Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

sasa wakishinda kesi watafanyaje kazi na chama ambacho hakiwatambui? Yaani wataning'iniaje?
 
Spika ametoa taarifa Bungeni kwamba, Bunge halina mamlaka ya kusitisha uwakilishi wa wabunge 19 waliofukuzwa Chadema akieleza kwamba chombo pekee chenye mamlaka ya kufanya maamuzi ya mwisho kisheria ni Mahakama.

Hivyo watasalia Bungenimpaka hapo Mahakama itakapotoa hukumu.

Hiyo mpaka tarehe 24/Oktoba/2025.
 
Wahuni lazima uwa handle kihuni vile vile. Safi sana supika
Aliyemwachia kiti hatimaye alikimbia baadae bila kufukuzwa Sasa,kutokutenda haki Kuna matokea mabaya na Muda SII mrefu mbivu na mbichi zitajitenga.
 
Hawa kama wamepigwa chini na chama chao...Bunge kuna maslahi gani kuwa nao..?
 
Ninachojua na utabiri wangu ndivyo utakavyo kuwa

♦️ Halima ni mwanasheria na anajua kabisa ground za judicial review...
CHADEMA HAWANA MUDA WA KUHANGAIKA NA HII KESI,WALISHAMALIZA UPANDE WAO,WAKAE MPAKA 2025 NI SAWA TU.
 
Habari!

Huu ndio ukweli ambao sisi wapunzani hatutaki kuusikia

Ila kwa akili tu za kujua kutofautisha sato na kambare, ugali wa na ubwabwa inatosha kufahamu kuwa Halima Mdee na wenzake 18 ambao ni wabunge wa vitu maalumu kutoka CHADEMA wataendelea kuwa wanachama wa CHADEMA mpaka hatua za mwisho karibu na uchaguzi mkuu.

Watahama CHADEMA na kuhamia CCM ili wagombee tena ubunge na kuupata tena.
 
Safi sana hatimaye tunarudi tena Mahakamani...hahahhahahaha Mahera na Ndugai kama nawaona wanavyokuja kutoa ushahidi namuoana pia askari magereza aliyemtoa yule mmoja ambaye alienda kuapa akitoke huko. Hapa ndio aibu uenda ikaipata CHADEMA ama serikali na Bunge kwa ujumla.
 
Hii ilijulikana wazi. Mihimili ya nchi inashindana kwa ujinga. Muhimili huu ukipanda kwenye level za ujinga mwingine unapambana kufanya ujinga mkubwa zaidi
Tuliwambia hili suala lina baraka za Mbowe na hata Pasco Mayala kila siku awaambia humu kwamba suala hili lina baraka ya mtu mzito huko ufipani ima mnakaza mafuvu na kumtukana.

Jiulize kwanini imechukua mwaka 1 na nusu nzima kusikiliza shauri hili hapo ufipa?

Jiulize siku moja kabla ya kikao cha balaza kuu la ufipa Mbowe alienda kufanya nini kwa Samia pale ikulu?

Wajinga nyie ndio mliwao!

Mbowe akiwa ana hutubia balaza kuu la ufipa: mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, mama Samia ana upiga mwingi.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wale wadada mnawaone sana chadema ila mmekutana na kisiki cha mpingo kipindi hiki.!
Mbona hamkujifunza kwa zitto , kuna tatizo pahala ndani ya chama, au hao wanasheria wa chama hawana msaada
 
Katiba inasema Mbunge anakoma Ubunge baada ya kufutwa uanachama,sasa hiyo Mahakama ipo against Katiba?
Ndiyo ujue kuwa Hawa wasomi wetu wa CCM, wako tayari kuidhalilisha taaluma yao ya sheria, kwa lengo la kuinufaisha CCM!🥺
 
Mahakama ilipoingiliwa na gaidi akaachiwa wakati alikutwa na kesi ya kujibu ulishangilia sana, sasa tulia hivyohivyo dawa ikuingie
1. Huna akili ya kuelewa kama hakuna sheria wala taratibu iliyovunjwa wakati Mbowe anaachiwa.

