Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

The term hacker was born in the sixties in the MIT community.

It refers to people who prefer to understand how a system works rather than just using it.
😂😂 Mtaalam keshakwambia unatakiwa kuwa Ana Ram 16-32 jibii we Unakaza shingo.
Na Mtaalam nipo nae huku Uswatini tunamdukua mrusi.
 
😂😂 Mtaalam keshakwambia unatakiwa kuwa Ana Ram 16-32 jibii we Unakaza shingo.
Na Mtaalam nipo nae huku Uswatini tunamdukua mrusi.
Hakuna hio, Hacker anaweza kusuka kiwebsite cha MB 2 kimefanana na fb kinase password ukiingiza na passwrd anazipatia kwenye kwenye simu yake ya tecno imechoka balaa.

hayo mambo ya 16 gb ram kutishana tu
 
Wanadakwa kimya kimya mzee acha kabisa nimeshuhudia hii issue jamaa alipenetrate kwenye system ya bank moja hapa nchini inayoanza na herufi N before aliwahi kuingilia mifumo ya mtandao wa simu giant tu hapa TZ na siku hiyo mifumo ya huo mtandao ilisumbua masaa kadhaa na hakuna aliejua zaidi ya tuliokua tunamjua anayoyafanyaga na hakutangazwa kwenye vyombo ya habari afu ni janki tu hivi huwezi kumdhania kabisa... Alidakwa mwezi wa 3 baada ya hilo jaribio la kuvuta mpunga kwa illegal way kwenye hiyo bank sijajua kesi ake imeishia wapi mpaka sasa! Acha kuwachukulia wabongo in general man kuna vijana wanauwezo sema tu niseme sijui huwa wanafanya hacking kwa uoga au nini kinawaponza hata sielewagi...

Hawa hawa wa DIT na Coet Uongo mtupu
 
Hakuna hio, Hacker anaweza kusuka kiwebsite cha MB 2 kimefanana na fb kinase password ukiingiza na passwrd anazipatia kwenye kwenye simu yake ya tecno imechoka balaa.

hayo mambo ya 16 gb ram kutishana tu
Phishing hata wewe unafanya even huna knowledge pana ila kwa siku hizi baba content zinachekiwa feki inapimwa chini juu kwa ju. Yale masuala ya kutumia mtu link ajaze taarifa then page Im direct kwenye page og hupati mtu
 
Hawa hawa wa DIT na Coet Uongo mtupu
Diti kuna watu nawafahamu japo kiuhalisia Sidhani kama ni walimu kweli au waliwekwa kwa makusudi ila Kuna mmoja alikuwa mzanzibar anaitwa Snakefey mwana znz km sikosei jamaa alikuwa more advanced kwenye tasnia hii.
 
Ukiona mtu anakwambia yeye ni hackers , usimwamini.
Hacker ni confidential that's why kuna neno Anonymous, kuwa hacker kwa kizazi hiki cha digital ni zaid ya mtaji trust the process.
 
Hawa hawa wa DIT, UDOM na wengine ambao hawajapita hivyo vyuo wanafanya mambo kitaani, wewe endelea kuwadharau tu... Kingine hacking haifundishwi chuo ni passion na kujiongeza maarifa mengine kutoka sources mbali mbali, mtu hafundishwi kua hacker chuoni...
Unachosema ni kweli ni skills zako mwenyewe kwenye ubongo wako nini unatafuta maana kila mtu anatakiwa kupigwa tukio au taasisi furani inakuwa na uzito wake
 
Amini kwamba tz hihiii kuna watoto washenzi kwenye hio sector..na wamejificha ..wanafukuza mwizi gizani
 
Amini kwamba tz hihiii kuna watoto washenzi kwenye hio sector..na wamejificha ..wanafukuza mwizi gizani
Hacking and hackers ni jambo nyeti sana ni sawa kujitambulisha mbele ya adhara kuwa wewe ni mwizi au mimi ni mwizi ni ngumu kufanya ivyo ata wakikamatwa huwa watajwi coz kesho na kesho kutwa wanaweza kutumika sehemu furani au kuunda genge hatari zaidi.
 
Back
Top Bottom