapenda ugomvi shoste🤣😂😂
Kweli,lililetwa kwenye ma nylon halafu liko juu ya gari ya kubebea magariDada Kantri kaninywesha chingili 😂😂😂
Fanya basi nipande BMW la shem na mie nivimbe nasikia alichukua zero km eti😜
Vitu upendavyo,ukorofi na story za tabia mbaya 🤣Shemeji ongeza sauti huku nyuma hawajasikia 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 mpe ajira bosslady asishindie kubeba box tu ataoata TBHata huko huko aliko tuna appartments tumepangisha wazungu mitaa ambayo yeye hawezi ku afford😂🤣
🤣😂😁Hakujui km wewe raisi wa Buza, kwa lulenge mpk kwa mparange kote umejaza yard ndinga zimepaki za kushato 😂😂😂
TUKANA UONE shem kweli wewe tajiri ndiomana sisy ana kiburi ss hivi jukwaani 🤣🤣🤣Kweli,lililetwa kwenye ma nylon halafu liko juu ya gari ya kubebea magari
Kwenye ubora wangu 😂😂😂🤣🤣🤣Mkemia mkuu wa serikali!
Shem mimi si Tajiri,mimi ni mtu mwenye maisha ya kawaida kama watu wengine!TUKANA UONE shem kweli wewe tajiri ndiomana sisy ana kiburi ss hivi jukwaani 🤣🤣🤣
Comment za maskini hajibu, anajibu za matajiri wenzieeee!!! 🤣🤣🤣🤣
Mmeshindwa kuonyesha ndinga mnakuja na myth ushindwee😁😂🤣hivi huyu si ndo alituambiaga humu alimdangia professor akaambukizwa ukimwi na yeye akaja waambukiza watu humu jf, iyo siku kivumbi kiliwaka humu 🤣🤣🤣
Bora umeongea ukweli kaka kingine watanzania msitumie njia za magendo kuzamia ulaya. Kwa sababu nchi yetu ina amani ni vigumu kukubaliwa asylum. Huku waafrika wengi ambao nimewakuta homeless ni walioingia kimagendo hawana papers . Njia nzuri ya kuja huku ni kusoma au kuapplya kazi. Kuna watu wameaplly kazi wamepata huku. Wapo wengi tu lakini tatizo sisi hatupo serious. Ulaya kupata kazi inabidi ujue unachokifanya 100 percent siyo kubahatisha.Uk, China, Ethiopia,German,Danmark,Norway,Sweden, Spain, Netherland,Gambia,Ghana,Nigeria,India,Mexico,Thailand,Turkey,Nepal na mwakani Mungu akijalia nitaenda Ivory Coast.
Ni kweli Tanzania ni nchi masikini yenye kero nyingi likiwemo hilo la umeme ila mimi,narudia MIMI napenda kuishi Tanzania huko kwingine kunafurahisha kwenda kutembea then narudi zangu home sweet home Tz.
Yrust me hakuna mtu yeyote mwenye maisha yake bongo ataenda kuishi huko maulaya na Us.
Hivi unafikiri tatizo la umeme linamuathiri kila mtu aliyeko Tz?Hivi unafikiri kila mtu aliyeko TZ anatibiwa TZ?
Mimi nikipata gonjwa kubwa nitakimbilia kutibiwa Sweden.
Tz ni jehanamu kama unaishi chini ya dola moja ila ukiwa na kakipato kazuri ka kawaida tu kuishi Tz ni raha.
Hana jeuri hiyo labda akaponee google🤣😂😁Mkuu akikuonyesha utanitumia namba yako nikutumie laki 2 ya Vocha!
😂😂😂 limeisha shemeji huna baya tajiri wa jfAcha kunipa sifa kama alizopewa Le Mutuz mzee wa Kibamia!
Ukihitaji pesa unakuja pm unaweka namba
Ewaaaaaah!umegundua Hilo?tatizo lao wanamakasiriko sana🤣🤣TUKANA UONE shem kweli wewe tajiri ndiomana sisy ana kiburi ss hivi jukwaani 🤣🤣🤣
Comment za maskini hajibu, anajibu za matajiri wenzieeee!!! 🤣🤣🤣🤣
Siku hizi tuna google search...ukitumiwa picha unahakikisha kama sio duplicate ☺️Hana jeuri hiyo labda akaponee google🤣😂😁
😂😂😂😂 Tulia wewe leo tuna match kali hapaVitu upendavyo,ukorofi na story za tabia mbaya 🤣
mandinga gani tena mtoa mada kashasema anasukuma bimmer la mtumba mpaka wa marekani wanaona wivuMmeshindwa kuonyesha ndinga mnakuja na myth ushindwee😁😂🤣