The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
At least amekubali kuwa CHADEMA wamefanya maamuzi yao na Bunge limepokea uamuzi wa chama cha hao wanawake..
Hii maana yake ni kubwa, mpira upo kwa Bunge/Spika. CHADEMA wamemaliza ya upande wao. Hawadaiwi tena...
Now, the game is between COVID 19 vs BUNGE vs SHERIA na KATIBA YA NCHI..!
Hii maana yake ni kubwa, mpira upo kwa Bunge/Spika. CHADEMA wamemaliza ya upande wao. Hawadaiwi tena...
Now, the game is between COVID 19 vs BUNGE vs SHERIA na KATIBA YA NCHI..!