Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

[emoji38][emoji38][emoji38]

Yani mtu uache kutimkia US ubanane hapa matako na maccm

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
mtoa mada hajielewi,ajiulize why watu wa mikoani wanakimbilia dar??Kwenye miji mikubwa iliyoendelea kuna fursa nyingi na mzunguko mkubwa wa pesa,frank sinatra alishasema "if you can make it here(NYC)You can make it anywhere" kufeli kwa massawe na kiria hakufanyi wachaga wasije dar,what about mengi??angalia waliofaulu
 
Sasa Brother kama ni hivyo si bora mtu ukaja Ujerumani. Maana huku ukija na cheti chako ufanyiwa training ya wiki sita then unaanza kazi. Na kuna uhaba wa skilled labour. Changamoto ni lugha tu.
Toa connection ya ujerumani tuje mkuu! Tuungalishe na makampuni hayo kiongozi Au kuwa ajenti tukusogezee mitonyo

Kiroho safi kunjua moyo mkuu tukuze uchumi wa familia na taifa
 
Achana nae shemeji yako huyo wa zamani.
Tuliachana nikapata bwana na mwenzangu Kim Jong Jr akapata bwana wake wa maana tu.Shida imekuja pale mwenzangu aliachwa na bwanake,akataka kurudi akakita mie niko na bwanangu nikakataa.😂🤣🤣.
UKIMWI kweli mimi na yeye tunao.Uliutoa huko kwa madanga yake akaniletea ila kwa vile alikua ananipa show za maana sikujali nikaanza zangu kula ARV.Na shida naweza kumrudia awe mume mdogo tatizo akipata tu bwana ataniacha tena.
🤣🤣🤣🤣🤣 khaaaaa!!
Nimecheka mpk mbavu zimeniuma
 
Sawa nina UKIMWI na aliyeniletea ni wewe mpenzi wangu wa zamani.Huo uzi wewe tu ndio unaoujua kipenzi?
How come just from nowhere unaanza kunivamia!?Nimekukosea nini?
Kuna popote nimeharibu deal zako za kitapeli unazofanya humu?!
Ushoga wewe!
Uchokozi wewe!
Utapeli wewe!
Upastor wewe!
Kidume cha mbegu wewe!
Chaumbea wa PM wewe!

Katibu taco hilo litaisha kwa fungus.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aloooo!! Leo umekunywa nini sisy??
Itabidi upimwe mkojo, nina wasiwasi kuna kitu umetumia!
 
Go get fucked a dirty ass moron.


Now you deserve my ignore list Button...
Mtoto wa raisi mwenye misimamo una surrender vipi kirahisi hivi?? Emu usimu ignore mrembo tuendelee bhana 😂😂😂
Afu utashangaa anakuja mkeo kipenzi
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Scandinavia ni nchi ambazo naweza ku-recommend mtu kuishi na possibly Canada pia. Sijawahi kukaa Uingereza lakini nadhani kwa mtu ambaye tuseme anakwenda kusoma Uingereza, mnaobaki hapa nchini mnatakiwa kuandaa mpango maalum wa kuja kumpa msaada pindi atakapokuwa amemaliza masomo yake huko na hatmaye kurudi nyumbani
 
Toa connection ya ujerumani tuje mkuu! Tuungalishe na makampuni hayo kiongozi Au kuwa ajenti tukusogezee mitonyo

Kiroho safi kunjua moyo mkuu tukuze uchumi wa familia na taifa
Haina haja ya malipo hakikisha una Degree au Bachelor's . Then unachukua kozi ya kijerumani na unafanya mtihani Goethe. Then unappply kazi kwenye website zao. Kuna kazi wanakulipia hadi nauli ya ndege nyingine hnajilipia lakini ukifika huku wanakupa nakaza na hela ya kuanzia maisha ukisubiri mshahara. Kazi zinazohitaji watu wengi ni IT na sekta ya afya. NB. Inabidi uijue kazi na uipende. Usije kwa njia ya kuzamia utajuta.
 
Haina haja ya malipo hakikisha una Degree au Bachelor's . Then unachukua kozi ya kijerumani na unafanya mtihani Goethe. Then unappply kazi kwenye website zao. Kuna kazi wanakulipia hadi nauli ya ndege nyingine hnajilipia lakini ukifika huku wanakupa nakaza na hela ya kuanzia maisha ukisubiri mshahara. Kazi zinazohitaji watu wengi ni IT na sekta ya afya. NB. Inabidi uijue kazi na uipende. Usije kwa njia ya kuzamia utajuta.
Lugha ya kijerumani level gani? Na ada ni kiasi gani? Mpka cheti?

Au ata nikisoma mtaani inafaa?
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
izo nchi zote nishatembea,wabongo wote wanaoishi nchi za wazungu, wana maisha magumu hata kama wakiwa na pesa. ni third class. huko huwa tunaenda kutafuta pesa tukipata tunarudi kuja kufanya ujasiriamali bongo ila kuishi huko kama kwenu, hautakuja kupata furaha na heshima ya kweli. no offence.
 
Li mtu Lina koroma club house 24 hrs sijui kazi gani wanafanya na saa ngapi ila ukisikia sauti zao ni kama wapo rizim masaa yote. Halafu wanadai uraia pacha
 
inategemea na career uliochagua computer science,udaktari etc,kuna baadhi wenye hizo taaluma wapo vizuri kifedha kuna mmoja amejenga hadi shule.
 
Sasa mkuu umetoka US na madolari unashindwa kuwapa masela wako hata dola 50 ,50? Mbona hata hapa wapo watu wanaroho nzuri tu wanatoa pesa kwa marafiki zao wasiojiweza? Mimi kama nina mpunga natoa tu yaani dolar 100 kumpa mtu siwezi kuumiza kichwa wakati naingiza(siyo mimi nazungumzia mtu wa US aliyekuja TZ) 35m per month huko US.
Huu ni ujinga, yaani utoke majuu uje Tanzania na kuanza kugawa tu hela hata kwa teja kisa ni mshikaji? Badilikeni jamani.
 
Back
Top Bottom