Wabunge tuache kufananisha awamu ya Tano na ya Sita, tunakosea sana

Yeeeees! Big up! Yaani sasa hivi population inakwenda 70mil, bado watu wanatamani kulundikana kama Dar es Salaam siafu!
Umewapa ukweli
 
Awamu ya vichwa maji yaani miili jumba kama nyumbu ila maarifa sifuri..

Acha wafananishe maana vitu kama hivi hawakuwahi kuviona huko Vijijini kwao 👇









 
Rais kutembea kwa gari ni gharama kubwa mnomno mnomno. Mbali ya kuhitaji msafara mkubwa na ulinzi mkubwa lakini hasara kubwa ni pale wananchi wengi zaidi kuzuiwa shughuli na safari zao kupisha msafara wa Rais upite kwanza barabarani. Hii inasababisha hasa kubwa na uhai wa watu kwa njia mbalimbali kama vile mgonjwa kufia barabarani kwenye foleni y magari yaliyozuiliwa kupisha msafara wa Rais, watumishi kuzuiwa kwenye msafara kufika sehemu ya kazi kupisha msafara,
 
Huwezi kuadhibu wananchi kwa kutokupeleka pesa kwa kosa la wasimamizi wa miradi ya wananchi. Badala ya kumnyonga hadharani hadi kufa kiongozi aliyechezea fedha za mradi wa wananchi unaamua kuwaadhibu wananchi wanaosubiri huduma ya mradi huo.
 
Ukiondoa awamu ya tano, hakuna awamu yeyote hapa Tanzania iliyokuwa ya maana. Hii ya sasa chini ya huyu Mama tushaanza kuona uozo wake mapemaaaaaaaaa.
 
Unamjua mmiliki wa hiyo gas mkuu? JPM alikua mzalendo sana, kwenye umeme hata angepakwa matope vipi, wenye akili hawawezi kuelewa. Umeme limekua tatizo kubwa nchi hi since mwaka 1992 hadi JPM alivyo ingia madarakani. Hata kama tunamchukia JPM, kwenye umeme tuweni wakweli, hakuna wa kuivunja heshima alioiweka pale TANESCO, waziri wake alivyo ondolewa tu, kila kitu kikaanza kua shagala bagala, hadi sasa hivi hakuna utulivu
 
kwani sababu ya kupeleka makao makuu dodoma ilikuwa kupunduza mrundikano Dar?
Andika "mlundikano",
Nyerere aliona ni vyema shughuli za serikali ziwe katikati ya nchi!,
Uliza awamu zote hawajawahi kuginga wazo hilo!
 
Ukiondoa awamu ya tano, hakuna awamu yeyote hapa Tanzania iliyokuwa ya maana. Hii ya sasa chini ya huyu Mama tushaanza kuona uozo wake mapemaaaaaaaaa.
sema uwozo kwenye kipi na nini ili watu waungane au kutofautiana na wewe. Hata mwanamke wako usimwambie ana tabia mabaya sena tabia yako ya kuchelewa kurudi nyumbani siipendi, au chakula usikiite kibaya bali sema kina chumvi nyingi, hakikuiva, kina mafuta mengi au kina mawe ili mpishi akuelewe na kukusaidia wewe specific, maana kuna wateja wengine wanapenda chumvi na sukari nyingi pia.
 
Andika "mlundikano",
Nyerere aliona ni vyema shughuli za serikali ziwe katikati ya nchi!,
Uliza awamu zote hawajawahi kuginga wazo hilo!
Siku hizi hata tiketi za mabasi tunakata tukiwa kitandani kwetu tumelala. Wazo lile la umbali na katikati ya nchi lilimezwa na maendeleo ya tehama, ndiyo maana awamu zilizofuata zote ziliendelea kukutana na vipaumbele vingine. Hivi unawazaje kutumia hata shilingi moja kwenda kujenga mji mpya na kuhamisha watu wakati kuna watu hawana maji ya kunywa, umeme, na zahanati? Mtoto ambae yuko kijiji ambacho hakina maji, umeme, zahanati, walimu, madawati wala barabara anafanya mtihani mmoja wa kuhitimu shule na mwanafunzi anaeishi kwenye kijiji chenye maji, umeme, zahanati, madawati na walimu, Huu ni udhalimu mkubwa wa kiongozi, maana hata mkoloni alikuwa na afadhali.

