Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Halima Mdee ajibu maswali yafuatayo.

1. Kikao gani cha Chadema kiliwateua kuwa wabunge wa viti maalum.

2. Kiongozi gani wa Chadema aliandika barua na kujaza fomu za kumtambulisha Halima na wenzake kwa Tume ya Uchaguzi kwamba wameteuliwa kuwa wabunge viti maalum.

Halima Mdee na wenzake wangekuwa WAKWELI basi utetezi wao ungejikita ktk vipengele hivyo muhimu hapo juu.
 
Safi sana tuli miss vituko vya mahakamani dah utamu unarudi huu ndugai atapanda siyo kizimbani,raha sana
 
Katika hao vigogo wa CCM wanaohusishwa na wao wamuhusishe Pius Msekwa katika hili
 
Sasa ofisi ya spika inahusika vipi?
 
Labda wanaona kwa sababu wapo kwenye msukumo wa watawala basi sheria kwao si kitu.
 
Yani mke kapata bwana mpya umemfumania, umeamua mfukuza kwa kumwandikia taraka, mke karudi kwa bwana uliyemfumania naye ili waishi wote wewe bado unachukia wakati talaka ushatoa na umewambia ndugu na jamaa na jamii jamani yule si mke wangu jamii umesikia

MY TAKE
Tulia akae na bwana mpya kama umalaya ni tabia yake atachepuka tena usilazimishe bwana mpya amkatae wakati yet ndio kamtoa kwako acha amstili
 
Huu ni "ujambazi" tu unaofanywa mchana kweupe, kuendelea kuwaibia waTanzania kodi zao.

Hawa watu hawana la ziada tena.
Inatakiwa wajitokeze watu (raia) wapeleke shauri hili mahakamani kupinga hawa majambazi kuendelea kunyang'anya pesa ya waTanzania waliyoivujia jasho.
 
Duh.

Watu nchi hii wamekuwa mafundi kwelikweli wa kuzua mambo.

Yaani hata yatakayofanyika/semwa siku kadhaa mbele, tayari yamekwishanaswa na kusambazwa kwa walaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…