2.Sina muda wa kuelewesha zuzu kama wewe,kwa sababu unaonekana ni zuzu wa kuzaliwa
 
Tuliwambia hili suala lina baraka za Mbowe na hata Pasco Mayala kila siku awaambia humu kwamba suala hili lina baraka ya mtu mzito huko ufipani ima mnakaza mafuvu na kumtukana.

Jiulize kwanini imechukua mwaka 1 na nusu nzima kusikiliza shauri hili hapo ufipa?

Jiulize siku moja kabla ya kikao cha balaza kuu la ufipa Mbowe alienda kufanya nini kwa Samia pale ikulu?

Wajinga nyie ndio mliwao!

Mbowe akiwa ana hutubia balaza kuu la ufipa: mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, mama Samia ana upiga mwingi.

[emoji23][emoji23][emoji23]
KWA HIYO MBOWE NDIO ANAMKATAZA SPIKA ASIFUATE SHERIA?!?!

Mbunge anapopoteza sifa ya kuwa mbunge, whether kwa kufukuzwa uanachama au kwa sababu nyingine yoyote, hastahili kuendelea kuwa mbunge kwa siku moja zaidi.

Na hali hiyo inaendelea hadi hapo Mahakama Kuu, au Mahakama ya Rufaa ya Tanzania, itakapoamua vinginevyo.
 
Hivi haya maamuzi ya Bunge yana double standards?

Mbona wale wabunge wa CUF walipofukuzwa na Mwenyekiti wanayemtambua wao Lipumba, wabunge wale walifukuzwa mara moja na Bunge hilo??

Mbona Sofia Simba alipofukuzwa na CCM, ilitekelezwa mara moja na Bunge hilo hilo??

Iweje Hawa wabunge 19 wa viti maalum kutoka Chadema, ambapo vikao vyote 2 vya juu vya chama hicho, kwa maana ya Kamati Kuu na Baraza Kuu, vikisema wazi kuwa hao wabunge, weshafukuzwa na chama chao cha Chadema, kuwepo na kigugumizi cha kuwatimua Bungeni??

Hivi huyo Spika anapata wapi "kiburi" hicho, wakati anajua wazi kuwa Katiba yetu ya Jamhuri, inatamka wazi kuwa kila Mbunge, ni LAZIMA atokane na chama cha siasa??

Hivi huyo Spika Tulia Ackson, haoni kuwa atakuwa anavunja Katiba ya nchi, kwa kuwakumbatia wabunge, ambao hawatokani na chama chochote cha siasa nchini??

Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?🥺
inawezekana hatua zingine zilichukuliwa kwa haraka kwa kuwa kulikuwa na vilaza wengi lakini hapa kuna wasomi na wanasheria kama yeye hivyo taaluma inahitajika zaidi lakini huwezi jua kati yao kuna uwezekano wako watumishi wa serikali (japo kiukweli wabunge wote ni watumishi wa serikali) maalum na wanakzi maalumu hivyo si swala la kukurupuka!
 
Hivi ni kwa nini MaPsychopath MaCCM mmekosa huruma kabisa na kodi za masikini na bado mnawakamua MATOZO na hali ngumu yote hii.?! Huo sio uhuni ni UHAINI unafanywa na Tulia na CCM yake.
Chakufurahisha nini.
Acha upumbavu wako bana!

Mafisadi kibao yamerudi madarakani huku mnashangilia eti walionewa sababu ya roho mbaya ya Magu alfu unataka tuonee huruma kodi kisa mdee?

Narudia tena, ukipata nafasi piga hela ondoka, maana watz ni malofa.

utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu kina mdee kuondoka bungeni waache kujichukulia mihela eti kisa kusimamia msimamo wa chama! Msimamo wa mavi?
 
Wanatakiwa watoke Bungeni kwanza wakisubiri mahakama kuwarudisha kama watashinda. Ndio sheria hiyo. Hayo mengine ni uhuni tu.
Maadam jambo hili limefika mahakamani, ngoja mahakama itoe maamuzi ya mwisho wasije kusema wameonewa.

It is the last kicks of a dying horse.
 
Back
Top Bottom