Wabunge/ Mbunge akijirekodi faragha anaweza kupoteza Ubunge wake?

Nileteeni Matiko, nileteeeeni matikooooo nileteeeeeeeeeeni matikoooooooooo nileteeeeeeeeeeeeeeni matikooooooooooooooooo
 
Dah. Sijui ndio "raha" ya kutazama porn au ndio siasa zetu zimefika LOW kiasi hiki! Pamoja na kutofurahishwa na harakati za COVID 19, sikutarajia kuona wengi wakifurahia habari ya aina hii. I feel embarrassed. (aibu naona mimi).

Na kama video imetengenezwa kwa lengo la kuadhiri mtu basi nashauri CHADEMA, kama chama, wasimame kwenye MORAL HIGH GROUND na kuachana na aibu ya aina hii. Hata iwe ya kweli, acha mashabiki "wafaidi"porno yao; ni ngumu kuzuia, lakini chama kisiingie kucheza kwenye siasa za majitaka. Haiongezi thamani kwenye hatua walizochukua tayari. Kwanza Lissu alishaweka standard kuhusu masuala ya faragha. CHADEMA waonyeshe mfano kwa kutofurahia kilichotokea kwa huyo mwanachama wao mwenye utata. Ni binadamu bado.
 
Na ole wako unirekodi, nitakufanya kitu kibaya, hautanisahau kamwe
 
Vipi una connection nini? lol..usiitupie.. Internet never forgets, wataona hadi wajukuu zake ..next generations..sio vizuri.. spare them
Kuna comment unasoma unaona kabisa mtu hajacum ana miaka mitatu
 
Hahahaaa

Kwahiyo umeamua kutia huruma kabisa ile ya mwisho?!!

Ila yule sio Ester bwana kwa jinsi nilivyomuona wanampakazia tu
Dah nifanyie basi wepesi PM ndugu yangu...mpaka saivi ubao unasoma bila bila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…