Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA ni wahujumu pale Bungeni

Mtu alitolewa gerezani usiku na kwenda kula kiapo ili awe mbunge!

Sasa tunajiuliza nini kilikuwa kimemuweka gerezani?

Au hukumu ya mahakama ilifanyika usiku usiku?

Au alikuwa gerezani bila kuwa na hatia?

Kwani kiapo kilifanyika usiku?
 
Wewe acha kujitoa ufahamu halafu mwanasheria .
Kwa mujibu wa katiba yetu wale sio wabunge halali wanatumia kivuli cha mahakama na mahakama inatumika vibaya kulea huu uovu.

Lete fact, sio wabunge halali kivipi
 
Kwa taarifa yàko chadema hawakuwahi kupeleka orodha hiyo unayoisema tume ya uchaguzi.
Kama orodha ilipelekwa Kwa nini hawakuapishwa na wenzao .
Orodhwa ilipikwa baadae .
 
Kwani kiapo kilifanyika usiku?
Unajua huyo.mtu alikuwa magereza Kwa muda gani?
Unafahamu mchakato wa wabunge wa viti maalumu chadema unafanyikaje?
Hiyo drama iliyofanywa na Marehemu Shetani ni ya kipuuzi sana Ndio maana Mungu akaamua amuondoe duniani mapema kwani alikuwa anaaribu kulipo hata Shetani Mkuu
 
Lete fact, sio wabunge halali kivipi

1. chadema kimesema hakijawahi kiteua wabunge wa vitu maalumu.
2.chadema kiliwafutia uanachama baada ya kukiuka maelekezo ya chama kwamba hakijawateua kuwa wabunge wa viti maalumu.
3.katiba ya nchi inaeleza wabunge ni lazima wawe wanachama na wadhaminiwe na chama cha siasa.

Kwa sasa hivi hao sio wanachama wa chadema na wamekimbilia mahakani kuomba warudishiwe uwanachama. So logically hao sio wana chadema na Kwa hiyo hawastahili kuwa wabunge.
Hili suala lipo wazi
 

Unajuaje kama mchakato haukufanyika ?

Kama mchakato haukufanyika then why majina ya wake za viongozi na madem zao na marafiki zao yalikuwa yanajadiliwa kule bahari beach kwenye ishu ya viti maalumu?

Kama huna taarifa sahihi then kaa tulia, usiwe unakurupuka Tu kuongea
 

Hakuna kikao chochote cha chadema kilichokaa na kupitisha majina ya wabunge viti maalumu chadema acha kupotosha
 

1, tume inasema ilipata barua kutoka kwa mnyika na spika anasema alipata barua toka tume

2. Chama cha siasa sio taasisi ya mtu Binafsi kwamba anaweza kuamka anytime akasema mtu flan sio mwanachama wetu from no where

3. Dhamana ya chadema wanayo ndio maana wapo bungeni
 
Hakuna kikao chochote cha chadema kilichokaa na kupitisha majina ya wabunge viti maalumu chadema acha kupotosha

Lete ushagidi

Muda wa kukaa magereza Una uhusiano gani na mtu kuteuliwa?

Mbona mbowe alikaa magereza more than 5 month but alitolewa usiku na akaenda Ikulu?

Why usihoji Hilo Jambo?
 
Wanakuwaje wahujumu wakati hawajajipeleka pale.......!

Mhujumu ni aliyewatambua kuwa wabunge kama hatua kweli za uteuzi hazikufuatwa.
 
Lete ushahidi

Kwamba nilite ushahidi kwamba hakuna kikao kilochofanyika?

Sasa hapo Unataka ushahidi wa nini wakati hakuna kikao kilochofanyika .

Wewe unayesema kuna vikao vilifanyika embu leta ushahidi wa minutes za vikao hivyo.

Dah ila watu wengine sijui vipi
 
Lete ushagidi


Muda wa kukaa magereza Una uhusiano gani na mtu kuteuliwa?

Mbona mbowe alikaa magereza more than 5 month but alitolewa usiku na akaenda Ikulu?

Why usihoji Hilo Jambo?

Hii nchi ina watu wengi wanamtindio wa ubongo ila hamjitambui.
Kuwa mbunge wa viti maalumu chadema ni mchakato wala sio wa siku moja au mbili.
Lazima mtu aombe, ajadiliwe na vikao husika, apigiwe kura na wajumbe halafu ndio chama kipeleke majina NEC.
Sasa mtu alikuwa jela aliwezaje kufanya hivyo.
Suala la mbowe kwenda Ikulu halihusiani kabisa na hili suala la hao kovid hususani huyo mcovid aliiyetokea magereza
 
Wakili njaa wewe ....Nilitegemea utuwekee hapa ,kanuni za Ki sheria mpaka kufikia hatua ya tukio hili litanyike..
 
CCM haijafika kwenye kutoheshimu katiba. CCM inaheshimu hadi katiba ya chama tofauti na CHADEMA ambayo Mbowe ndo katiba ya chama na katiba ndo mbowe. Fuatilia kauli za Lissu za hivi karibuni utagundua. CCM imebeba matumaini ya watanzania wote mkiwemo wewe na Mbowe.
 

Kosa ni la Mafedha ,Mgogo na Jikono Jandama(Bumunda) ndiyo walioengineer hao covid 19 mpaka wakaingia bungeni.....Kwakuwa wawili bado wapo hai(mgogo na mafedha) inabidi wafunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumi hao covid 19 hawana kosa maana bila hao "mabumunda" kubariki wasingeingia.
 

Kwani vyeti feki si walifuata process zote za ajira? why JIKONO JANDAMA aliwaondoa? Je waliofukuzwa walisikilizwa mahakamani kuweka injuction ili wasifukuzwe mpaka kesi imalizike? Si walifukuzwa hapo hapo?
 


Lete fact kuwa hayo yote hayakufanyika then tuone Nani mtindio wake wa ubongo Una wadudu Kati yangu mm na wewe
 
Kwani vyeti feki si walifuata process zote za ajira? why JIKONO JANDAMA aliwaondoa? Je waliofukuzwa walisikilizwa mahakamani kuweka injuction ili wasifukuzwe mpaka kesi imalizike? Si walifukuzwa hapo hapo?

Sasa wale ni vyeti feki, mtu ana Chet cha certicate anajifanya ana mastars so hata yy mhusika hawez kwenda mahakamani coz hawez kudhibitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…