Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
CHADEMA ndo inaendeshwa kihuniSerikali inaendeshwa kihuni
Rejea kauli ya Mdee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA ndo inaendeshwa kihuniSerikali inaendeshwa kihuni
Eee! Unamwaga mboga namwaga ugali!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadomo ni wahuni sana, na wamekutana na wahuni wenzao!
Wabunge wa CCM walipofukuzwa hawakwenda mahakamaniHivi haya maamuzi ya Bunge yana double standards?
Mbona wake wabunge wa CUF walipofukuzwa na Mwenyekiti wanayemtambua wao Lipumba, wabunge wale walifukuzwa mara moja?
Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja?
Iweje Hawa wabunge 19 wa viti maalum kutoka Chadema, ambapo vikao vyote 2 vya chama, kwa maana ya Kamati Kuu na Baraza Kuu, vikisema wazi kuwa hao wabunge, weshafukuzwa na chama chao cha Chadema, kuwepo na kigugumizi cha kuwatimua Bungeni?
Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?🥺
Tulia ww Bavicha ufundishwe uongozi.Hivi haya maamuzi ya Bunge yana double standards?
Mbona wale wabunge wa CUF walipofukuzwa na Mwenyekiti wanayemtambua wao Lipumba, wabunge wale walifukuzwa mara moja na Bunge hilo??
Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja na Bunge hilo hilo??
Iweje Hawa wabunge 19 wa viti maalum kutoka Chadema, ambapo vikao vyote 2 vya chama, kwa maana ya Kamati Kuu na Baraza Kuu, vikisema wazi kuwa hao wabunge, weshafukuzwa na chama chao cha Chadema, kuwepo na kigugumizi cha kuwatimua Bungeni??
Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?[emoji3064]
Leo spika wa Bunge ameelezea sakata la wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA waliofukuzwa na chama chao. Kwa ufupi, wabunge husika wamefungua kesi mahakamani kupinga maamuzi ya baraza kuu la CHADEMA na Bunge limesema halitaweza kutangaza viti hivyo kuwa wazi kuuheshimu muhimili mwenzake wa mahakama.
=====
Spika anasema wabunge 19 wa CHADEMA wamepeleka kesi mahakamani, pia amesema afisa wa CHADEMA alifika bungeni bila kukabidhi barua hiyo baada ya kuambiwa muda umekwisha bungeni. Bunge lilipokea barua pepe iliyosainiwa na katibu mkuu juu ya maamuzi ya kikao cha baraza kuu juu ya kukataliwa rufaa ya wabunge 19 wa Chadema.
Spika amesema tarehe 13 Mei, barua hiyo iliwasilishwa ofisini kwake kwa mkono na baada ikapokea barua hiyohiyo kwa DHL.
Spika amesema Mamlaka ya mwisho ya utoaji haki ni mahakama katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo Bunge haliwezi kuingilia mchakato wa mahakama hivyo inalazima kusubiri mpaka mahakama itapotoa uamuzi wake.
Hivi haya maamuzi ya Bunge yana double standards?
Mbona wale wabunge wa CUF walipofukuzwa na Mwenyekiti wanayemtambua wao Lipumba, wabunge wale walifukuzwa mara moja na Bunge hilo??
Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja na Bunge hilo hilo??
Iweje Hawa wabunge 19 wa viti maalum kutoka Chadema, ambapo vikao vyote 2 vya juu vya chama hicho, kwa maana ya Kamati Kuu na Baraza Kuu, vikisema wazi kuwa hao wabunge, weshafukuzwa na chama chao cha Chadema, kuwepo na kigugumizi cha kuwatimua Bungeni??
Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?[emoji3064]
Kwa hiyo unataka Rais aingilie maamuzi ya mahakama?Mwendelezo wa ushenzi wa awamu iliopita. Upuuzi huu unamchafua hadi mama. Mahakama iliyo wapiga dana dana masheikh wa Zanzibar na Mbowe siyo chombo cha kutenda haki.
Leo spika wa Bunge ameelezea sakata la wabunge 19 wa viti maalum CHADEMA waliofukuzwa na chama chao. Kwa ufupi, wabunge husika wamefungua kesi mahakamani kupinga maamuzi ya baraza kuu la CHADEMA na Bunge limesema halitaweza kutangaza viti hivyo kuwa wazi kuuheshimu muhimili mwenzake wa mahakama.
=====
Spika amesema taarifa walianza kuiona kwenye mitandao ya kijamii usiku wa tarehe 11 Mei kwamba baraza kuu la CHADEMA limeazimia kukubaliana na uamuzi wa kamati kuu ya CHADEMA kuwafukuza uanachama wabunge 19 kupitia chama hicho.
Tarehe 12 Mei kwa njia ya barua pepe, wabunge hao 19 walimfahamisha spika maamuzi yaliyofikiwa na baraza kuu kwamba si halali, yako kinyume na katiba ya Tanzania na hayakuzingatia haki ya msingi ya kuwasikiliza au kuwaruhusu kujitetea.
Wabunge 19 wa CHADEMA wamepeleka kesi mahakamani, pia amesema afisa wa CHADEMA alifika bungeni bila kukabidhi barua hiyo baada ya kuambiwa muda umekwisha bungeni. Bunge lilipokea barua pepe iliyosainiwa na katibu mkuu juu ya maamuzi ya kikao cha baraza kuu juu ya kukataliwa rufaa ya wabunge 19 wa Chadema.
Spika amesema tarehe 13 Mei, barua hiyo iliwasilishwa ofisini kwake kwa mkono na baada ikapokea barua hiyohiyo kwa DHL.
Spika amesema Mamlaka ya mwisho ya utoaji haki ni mahakama katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo Bunge haliwezi kuingilia mchakato wa mahakama hivyo inalazima kusubiri mpaka mahakama itapotoa uamuzi wake.
Wewe na wewe unajifanya unaakili kumbe ni kichwa cha panzi tu, Bunge ndilo limemaliza na sasa ni mapambano ya kesi kati Wabunge 19 na chadema mahakamani, na Kule wanaenda kuangalia km mchakato wa kuwafukuza ulifanyika sahihi aunque batili pamoja na hoja nyingine ambazo zitakuwa zimefika mahakamani dhidi ya kesi Hiyo ambayo sasa ni mpambano kati ya Kinahalima Mdee na ChademaAt least amekubali kuwa CHADEMA wamefanya maamuzi yao na Bunge limepokea uamuzi wa chama cha hao wanawake..
Hii maana yake ni kubwa, mpira upo kwa Bunge/Spika. CHADEMA wamemaliza ya upande wao. Hawadaiwi tena...
Now, the game is between COVID 19 vs BUNGE vs SHERIA na KATIBA YA NCHI..!
Huyu alipofukuzwa alifungua kesi mahakamani?Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja na Bunge hilo hilo??
Hivi haya maamuzi ya Bunge yana double standards?
Mbona wale wabunge wa CUF walipofukuzwa na Mwenyekiti wanayemtambua wao Lipumba, wabunge wale walifukuzwa mara moja na Bunge hilo??
Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja na Bunge hilo hilo??
Iweje Hawa wabunge 19 wa viti maalum kutoka Chadema, ambapo vikao vyote 2 vya juu vya chama hicho, kwa maana ya Kamati Kuu na Baraza Kuu, vikisema wazi kuwa hao wabunge, weshafukuzwa na chama chao cha Chadema, kuwepo na kigugumizi cha kuwatimua Bungeni??
Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?[emoji3064]