cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa usisahauUsijali nikipata nitakurushia PM..
Dada Beatrice Kamugisha umerekodiwa na nani, tuwekee hizo picha tuweze kukusaidia kimawazo na kifikra pia.Hivi karibuni kumekuwepo na tabia ya Mambo ya chumbani kurekodiwa na kutupwa mitandaoni...
Atakwambia huo ndiyo utamaduni wa chamaKaengesa hatujapoa tunamsubiri huyo Mkata viuono tumuulize kama ndo kazi tuliyomtuma.
Hajadhalilishwa bali ni makubalianoVipi wadau naona nakuwa mgeni Sasa, sielewi nini kinaendelea ,Kuna mtu kadhalilishwa au, Kuna connection ya Dom
Na mimi usinisahau kwenye ufalme wakoNikisha ipata utaipata mkubwa
Pamoja ndugu yetuNa mimi usinisahau kwenye ufalme wako
Kuingilia faragha ya mtu ni jinai kwa sheria zetu za TZ.Hivi karibuni kumekuwepo na tabia ya Mambo ya chumbani kurekodiwa na kutupwa mitandaoni...
Haya mzee baba.Nikisha ipata utaipata mkubwa
Hahahaaawakuu mwenye connection aniPM jamani mimi ni yatima
It has already gone viralVipi una connection nini? lol..usiitupie.. Internet never forgets, wataona hadi wajukuu zake ..next generations..sio vizuri.. spare them
Na ole wako unirekodi, nitakufanya kitu kibaya, hautanisahau kamweHivi karibuni kumekuwepo na tabia ya Mambo ya chumbani kurekodiwa na kutupwa mitandaoni.
Vitendo hivi kwa kiasi kikubwa vinapofanywa na watu wenye nyadhifa za kidini na kisiasa hakuna hatua huchukuliwa ila anapofanya mtumishi mwajiriwa wa Umma au hata sekta binafsi polisi hupeleleza mara moja na kuwafikisha mahakamani.
Wanapofanya wasanii hivyohivyo, Je kama ni jinai kwanini inachagua makundi ya kuchukuliwa hatua?
Wanawake wanaochipukia na kujiimarisha kwenye jamii wamekuwa wahanga pia katika ukatili huu wa kidhalilishaji.
Napenda tujielimishe; Mbunge anaweza chukuliwa hatua ikithibitika amerekodi au kurekodiwa akiwa anafanya mapenzi?
Mbona connection ya tarime imekuwa ngumu sana kuipata.Poleni sana wana tarime na kule kahengesa
Unjirekodi halafu unasema ni faragha! That is insanity!Kuingilia faragha ya mtu ni jinai kwa sheria zetu za TZ.
Kuna comment unasoma unaona kabisa mtu hajacum ana miaka mitatuVipi una connection nini? lol..usiitupie.. Internet never forgets, wataona hadi wajukuu zake ..next generations..sio vizuri.. spare them
Dah nifanyie basi wepesi PM ndugu yangu...mpaka saivi ubao unasoma bila bilaHahahaaa
Kwahiyo umeamua kutia huruma kabisa ile ya mwisho?!!
Ila yule sio Ester bwana kwa jinsi nilivyomuona wanampakazia tu