Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

🤣😂😂
Ngoja aonyeshe kwanza motokaa anayotumia kwendea kubeba box halafu watoto wa Samia tumuonyeshe magari😂🤣🤣.

Ila unapenda ugomvi shoste🤣😂😂
😂😂😂😂 usisahau na ile G Wagon yako sisy hakujui huyu km wewe bosslady
 
Ngugu yangu yupo marekani ana Volvo mpya kabisa,imategemea u
nafanya nini huko Marekani
 
TUKANA UONE shem kweli wewe tajiri ndiomana sisy ana kiburi ss hivi jukwaani 🤣🤣🤣
Comment za maskini hajibu, anajibu za matajiri wenzieeee!!! 🤣🤣🤣🤣
Shem mimi si Tajiri,mimi ni mtu mwenye maisha ya kawaida kama watu wengine!

Utofauti wangu na Kiranga ni kwamba,mimi namiliki nyumba ila yeye amepanga!
 
Uk, China, Ethiopia,German,Danmark,Norway,Sweden, Spain, Netherland,Gambia,Ghana,Nigeria,India,Mexico,Thailand,Turkey,Nepal na mwakani Mungu akijalia nitaenda Ivory Coast.

Ni kweli Tanzania ni nchi masikini yenye kero nyingi likiwemo hilo la umeme ila mimi,narudia MIMI napenda kuishi Tanzania huko kwingine kunafurahisha kwenda kutembea then narudi zangu home sweet home Tz.

Yrust me hakuna mtu yeyote mwenye maisha yake bongo ataenda kuishi huko maulaya na Us.
Hivi unafikiri tatizo la umeme linamuathiri kila mtu aliyeko Tz?Hivi unafikiri kila mtu aliyeko TZ anatibiwa TZ?
Mimi nikipata gonjwa kubwa nitakimbilia kutibiwa Sweden.

Tz ni jehanamu kama unaishi chini ya dola moja ila ukiwa na kakipato kazuri ka kawaida tu kuishi Tz ni raha.
Bora umeongea ukweli kaka kingine watanzania msitumie njia za magendo kuzamia ulaya. Kwa sababu nchi yetu ina amani ni vigumu kukubaliwa asylum. Huku waafrika wengi ambao nimewakuta homeless ni walioingia kimagendo hawana papers . Njia nzuri ya kuja huku ni kusoma au kuapplya kazi. Kuna watu wameaplly kazi wamepata huku. Wapo wengi tu lakini tatizo sisi hatupo serious. Ulaya kupata kazi inabidi ujue unachokifanya 100 percent siyo kubahatisha.
 
Acha kunipa sifa kama alizopewa Le Mutuz mzee wa Kibamia!

Ukihitaji pesa unakuja pm unaweka namba
😂😂😂 limeisha shemeji huna baya tajiri wa jf
Makofi matatu kwa shemeji
Wah Wah Wah
Nani anabisha ana pesa kumzidi TUKANA UONE ?!!!

Hakunaaaaaaaaaa (in diaspora’s voice)🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom