Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Mk
Mkuu account yako ya jf inahackiwa bila hata kujua jinsi mfumo unafanya kazi
 
[emoji320] wewe huoni kama wale wa iringa cjui singida wali hack wakajilipia ada kwa ku gushi wakatishiwa kufukuzwa shule, any way weka card number yako ya benki twende kwa vitendo , waje wakupe mfano
 
Ni wewe tu, huwezi vamia sehemu kwa ufanisi kama hujui hiyo sehemu ilivyo. Na maswala ya kuingilia mifumo ipo hivyo, achana na wao vamia mifumo kwa bahatisha ambao mwisho wa siku hupata matokeo hasi
Mimi ni kuna mfumo nilijua weakness yake ulivyo baada ya kupata changamoto kibao, kupoteza muda mwingi na pesa vilevile, mwisho wa siku nakuja kugundua kuambe hizi system hazin mwasiliani ukitumij njiaa A lakini ukitumia nji B lazima udakwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…