Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA inaweza kufungua kesi dhidi ya wabunge 19 waliowafukuza kwenye chama chao kwamba hawawatambui, wasijitambulishe, wasitambuliwe na wasiitwe wanachama au wabunge wa CHADEMA.
Hiyo ndio kesi pekee CHADEMA wanayoweza kufungua mahakamani uamuzi ukatolewa ndani ya muda mfupi na kuna uwezekano mkubwa wa kushinda. Kesi nyingine yoyote inayohusu kutaka wabunge hao waondolewe bungeni itamalizika 2025.
Kwani wakiingia humo bungeni,mkiwa humuwatambui mnaumia nini?Hivi haya maamuzi ya Bunge yana double standards?
Mbona wale wabunge wa CUF walipofukuzwa na Mwenyekiti wanayemtambua wao Lipumba, wabunge wale walifukuzwa mara moja na Bunge hilo??
Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja na Bunge hilo hilo??
Iweje Hawa wabunge 19 wa viti maalum kutoka Chadema, ambapo vikao vyote 2 vya juu vya chama hicho, kwa maana ya Kamati Kuu na Baraza Kuu, vikisema wazi kuwa hao wabunge, weshafukuzwa na chama chao cha Chadema, kuwepo na kigugumizi cha kuwatimua Bungeni??
Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?[emoji3064]
Kama kile chama kinachotumia rushwa ya ngono kupata ubunge viti maalumuSerikali inaendeshwa kihuni
Utaratibu upi unaozungumzia? Hawa wanachotaka ni ubunge na hamna kikingine. Hawana mpango wa kurudi Chadema maana wanajua hawakubaliki. Na wakishindwa Mahakama Kuu, watakata rufaa Mahakama ya Rufaa, wakishindwa watakata rufaa ya Afrika Mashariki, wakishindwa watakata ya rufaa ya Afrika, wakishindwa wataenda the Hague. Yote hayo ili mradi wafike 2025 na wawazuie Chadema kupeleka wabunge wao.Maamuzi ya kukurupuka na hisia ya CHADEMA bila kuzingatia haki, sheria a katiba yake imepelekea haya yote.
mngefuata utaratibu hao wabunge hata wasingekwenda mahakamani
Ila dawa ya uhuni ni uhuni tu
nawapomgeza wabunge 19 kwa kutafuta haki yao mahakamani na iwe fundisho kwa CHADEMA kukandamiza sheria linapokuja suala la wanachama wake
Jibu hoja ya msingi kwa kulinganisha na wale wa CUF. Hii double standard hata wewe inaweza kukuathiri.Sarakasi za Uviko 19. Spika yupo sahihi, Bunge haliwezi kuingilia mhimili mwingine wa Mahakama. Ni jambo la kusubiria maamuzi ya Mahakama.
Mapovu Yaendelee...!
Kwani wakiingia humo bungeni,mkiwa humuwatambui mnaumia nini?
Achaneni nao endeleeni na mambo yenu
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Aisee!.
Mama na JPM kumbe ni kitu kimoja.
Wewe ni mpum.avuSwala sio mahakama ila ni uhuni wa Mbowe ....anajua kila kitu kinavyokwenda na hata mkutano mkuu ulipo kaa juzi hakuruhusu kutenguliwa kwa maamuzi ya kamati kuu ila walibariki maamuzi yaliyovunja katiba yao wenyewe... akijua kabisa wataenda mahakamani na yeye kama mnufaika ataaendelea kupata fedha za kuendeshea chama na shughuli zake. So stay tune.
Hivi ni kwa nini MaPsychopath MaCCM mmekosa huruma kabisa na kodi za masikini na bado mnawakamua MATOZO na hali ngumu yote hii.?! Huo sio uhuni ni UHAINI unafanywa na Tulia na CCM yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadomo ni wahuni sana, na wamekutana na wahuni wenzao!
Unadhani CHADEMA wangeweza kufanya jambo gani zaidi ya kuwafukuza mkuu? hebu tusaidie mawazoMaamuzi ya kukurupuka na hisia ya CHADEMA bila kuzingatia haki, sheria a katiba yake imepelekea haya yote.
mngefuata utaratibu hao wabunge hata wasingekwenda mahakamani
Ila dawa ya uhuni ni uhuni tu
nawapomgeza wabunge 19 kwa kutafuta haki yao mahakamani na iwe fundisho kwa CHADEMA kukandamiza sheria linapokuja suala la wanachama wake
Hao wa cuf na ccm na wao walipekeka kesi mahakamani?Hivi haya maamuzi ya Bunge yana double standards?
Mbona wale wabunge wa CUF walipofukuzwa na Mwenyekiti wanayemtambua wao Lipumba, wabunge wale walifukuzwa mara moja na Bunge hilo??
Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja na Bunge hilo hilo??
Iweje Hawa wabunge 19 wa viti maalum kutoka Chadema, ambapo vikao vyote 2 vya juu vya chama hicho, kwa maana ya Kamati Kuu na Baraza Kuu, vikisema wazi kuwa hao wabunge, weshafukuzwa na chama chao cha Chadema, kuwepo na kigugumizi cha kuwatimua Bungeni??
Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?[emoji3064]
Jibu hoja wacha kuleta hisia kwenye mambo ya msingiUtaratibu upi unaozungumzia? Hawa wanachotaka ni ubunge na hamna kikingine. Hawana mpango wa kurudi Chadema maana wanajua hawakubaliki. Na wakishindwa Mahakama Kuu, watakata rufaa Mahakama ya Rufaa, wakishindwa watakata rufaa ya Afrika Mashariki, wakishindwa watakata ya rufaa ya Afrika, wakishindwa wataenda the Hague. Yote hayo ili mradi wafike 2025 na wawazuie Chadema kupeleka wabunge wao.
Mna haki ya kuwapongeza kwa sababu kwenu chochote ambacho mnadhani kitawaumiza Chadema ni furaha kwenu. Chadema waachane nao.
Amandla...
Wahuni lazima uwa handle kihuni vile vile. Safi sana supikaSerikali inaendeshwa kihuni
Itakuwa imeshafika 2025Sawa tusubiri mahakama. Wanapoteza muda kula kodi zetu.
Kibatala na timu yake watawapindua kweupe mapema asbh.