Athari za ujinga huu ndio zinammaliza Samia katika juhudi zake za kuleta maridhiano na Chadema.
Anajivua joho mwenyewe na kukaa bila nguo
Kwa hiyo Mh.Spika anabariki matumizi mabaya ya pesa za umma?Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.
Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.
Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.
Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"
Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Kaka Pascal hebu punguza mahaba ya "kijinga" ndugu yangu. Kwahio CCM hamna Katiba Wala taratibu zenu mnategemea Mahakama? ACHA ushabiki pleaseMahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Kataa wahuni,hata Hilo wameshasahau🤔CCM wanajimaliza wenyewe.
Acha porojo,hujui kuwa Halima ni Mwanasheria kitaaluma?
Unadhani hajui jinsi ya kuulinda ubunge wake?
Kama mlimfukuza kihuni kama alivyosema Mahakama itamoa haki hake
Unaota mchana weweCCM wanajimaliza wenyewe.
Kwa hiyo na wewe P ni muumini wa ubadhirifu wa mali za umma?Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Kwa hiyo na wewe P ni muumini wa ubadhirifu wa mali za umma?
Ni kwa nini sasa Mzee Mdee asihamie tu CCM na kuachana na CHADEMA.Kati hili suala la Mdee kufukuzwa haki imeonekana kutendeka kwa maana alighushi nyaraka na chama chake hakimtambui.Iwapo CCM wanathamini mchango wa MDEE bado ana nafasi ya kupewa ubunge wa kuteuliwa.
Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.[emoji1534][emoji1545]Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.
Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.
Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.
Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"
Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Basi akafungue kesi mahakamani kupinga maamuzi ya baraa kuu la chadema hahahaHilo suala la akina Mdee wala halimuumizi Paskali, yeye anaumizwa na maamuzi ya cdm, kwani hayaendi sawa na matamanio yake. Kwa ujumla cdm inamtesa sana Paskali.
Kiburi na ujuajiKwani tatizo la spika Ni nn? Cdm si wanaleta wengineo? Au anapenda sura za akina halima.
CCM hawajimalizi,ila wanammalaza Hangaya.Huwezi kusema maridhiano huku mambo yakuwagawa watanzania yakiendelea.CCM wanajimaliza wenyewe.
Tz itawezekana CDM a ccm mnajuana nyinyiNi mwendawazimu pekee ambaye anaweza kwenda mahakamani kwaajili ya kugomea kufukuzwa au kusimamishwa uwanachama wa chama cha siasa.
Hakuna mahakama ambayo ina uwezo wa kumrudishia mtu uwanachama. Mamlaka za juu kabisa za uamuzi juu ya uwanachama huwa zipo ndani ya chama husika, siyo mahakamani.
Mmeshawafukuza, ccm inahusikaje? Nyie tulieni maana siyo wanachama wa chadema kwasasa.CCM wanajimaliza wenyewe.
Wale tu hzo Kodi neema ikikudondokea usiache ndugu pambna halimaHao wanawake wajinga wasipokuwa makini sasa wanaenda kuwa maadui wa taifa, hizo kodi za watanzania wanazokula bure huko bungeni wanajitafutia laana.
Lena kasema "love is blind ".!Shikamoo Dokta Mukya. A defacto CHADEMA chairwoman.