Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Bongo hata wasome OS zote ngoma ngumu kwao mana kuwa hacker nayo ni career pia ila bongo wanavamia vamia tu
Kuwa hacker huitaji kujua OS nyingii.. inategema unataka kuingia mfuno gani, ndio itakuongoza ujue nini au ujifunze nini.. Kuna Hacker wazuri sana kwenye Social Engineering .. Huenda una tafsiri yako ya Hacker kaka
 
Kuwa hacker huitaji kujua OS nyingii.. inategema unataka kuingia mfuno gani, ndio itakuongoza ujue nini au ujifunze nini.. Kuna Hacker wazuri sana kwenye Social Engineering .. Huenda una tafsiri yako ya Hacker kaka
Bado naangaza nione nani mwenye maarifa rundo ktk eneo la IT kwa Tz na amekuwa tishio kwa field nzima.
Kama Sanaa ya Elicitation kwa wakufunzi imekuwa mzozo sitarajii kuona kijana hatari
 
Bado naangaza nione nani mwenye maarifa rundo ktk eneo la IT kwa Tz na amekuwa tishio kwa field nzima.
Kama Sanaa ya Elicitation kwa wakufunzi imekuwa mzozo sitarajii kuona kijana hatari
IT ina specialization nyingi sana. Usijidanganye kwamba utakuta kila eneo mtu utakuta yupo vizuri.. hata kwenye ulimwengu wa usalama wa mitandao ipo tofauti , kasome story za haka mashuhuri walio wahi tokea utajifunza.. Naona bado una mentality za darasani sijui chuo
 
IT ina specialization nyingi sana. Usijidanganye kwamba utakuta kila eneo mtu utakuta yupo vizuri.. hata kwenye ulimwengu wa usalama wa mitandao ipo tofauti , kasome story za haka mashuhuri walio wahi tokea utajifunza.. Naona bado una mentality za darasani sijui chuo
Hakuna kitu babu mnapuyanga tu. Nimesoma vitabu vya Mitnick na kuwa memba wa Mitnick Society kwa miaka ila nikitizama bongo vumbi tuu.
 
Hakuna kitu babu mnapuyanga tu. Nimesoma vitabu vya Mitnick na kuwa memba wa Mitnick Society kwa miaka ila nikitizama bongo vumbi tuu.
Bado una uanafunzi. Ukisha mature utakuja futa hizi comment zako. Unaelekezwa alafu unajifanya mjuaji. Wewe unajua watanzia wote au unafanya kazi sector zote ? Acha ujuaji jifunze kwa wengine.. we umeona Mitnick tu ? Kawasome wengine kichwa ifunguke hiyoo
 
Bado una uanafunzi. Ukisha mature utakuja futa hizi comment zako. Unaelekezwa alafu unajifanya mjuaji. Wewe unajua watanzia wote au unafanya kazi sector zote ? Acha ujuaji jifunze kwa wengine.. we umeona Mitnick tu ? Kawasome wengine kichwa ifunguke hiyoo
Tisi mwenzio hy kazi yk kubwa kudukua chupi za wake za watu matako hy
 
Wanadakwa kimya kimya mzee acha kabisa nimeshuhudia hii issue jamaa alipenetrate kwenye system ya bank moja hapa nchini inayoanza na herufi N before aliwahi kuingilia mifumo ya mtandao wa simu giant tu hapa TZ na siku hiyo mifumo ya huo mtandao ilisumbua masaa kadhaa na hakuna aliejua zaidi ya tuliokua tunamjua anayoyafanyaga na hakutangazwa kwenye vyombo ya habari afu ni janki tu hivi huwezi kumdhania kabisa... Alidakwa mwezi wa 3 baada ya hilo jaribio la kuvuta mpunga kwa illegal way kwenye hiyo bank sijajua kesi ake imeishia wapi mpaka sasa! Acha kuwachukulia wabongo in general man kuna vijana wanauwezo sema tu niseme sijui huwa wanafanya hacking kwa uoga au nini kinawaponza hata sielewagi...
Kama amekamatwa toa datail zake tuwaulize marafiki zetu walioko huko vitengo Kama huwezi weka details za uhakika ni chai hii umepika
 
Sasa mimi ndo nasimamia kesi yake nawe jamaa vipi? [emoji23][emoji23] au unataka tu tujue nawewe una connections huko usalama au una mshkaji huko TISS
Hao usalama Ni watu kama wewe mkuu na hawana jipya na wengine unawazidi uwezo wa kufikiri mpk kwenye IT ila lengo ni kuamini kuwa tuna watu wenye uwezo mkubwa wa IT hapa tz sio hawa wanao tuuzia file za Ha. Tunnel wakijiona wameiva na wengine wanatusumbua na kurepea simu
 
Picha linaanza unakuta profile picture yake ni ya kibabe, yani unaweza kudhani hiki chuma kinaweza kutungua system nzima ya jf. 😂😂

View attachment 2644904

Ila kwa vitendo sasa unaona kabisa ni sifuri

Wanaishia tu kujitamba kuinstall termux kwenye simu.

wanaishia kututambia wao hawatumii windows wanatumia kali linux

misamiati na maneno technical imewajaa midomoni ila vitendo 0, utasikia sql injection, ddos, man in the middle attack, n.k.

wana download software za kuhack ila hawajui kuzitumia, ni za kuchimbia mkwara tu kwamba anazo, anaifungua tu anaperuzi peruzi huku anatupia misamiati, utaskia "hapa nikiamua kutungua system ya benki ni dakika tu, hii tool ina sql injection"

Mafanikio yao wengi huwa ni kutumia internet kwa free vpn, yani hapo atajiona ni mwamba na nusu.
Kuna wale wanafunzi wa chuo huko iringa wali hack system ya malipo ya ada chuoni kwao,so hackers wapo
 
Back
Top Bottom