Justard zelphine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 374
- 207
Yeeeees! Big up! Yaani sasa hivi population inakwenda 70mil, bado watu wanatamani kulundikana kama Dar es Salaam siafu!Umeme (Tanesco) na kuhamia Dodoma ni kati ya project bora za awamu ya 5 na hakuna ambaye angeweza kufanya zaidi ya pale kwa sababu zifuatazo;
Umeme Tanzania ulikuwa jipu lisilotumbulika lakini JPM aliweza kadili nalo na Tanesco wakakaa sawa, umeme haukukatika hovyo hovyo kama awamu ya 4 na sasa hivi ya 6. Hapa usije na sababu zenu ooh haikufanyiwa matengenezo na blabla kibao ukweli ni kuwa mitambo yote kama hufanyi matengenezo ita knock down tu sasa kwanini haikunock kipindi cha JPM? Sababu ni kuwa matengenezo yalifanyika kwa wakati na kwa weledi wa hali ya juu. Ila awamu ya 4 na 6 umeme umekuwa na utaendelea kuwa chocho za kupigia dili ukizingatia Waziri ni wa mchongo.
Kuhamia Dodoma, hakuna Rais angekuwa na uthubutu zaidi ya JPM kuhusu Selikari kuhamia Dodoma. Mnachotafuta sasa ni justification na sympathy za kurudi Dar mlete foleni. JPM amewaachia mji mzuri kazi kwenu kufanya finishing ili mji upendeze ila msije Dar mtaongeza joto na tuliopo huku tunatosha msije Dar kama hamtaki Dodoma amieni Zanzibar.
Umewapa ukweli