Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Ntafurahi sana akirogwa bwege huyo.watakuroga😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntafurahi sana akirogwa bwege huyo.watakuroga😅
Simple ya RAM ngapi? fanya utafiti umuhimu wa RAM kubwa ili kuwa na ufanisi kwa kazi yako.Hauhitaji computer yenye specifications kubwaaa ili kuwa hacker. Unaweza uka na ki pc chako simple tu na ukafanya jambo
hata kama una 2GB inatosha, inategemea unataka kuingia wapi na kufanya niniSimple ya RAM ngapi? fanya utafiti umuhimu wa RAM kubwa ili kuwa na ufanisi kwa kazi yako.
Mkuu kwa kifupi kama huna 16GB RAM wewe sio hacker ni muigizaji,ndio maana bongo tunashindwa hata kushindana kwenye platform za heshima kama hackerone.hata kama una 2GB inatosha, inategemea unataka kuingia wapi na kufanya nini
umekalili bro.. 16GB za kazi gani ? yani hizo 16GB zinakusaidia nini wewe kuingilia mfumo ? Sikuelewi Bru 😅😅😅 yani hizo 16 zinakusaidia kwenye nini ?Mkuu kwa kifupi kama huna 16GB RAM wewe sio hacker ni muigizaji,ndio maana bongo tunashindwa hata kushindana kwenye platform za heshima kama hackerone.
Hakuna haja ya kubishana nenda google tafuta hilo swali.umekalili bro.. 16GB za kazi gani ? yani hizo 16GB zinakusaidia nini wewe kuingilia mfumo ? Sikuelewi Bru
Niende google kufanyaje wakati ni part ya kazi yangu. Naongea nachokijua. Sio lazima uwe na 16GB inategemea unataka kufanyaje au kuingia kwenye mfumo upi na kwa namna gani.. ndio maama part muhimu sana kabla ya lolote unatakiwa kupata information nyingi sana za mfumo unaotaka kuingilia kabla ya lolote.. kuna aina ya attack kikubwa computer iwe ina waka tu na kupata data 😅😅😅Hakuna haja ya kubishana nenda google tafuta hilo swali.
Sawa hongera...Niende google kufanyaje wakati ni part ya kazi yangu. Naongea nachokijua. Sio lazima uwe na 16GB inategemea unataka kufanyaje au kuingia kwenye mfumo upi na kwa namna gani.. ndio maama part muhimu sana kabla ya lolote unatakiwa kupata information nyingi sana za mfumo unaotaka kuingilia kabla ya lolote.. kuna aina ya attack kikubwa computer iwe ina waka tu na kupata data
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni-hack mimi mkuu kwenye profile yangu hapo weka R I P tukuamini.
Nimeshangaa RAM 16 GB unataka kuhack Pepo au..Niende google kufanyaje wakati ni part ya kazi yangu. Naongea nachokijua. Sio lazima uwe na 16GB inategemea unataka kufanyaje au kuingia kwenye mfumo upi na kwa namna gani.. ndio maama part muhimu sana kabla ya lolote unatakiwa kupata information nyingi sana za mfumo unaotaka kuingilia kabla ya lolote.. kuna aina ya attack kikubwa computer iwe ina waka tu na kupata data 😅😅😅
😅😅 kwanza alianza na 32GB kashuka hadi 16GB namuuliza unataka za kazi hizo hana majibuNimeshangaa RAM 16 GB unataka kuhack Pepo au..
Kuna tools like Raspberry PI ina 1GB tu ile device inakupa kila kitu ...
Even Linux hasa ukiinstall kavu bila GUI inatosha ku run under 512 Mb ni ww kucheza na terminal tu..
Ram kubwa (4_8) maybe ukitaka kukeep sessions ziwe alive for more than 24hrs.. etc
Na hiyo si kigezo cha kuhold ram kubwa..
Linux ipo simplified kutumia minimum hardware resource kadri inavyowezekana..
Hahah... ndio hivyo bhana..tumsikilize HACKER wa Gb 32 Ram.... maybe kuna kitu flan spesheli..😅😅 kwanza alianza na 32GB kashuka hadi 16GB namuuliza unataka za kazi hizo hana majib
Nimepitia comments zote za umu ila comments zako Zinamashiko ndani yake ila tuitaji kuwelewa sio kubishana ila watu wengingi nimeona tunataka kubshana bora bora ya mimi nisejua chochote nitabaki kusoma comments zenu lakini najifunza kitu kutoka kwenye comments zenuNiende google kufanyaje wakati ni part ya kazi yangu. Naongea nachokijua. Sio lazima uwe na 16GB inategemea unataka kufanyaje au kuingia kwenye mfumo upi na kwa namna gani.. ndio maama part muhimu sana kabla ya lolote unatakiwa kupata information nyingi sana za mfumo unaotaka kuingilia kabla ya lolote.. kuna aina ya attack kikubwa computer iwe ina waka tu na kupata data [emoji28][emoji28][emoji28]
The term hacker was born in the sixties in the MIT community.Nimepitia comments zote za umu ila comments zako Zinamashiko ndani yake ila tuitaji kuwelewa sio kubishana ila watu wengingi nimeona tunataka kubshana bora bora ya mimi nisejua chochote nitabaki kusoma comments zenu lakini najifunza kitu kutoka kwenye comments zenu
Nadhalia ya watu wengi wanaposikia Hacker wanajua kwamba sehemu yeyote inatumia technology basi unaweza kuhack ila wasichojua ni kwamba kuna njiaa nyingi zinazotumika kwenye hackingThe term hacker was born in the sixties in the MIT community.
It refers to people who prefer to understand how a system works rather than just using it.
Upo nyema sana mkuuNi kweli 100% Ili uwe penetrater mnzuri Cha kwanza inabid ujue hiyo system inafanyaje kazi ukishajua ndipo utakapoweza kujua udhaifu uko wapi kwa uzoefu wangu hakuna hacker anayejua kudukua kila kitu hii ni kutokana na IT kuwa uwanja mpana sanaaa zaidi ya watu wengi wanabyofikiria isipokuwa kila mmoja ame specialize eneo lake
mfano Kuna mtu anajua social engineering vizuri mwingine web anajua in and out
Au unakuta anajua kufanya forensic ya network tu au computer forensics hapa mtu anajua kuchambua aina zote za file system unazojua wew na jinsi zinavyofanya kazi mambo mengi aisee
bongo benki zinapigwa Hili swala linajulikana Ila isipokuwa hawatangazi kwa sababu wanaweza kupoteza wateja ndio maana ukiangalia hizi big company commercial and non commercial wanatumia third-party security system mfano akina sophos, Fortnite, force point e.t.c
Tusiwe na tabia ya kudharau vya kwetu IT bongo wapo Tena wazuri sanaa
Ila we kwa unafki unaongozaHii ni kwa upande wa Beginners
Fundamental of Hacking.
System and Networks.
Info gather, Analysis and Manipulation.
Variety device Hacking.
Password cracking in platforms.
Pentest.
MK254 kali linux Mkwawa Nikijua mfumo pekee naweza kuwa hacker ?