National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
anza kusoma mfumo wa kitu unachotaka ku hack, jua unavyo fanya kazi vizuri in and out...Nataka kuwa Haka wajuvi Niende na kipi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anza kusoma mfumo wa kitu unachotaka ku hack, jua unavyo fanya kazi vizuri in and out...Nataka kuwa Haka wajuvi Niende na kipi ?
Ofisi ya uhasibu sweka ndani woteKuna wale wanafunzi wa chuo huko iringa wali hack system ya malipo ya ada chuoni kwao,so hackers wapo
Nianze kusoma namna ATM zinavyofanya kazi... Miaka miwili mbele nipige tukio CRDBanza kusoma mfumo wa kitu unachotaka ku hack, jua unavyo fanya kazi vizuri in and out...
Ni wewe tu, huwezi vamia sehemu kwa ufanisi kama hujui hiyo sehemu ilivyo. Na maswala ya kuingilia mifumo ipo hivyo, achana na wao vamia mifumo kwa bahatisha ambao mwisho wa siku hupata matokeo hasiNianze kusoma namna ATM zinavyofanya kazi... Miaka miwili mbele nipige tukio CRDB
wanaosoma ndio akili hakuna.. Tumekuwa watu wa kulalamika tuu badala ya kuchukua hatuBongo hamna ramani za IT hua tunasoma tu
Achana na hao wahuni . matapeli tu. wanachofanya kinyume kabisa na kazi, ila wanafanya hivyo kuhadaa watu. Ingawa inawezekana kufanyika hiloHawa wanaosema wanaweza kufanya kwa mteja akasikiliza simu WhatsApp call, kupata sms etc za mtu mwingine... Hii Ni kweli??
TISS kama Makatani Naskia si haka yule yeye na Anko kipilimba ndio haka hatari Tz nzima au ni mvumo wa radi tu.tiss wa wapii banaaa nisje kosa mademu humuu mkuu kwa ma title makubwa kama haya 😅😅
Kaka umechafukwa nyongo😂😂 CCNP wa mchongo mimi nilieamua kuvamia Cyber sec kama Analyst ila nilikutana na diversity ya knowledge base niliyoambiwa niwe nayo nikaona ulofa huu.Bado una uanafunzi. Ukisha mature utakuja futa hizi comment zako. Unaelekezwa alafu unajifanya mjuaji. Wewe unajua watanzia wote au unafanya kazi sector zote ? Acha ujuaji jifunze kwa wengine.. we umeona Mitnick tu ? Kawasome wengine kichwa ifunguke hiyoo
Achana na yule mchaga vinginevyo hata paka huwezi ukawa.Nataka kuwa Haka wajuvi Niende na kipi ?
Katika maisha tafuta waliofanikiwa na kujifunza kutoka kwao. Na suijizibie fursa kwa dharau au kuhisi unajua kila kituKaka umechafukwa nyongo😂😂 CCNP wa mchongo mimi nilieamua kuvamia Cyber sec kama Analyst ila nilikutana na diversity ya knowledge base niliyoambiwa niwe nayo nikaona ulofa huu.
Twende kwenye uzi wetu wa mishangazi kule
Hii ishu mwenyewe naijua..... Tena alikuwa ameshakomba mpunga wa kutoshaWanadakwa kimya kimya mzee acha kabisa nimeshuhudia hii issue jamaa alipenetrate kwenye system ya bank moja hapa nchini inayoanza na herufi N before aliwahi kuingilia mifumo ya mtandao wa simu giant tu hapa TZ na siku hiyo mifumo ya huo mtandao ilisumbua masaa kadhaa na hakuna aliejua zaidi ya tuliokua tunamjua anayoyafanyaga na hakutangazwa kwenye vyombo ya habari afu ni janki tu hivi huwezi kumdhania kabisa... Alidakwa mwezi wa 3 baada ya hilo jaribio la kuvuta mpunga kwa illegal way kwenye hiyo bank sijajua kesi ake imeishia wapi mpaka sasa! Acha kuwachukulia wabongo in general man kuna vijana wanauwezo sema tu niseme sijui huwa wanafanya hacking kwa uoga au nini kinawaponza hata sielewagi...
mkisikia hacker sijui mnapata picha gani ?TISS kama Makatani Naskia si haka yule yeye na Anko kipilimba ndio haka hatari Tz nzima au ni mvumo wa radi tu.
Me naonaga ni mtu anakuwa hatua 5 mbele kwenye ujanja wenu huo wa kutukwangua akaunti zetumkisikia hacker sijui mnapata picha gani ?
We bwege unatuchora tu hapa.Achana na yule mchaga vinginevyo hata paka huwezi ukawa.
kwa sehemu upo sahihi.Me naonaga ni mtu anakuwa hatua 5 mbele kwenye ujanja wenu huo wa kutukwangua akaunti zetu
Unafki mbaya sana, ona aibu amalume. Sasa ulipataje scholarship ya kwenda ulipoenda na kisha kusomeshwa na taasisi nyeti ?Kaka umechafukwa nyongo😂😂 CCNP wa mchongo mimi nilieamua kuvamia Cyber sec kama Analyst ila nilikutana na diversity ya knowledge base niliyoambiwa niwe nayo nikaona ulofa huu.
Twende kwenye uzi wetu wa mishangazi kule
Sasa hapa umejibu kipi Mkuu 😁😇??Achana na hao wahuni . matapeli tu. wanachofanya kinyume kabisa na kazi, ila wanafanya hivyo kuhadaa watu. Ingawa inawezekana kufanyika hilo