Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

At least amekubali kuwa CHADEMA wamefanya maamuzi yao na Bunge limepokea uamuzi wa chama cha hao wanawake..

Hii maana yake ni kubwa, mpira upo kwa Bunge/Spika. CHADEMA wamemaliza ya upande wao. Hawadaiwi tena...

Now, the game is between COVID 19 vs BUNGE vs SHERIA na KATIBA YA NCHI..!
 
Lete ushahidi
 
Abiria ndani ya meli tunaiona pwani ileeeee!! Soon meli itatia nanga BANDARI SALAMA.
 
Taarifa niliyo ipata HV punde kutoka bungeni Ni kwamba spika Dr tulia amelitolea ufafanuzi swala la kina mdee na wenzake na kusema ni kweli amepokea barua ingawa hawez kuwaondoa bungeni hvyo wataendelea kuwa bungeni had mahakama itakavyo amua vinginevyo ila yey Hana mamlaka ya kuwa fukuza ....

Nina haraka kdg nawai tabata dampo

JMT ....KAZI IENDELEEEEEEEEE
 
Lakini eleweni mnaowaumiza ni wananchi! Kuna kipindi kama wananchi inabidi tuwe serious. Wakishindwa na huko mahakamani, Watarudisha hizi pesa ambazo wataendelea kuzipokea?

Tuna wasomi wapumbavu nchii hii mmoja wapo ni huyo Tulia.
 
Kuna uzi wa Ushimen ulisema hili na nilicomment kuwa mwisho wa siku kisingizio kitakuwa mahakama. Hii nchi ni rahisi sana kuitabiri.
Swala sio mahakama ila ni uhuni wa Mbowe ....anajua kila kitu kinavyokwenda na hata mkutano mkuu ulipo kaa juzi hakuruhusu kutenguliwa kwa maamuzi ya kamati kuu ila walibariki maamuzi yaliyovunja katiba yao wenyewe... akijua kabisa wataenda mahakamani na yeye kama mnufaika ataaendelea kupata fedha za kuendeshea chama na shughuli zake. So stay tune.
 
Walikwenda mahakamani kabla ya kufukuzwa?
 

Nchi ya kijinga Sana.
 
Maamuzi ya kukurupuka na hisia ya CHADEMA bila kuzingatia haki, sheria a katiba yake imepelekea haya yote.

mngefuata utaratibu hao wabunge hata wasingekwenda mahakamani

Ila dawa ya uhuni ni uhuni tu

nawapomgeza wabunge 19 kwa kutafuta haki yao mahakamani na iwe fundisho kwa CHADEMA kukandamiza sheria linapokuja suala la wanachama wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…