Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Napenda kuchanganya watu kama nilivyochanganywa ili watu wajikane na kuzama ndichi badala ya kusubiri miongozo tu pumbaav.Ila we kwa unafki unaongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda kuchanganya watu kama nilivyochanganywa ili watu wajikane na kuzama ndichi badala ya kusubiri miongozo tu pumbaav.Ila we kwa unafki unaongoza
😂😂 Mtaalam keshakwambia unatakiwa kuwa Ana Ram 16-32 jibii we Unakaza shingo.The term hacker was born in the sixties in the MIT community.
It refers to people who prefer to understand how a system works rather than just using it.
Nipo na dronedrake father of virtual reality anaandaa mdori wake wa kunyetukia na anasambaza kwa wana wewe vitaarifa tu unavibania.Napenda kuchanganya watu kama nilivyochanganywa ili watu wajikane na kuzama ndichi badala ya kusubiri miongozo tu pumbaav.
Nna skill za kudandia wake za watu kama weweLloyd Munroe una skillset za aina gani nikupe vidonge vya uhaka ?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 qmmmmmqNna skill za kudandia wake za watu kama wewe
Uzi Una mahaka na mashaka🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 qmmmmmq
Loi endelea kuwa Packet sniffer.Nna skill za kudandia wake za watu kama wewe
,🤠🤠🤠Nianze kusoma namna ATM zinavyofanya kazi... Miaka miwili mbele nipige tukio CRDB
Hakuna hio, Hacker anaweza kusuka kiwebsite cha MB 2 kimefanana na fb kinase password ukiingiza na passwrd anazipatia kwenye kwenye simu yake ya tecno imechoka balaa.😂😂 Mtaalam keshakwambia unatakiwa kuwa Ana Ram 16-32 jibii we Unakaza shingo.
Na Mtaalam nipo nae huku Uswatini tunamdukua mrusi.
Wanadakwa kimya kimya mzee acha kabisa nimeshuhudia hii issue jamaa alipenetrate kwenye system ya bank moja hapa nchini inayoanza na herufi N before aliwahi kuingilia mifumo ya mtandao wa simu giant tu hapa TZ na siku hiyo mifumo ya huo mtandao ilisumbua masaa kadhaa na hakuna aliejua zaidi ya tuliokua tunamjua anayoyafanyaga na hakutangazwa kwenye vyombo ya habari afu ni janki tu hivi huwezi kumdhania kabisa... Alidakwa mwezi wa 3 baada ya hilo jaribio la kuvuta mpunga kwa illegal way kwenye hiyo bank sijajua kesi ake imeishia wapi mpaka sasa! Acha kuwachukulia wabongo in general man kuna vijana wanauwezo sema tu niseme sijui huwa wanafanya hacking kwa uoga au nini kinawaponza hata sielewagi...
Phishing hata wewe unafanya even huna knowledge pana ila kwa siku hizi baba content zinachekiwa feki inapimwa chini juu kwa ju. Yale masuala ya kutumia mtu link ajaze taarifa then page Im direct kwenye page og hupati mtuHakuna hio, Hacker anaweza kusuka kiwebsite cha MB 2 kimefanana na fb kinase password ukiingiza na passwrd anazipatia kwenye kwenye simu yake ya tecno imechoka balaa.
hayo mambo ya 16 gb ram kutishana tu
Diti kuna watu nawafahamu japo kiuhalisia Sidhani kama ni walimu kweli au waliwekwa kwa makusudi ila Kuna mmoja alikuwa mzanzibar anaitwa Snakefey mwana znz km sikosei jamaa alikuwa more advanced kwenye tasnia hii.Hawa hawa wa DIT na Coet Uongo mtupu
Hawa hawa wa DIT, UDOM na wengine ambao hawajapita hivyo vyuo wanafanya mambo kitaani, wewe endelea kuwadharau tu... Kingine hacking haifundishwi chuo ni passion na kujiongeza maarifa mengine kutoka sources mbali mbali, mtu hafundishwi kua hacker chuoni...Hawa hawa wa DIT na Coet Uongo mtupu
Unachosema ni kweli ni skills zako mwenyewe kwenye ubongo wako nini unatafuta maana kila mtu anatakiwa kupigwa tukio au taasisi furani inakuwa na uzito wakeHawa hawa wa DIT, UDOM na wengine ambao hawajapita hivyo vyuo wanafanya mambo kitaani, wewe endelea kuwadharau tu... Kingine hacking haifundishwi chuo ni passion na kujiongeza maarifa mengine kutoka sources mbali mbali, mtu hafundishwi kua hacker chuoni...
TISS wanazo means za kufanikisha kuingilia chochote ndani ya nchi
Hacking and hackers ni jambo nyeti sana ni sawa kujitambulisha mbele ya adhara kuwa wewe ni mwizi au mimi ni mwizi ni ngumu kufanya ivyo ata wakikamatwa huwa watajwi coz kesho na kesho kutwa wanaweza kutumika sehemu furani au kuunda genge hatari zaidi.Amini kwamba tz hihiii kuna watoto washenzi kwenye hio sector..na wamejificha ..wanafukuza mwizi gizani
😅😅😅😅 goja niingie kwa class lake😂😂 Mtaalam keshakwambia unatakiwa kuwa Ana Ram 16-32 jibii we Unakaza shingo.
Na Mtaalam nipo nae huku Uswatini tunamdukua mrusi.