Dhambi ya awamu ya tano ni kutumia fedha nyingi kwenye miradi ya kuhamia dodoma, mabwawa, reli na madaraja na kutumia fedha kwa miradi ya huduma za maendeleo ya wananchi kama maji, barabara, umeme, meli, nk kwenye kanda moja tu ya Tanzania.
 
Ukifikiria nje BOX ulichoeleza hapo hakina maana!,
Vyote ulivyo orodhesha mwamba alienda navyo sambamba!, mbona alitifuatifua nchi nzima kwa vimiradi ulivyotaja?
Ulizia shule ya msingi iliyokuwa jimbo la ubungo baada ya kuonekana kwenye mitandao ilijengwa siku ngapi?!!
SGR ina manufaa sana kuliko unavyofikiri!,
Watu walishauza scrapers za miundo mbinu ya reli, meli n,k, mwamba kafufua yote hayo!
 
nchi haijengwi kwa zima moto kama zile, shule kama zile ziko nyingi sana nchini, lazima kuwe na mpango mahususi wa kuzifikia zote. Ile pale ilikuwa kick baada ya vyombo vya habari kuimulika.
 
Nilikw
nchi haijengwi kwa zima moto kama zile, shule kama zile ziko nyingi sana nchini, lazima kuwe na mpango mahususi wa kuzifikia zote. Ile pale ilikuwa kick baada ya vyombo vya habari kuimulika.
Nilikwambia fikiria nje ya box! Hapo zima moto iko wapi?
Asingekatishwa safari yake watangulizi wake wangeona aibu!
 
Nilikw

Nilikwambia fikiria nje ya box! Hapo zima moto iko wapi?
Asingekatishwa safari yake watangulizi wake wangeona aibu!
kaka naona hujui mambo mengi sana. Ndugu yetu alikuwa na nia njema sema tu angeshindwa hata angekuwepo. Hazina ilikauka na madeni yalikuwa mengi sana. Wafanyabiashara walikimbia, watumishi wote wanamdai, wakandarasi wanamdai, misaada ilifungiwa, majirani zake kibiashara hawampendi, suppliers walianza kugoma, msd hakuna dawa, barrick halipi, nk. alikuwa anaelekea ukingoni
 
Wewe jamaa ni mwongo sana! Tatizo la nchi yetu ilikumbwa na wasomi waliofeli HESABU, na hii itatugharimu sana maana wengi waliingia KWENYE SIASA na ndo wanasema uongo!, Magu alijua kutafuta hela yake, sio kutembeza bakuli!, akili zako za utegemezi ndo zinakuponza!
 
Wewe jamaa ni noma sana, Mzee Magu alikuwa anatafutaje hizo hela zake? KUsamehe watuhumiwa walioko mahabusu kwa kubadilishana na fedha ndio kutafuta hela unakosema? Hivi unadhani waliyokuwa wakiyafanya akina Sabaya kupora watu fedha zao alikuwa hayajui, alikuwa hawaoni na alikuwa hayasikii? Watu walikuwa wanaporwa hela zao benki ulikuwa hujui? huko ndio kutafuta hela zake unakosema? Kaka alifika mahali anafungwa super, hata wanajeshi walikuwa wanamdai hana pesa.
 
Alizitoa bandarini mlikofunga mashine ya kimaghumashi!
Alikufungieni EFD machines na kuzuia wizi upigaji!, wale atumishi hewa na pesa za marehemu mlizotamba nazo mtaani aliziminya!
 
Alizitoa bandarini mlikofunga mashine ya kimaghumashi!
Alikufungieni EFD machines na kuzuia wizi upigaji!, wale atumishi hewa na pesa za marehemu mlizotamba nazo mtaani aliziminya!
Huko alikusanya hela ya kununua jogoo kwa laki moja na kula mahindi njiani, kick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…