Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu


Mbowe sio aliyewafukuzaa ni kamati kuu na baraza kuu uwe muelewa.
 
Wale wadada mnawaone sana chadema ila mmekutana na kisiki cha mpingo kipindi hiki.!
Mbona hamkujifunza kwa zitto , kuna tatizo pahala ndani ya chama, au hao wanasheria wa chama hawana msaada
 
Mkuu wanachopinga ni kuvuliwa uanachama na si ubunge
 
Ngosha wa Voice from Within alitahadhalisha juu Kangaroo court. Now here we are at amazing status.
 
Hili ndio swali ambalo mimi najiuliza kwani nilitarajia Mdee na wenzake waende Mahakamani kuomba zuio la utekelezaji wa maamuzi ya Baraza Kuu la CHADEMA.

Pia, nilitarajia Spika atumie zuio la Mahakama lilowasilishwa kwake na Wabunge hao kama kigezo cha kuwaruhusu waendelee kubaki Bungeni.

Je, wanasheria mnasemaje?
 
CHADEMA HAWANA MUDA WA KUHANGAIKA NA HII KESI,WALISHAMALIZA UPANDE WAO,WAKAE MPAKA 2025 NI SAWA TU.
Kwa hiyo mkipewa summons ya kwenda kujibu hoja ndivyo mtakavyoijibu mahakama?
 
Kwani yeye Spika ameambiwa na mahakama asitekeleze majukumu yake au wale akina mama ndo wamemuambia wanafungua kesi Mahakamani?
 
Maadam jambo hili limefika mahakamani, ngoja mahakama itoe maamuzi ya mwisho wasije kusema wameonewa.

It is the last kicks of a dying horse.

Maamuzi ya mahakama yataendana na utashi wa serikali.
 
Tunaamini hii sio 'delaying tactics'.
Mag3 Pascal Mayalla

zitto junior Tindo JokaKuu Nguruvi3
 
Watu wanashangaa nini, mbona hili lilitegemewa. CHADEMA wamefanya kosa kwa maana ya timing.
Na itawagharimu, Wana option moja, compromise na Hawa akina mama.
Hili litakua kosa jingine Kama like la kumzingua Dr. Slaa.
Sijui kwanini Chadema wanaendelea kufanya makosa Kama haya.
Wenye akili walijua itaishia hapa, wamama wale wanaimage ya Chadema unaanzaje kuwazingua?!
 
Huyu ni mjinga na sijui hata anafanya nini?
 
huu ni wakat wa sheria.tuache tusiibgilie mihimili ya mahakaama.ova

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hamna zuio la mahakama bali ni Barua za mdee Sasa hizo Barua za mdee zinauhalali gani kutengua uamuzi wa Chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…