Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Sasa mimi ndo nasimamia kesi yake nawe jamaa vipi? [emoji23][emoji23] au unataka tu tujue nawewe una connections huko usalama au una mshkaji huko TISS
Si kakamatwa umesema?
Sasa TISS inahusika nini na ushubwada unaotajwa hapa, unaambiwa timu fulani haina washambuliaji wazuri unaanza kusema kuna mmoja mfungaji bora sema sitaji jina lake sasa si unaonyesha upungufu wa akili.

Mhusika unayemsema kakamatwa hivyo humuweki hatarini kumtaja, umedai mlikuwa mnamjua wachache kitu anachofanya that means huwezi tambulika ukimtaja. Sasa TISS inahusikaje kwenye maelezo yako? Huu uelewa uliopo hapa ndio OP anadai hamna hacker, communication skills za kawaida hamna sembuse IQ na discipline ya kuwa hacker
 
Kuna wale wanafunzi wa chuo huko iringa wali hack system ya malipo ya ada chuoni kwao,so hackers wapo
Kuhack SIMS na OSIMS ni kazi ya kitoto hata first year wa IT akiwa vizuri anaweza. Mifumo ya vyuo ni mibovu kwa kila kitu kuanzia kupakia matokeo, usajili, rekodi za mitihani na ufaulu, briefings na kila kitu.
Mtu kampiga mgonjwa we unataka tumuite bingwa
 
Si kakamatwa umesema?
Sasa TISS inahusika nini na ushubwada unaotajwa hapa, unaambiwa timu fulani haina washambuliaji wazuri unaanza kusema kuna mmoja mfungaji bora sema sitaji jina lake sasa si unaonyesha upungufu wa akili.

Mhusika unayemsema kakamatwa hivyo humuweki hatarini kumtaja, umedai mlikuwa mnamjua wachache kitu anachofanya that means huwezi tambulika ukimtaja. Sasa TISS inahusikaje kwenye maelezo yako? Huu uelewa uliopo hapa ndio OP anadai hamna hacker, communication skills za kawaida hamna sembuse IQ na discipline ya kuwa hacker
Hawa wapo chuo bado wanaishi na story za vijiweni
 
Si kakamatwa umesema?
Sasa TISS inahusika nini na ushubwada unaotajwa hapa, unaambiwa timu fulani haina washambuliaji wazuri unaanza kusema kuna mmoja mfungaji bora sema sitaji jina lake sasa si unaonyesha upungufu wa akili.

Mhusika unayemsema kakamatwa hivyo humuweki hatarini kumtaja, umedai mlikuwa mnamjua wachache kitu anachofanya that means huwezi tambulika ukimtaja. Sasa TISS inahusikaje kwenye maelezo yako? Huu uelewa uliopo hapa ndio OP anadai hamna hacker, communication skills za kawaida hamna sembuse IQ na discipline ya kuwa hacker
Kuna sehemu nmedai mimi ni hacker au nilikua mmoja wapo au na wewe unawashwa tu ili uonekane unajua kutoa comments za maana hapa? Kama huamini nilichokiandika huwezi kunilazimisha nikuaminishe mzee... Siko hapa kusimulia hadithi au maisha ya mtu sorry kwa hilo am not a good narrator.

Mwisho acha SHOBO za kike be smart & matured! Ndiyo nyie nyie mkishajua kutumia Termux & KALI LINUX na vikozi vya YouTube vya wahindi huko mnakuja kusumbua watu huku.
 
Hawa wapo chuo bado wanaishi na story za vijiweni
Nope! Mimi sio hacker wala sina jeuri ya kujiita ivo wala sisomi chuo, nina kila sababu ya kuhide anacholazimisha mdau hapo juu nikiweke wazi kwani alikwisha wahi nifanikishia mchongo wangu flani ulkua ni too risk ye ndo alinipa starting point ndo mwanzo wa kumjua zaidi, sema sina sababu ya zaidi ya kuelezea..
 
Siku nikitulia nitaweka Uzi kuhusu Udukuzi (Reality) tukiacha porojo za Google na vijiweni.

Kikawaida kila mtu ni mdukuzi.. yes..

Utofauti unakuja pale unapokuwa na uwezo wa udukuaji ktk sehem ngumu (Secured environments).. How you Crack, bypass, shadowing, redirecting etc.. na kitu cha msingi ni invisibility.. ni vip unaingia na kuondokq bila kuacha footprints ktk mifumo..

Napata mzuka.......
 
Mbona kama una ugomvi nao? Mi ninachojua mtu anafocus kwenye kitu kinachompa hela.
 
Wanadakwa kimya kimya mzee acha kabisa nimeshuhudia hii issue jamaa alipenetrate kwenye system ya bank moja hapa nchini inayoanza na herufi N before aliwahi kuingilia mifumo ya mtandao wa simu giant tu hapa TZ na siku hiyo mifumo ya huo mtandao ilisumbua masaa kadhaa na hakuna aliejua zaidi ya tuliokua tunamjua anayoyafanyaga na hakutangazwa kwenye vyombo ya habari afu ni janki tu hivi huwezi kumdhania kabisa... Alidakwa mwezi wa 3 baada ya hilo jaribio la kuvuta mpunga kwa illegal way kwenye hiyo bank sijajua kesi ake imeishia wapi mpaka sasa! Acha kuwachukulia wabongo in general man kuna vijana wanauwezo sema tu niseme sijui huwa wanafanya hacking kwa uoga au nini kinawaponza hata sielewagi...
Makampuni mengi kila siku yanakuwa hacked huwa hawatangazi, hasa Africa hususani Tanzania.
 
Uchumi pia unachangia kama laptop ya tensorbook nzuri sana kwa hackers,machine learning engineers,AI expert n.k,

RAM:32 GB
STORAGE:1TB SSD
GPU:NVIDIA RTX 3070 Ti
CPU:Intel core i7-12800H
VRAM:8 GB GDDR6
unapata kuanzia $3500
Hauhitaji computer yenye specifications kubwaaa ili kuwa hacker. Unaweza uka na ki pc chako simple tu na ukafanya jambo
 
Back
Top Bottom