Wabunge wa CHADEMA wakubaliana kutohudhuria tena vikao vya Bunge kutokana na janga la COVID-9, Kujiweka Karantini kwa wiki 2

Saccos wamekimbia Bunge lakini tulishawazoea siyo mara ya kwanza kukimbia hata bunge la katiba walikimbia lakini leo wanataka Katiba Mpya!
Ni kitendo cha uzalendo sana, wabunge kwa siku posho 300,000/= wameokoa posho ngapi?
 
Nchi inaendeshwa kwa utaratibu na sio anavyotaka kila mtu. Janga la corona lisichukuliwe kwa minajili ya kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Wakifukuzwa ubunge na kukosa mafao wasije kulia lia baadae .
 
Nawapongeza
Mradi kila mtu kwa sehemu yake achukue hatua ili kujiokoa na kuokoa wengine. akili za kuambiwa changanya na zako.

Kuna haja ya kuendesha Bunge kwa video conference.
 
Hili ni gazeti la lini?
 
Utashangaza wabunge vilaza wanaendelea kwenda bungeni ili waambukizane vizuri








kush and Wisdom
 
Watanzania inabid ifikie wakati tutumie vizuri akili alizotupa mungu..kiliko kujikita kwenye mkate peke ake..
Hatua zilizochukuliwa naziunga mkono asilimia Mia moja..
Linapokuja swala la uhai wako,pesa si chochote..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni gazeti la lini?
Ila hawa jamaa ni wapuuzi sana,serikali inasisitiza kuepuka mikusanyiko lakini kama si lazima sana mtu abaki ndani!Yenyewe inakuja kutetea mikusanyiko,kwamba watu waende wakusanyike kupambana na Corona!
Jinga kabisa hili lileta mada,au linajua kupambana na corona ni kutoka kwenda kupigana!shame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…