Wabunge wa CHADEMA wakubaliana kutohudhuria tena vikao vya Bunge kutokana na janga la COVID-9, Kujiweka Karantini kwa wiki 2

Wabunge wa CHADEMA wakubaliana kutohudhuria tena vikao vya Bunge kutokana na janga la COVID-9, Kujiweka Karantini kwa wiki 2

Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amesema

"Hali ya Corona ni mbaya sana, wabunge kupitia Chadema, leo tumefikia makubaliano ya kutoingia Bungeni na kila mbunge kubaki nyumbani kwake Dodoma, niwatake wananchi huko mlipo mchukue tahadhari kubwa."

Chadema wamekua siku zote anticlockwise wakiamini wao ndio wanatakiwa waongoze nchi huku hawana ridhaa ya wananchi. Ubabe wao sio kuipinga serikali kwani hii ndio shughuli yao taabu ni kushindana na serikali. Kutaka hoja zao za kiliberali zifuatwe na serikali wakati serikali inaongozwa na ccm yenye itikadi ya kijamaa na ajenda ya kuleta maendeleo kwa umma bila kumwacha mtu.
 
Magufuli amekimbia ikulu kaenda kujificha chato,yeye pekee ndiye ameamua kufuata ushauri wa WHO kuhusu isolation na social distancing. Halafu anatuambia chapeni kazi tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hotuba nzuri sana kaongea kweli tupu naweza sema kawaumbua chadema kwa uongo wao MUNGU mbariki mwigulu
Uzuri Mungu sio mnafiki,ndio maana mlipomshambulia Mbowe kuuguliwa na mwanaye Corona,akajibu kwa vifo huko CCM!Sasa endeleeni mtashangaa!
 
Bunge linaweza likasogezwa mbele kidogo lakini hospitalI lazima kazi ifanyike daily.
Umeambiwa wananunua barakoa kwa fedha zao za mishahara.Akiwa hana vifaa kamili vya kujikinga awe Dr au Muuguzi lazima atakimbia.We we utakubali akuhudumie?Ungekuwa wewe ungebaki kazini? Unafahamu motisha na maslahi kama nyongeza za mishahara yao walipata lini Mara ya mwisho?
Wabunge hoja yao ni tofauti kwa mtazamo wao na haina ulinganifu na hali wanayopitia watumishi wa afya(Kama unao ushahidi kuwa wamekimbia)
Hoja ya msingi,serikali imetimiza wajibu wake?Mh.Mzee Baba yu wapi atupe faraja?
 
Uzuri Mungu sio mnafiki,ndio maana mlipomshambulia Mbowe kuuguliwa na mwanaye Corona,akajibu kwa vifo huko CCM!Sasa endeleeni mtashangaa!
MUNGU hana roho mbaya ya kichadema usimsingizie
 
Sasa mbona CCM mnachomoka kwa kasi ya 4G?Mungu hadhihakiwi!
Kwa akili zako ndivyo unavyo fikiri hivyo, umesahau ipo kwa DJ mpaka Sasa mtoto wake kila akipima ipo au mpaka dj afe kwa Corona ndio ujue Corona haina mwenyewe?
 
Just thinking aloud:

Baadhi ya wauguzi na watumishi wengine wa afya mahospitalini wakiwemo madaktari tumeambiwa wamekuwa wakikimbia vituo vyao vya kazi kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari la corona. Hali hii imechangiwa zaidi kwa watumishi hawa kutopewa vifaa vya kujikinga na maambukizi haya, yaani PPE (personal protective equipment). PPE is not just a mere mask! It is more than that.

Tumeambiwa pia kuwa wabunge wa Chadema wamekimbia kituo chao cha kazi kwa kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari. Tumeambiwa kuwa wabunge hawa wameenda kuji lockdown kabisa kabisa majumbani kwao hadi gonjwa hili litakapotoweka duniani. Wabunge hawa wakiwa kituoni kwao kazini hupatiwa barakoa za N95 free of charge, wakati wale wauguzi hospitalini hulazimika wengi wao (hasa wa hospitali za binafsi) kujinunulia barakoa zao za kiwango cha chini kwa bei ya sh 3,000/.

Sasa tofauti ni ipi kati ya wabunge hawa na wauguzi hawa ambao tunaamini wote wako kwenye frontline katika vita hii dhidi ya nduli Corona? Mbona wote wame-retreat siyo backline bali backhome?
Yeye Amiri Jeshi Mkuu yuko wapi? Makamanda wake wanakufa hata kuwaaga anaogopa?
 
Just thinking aloud:

Baadhi ya wauguzi na watumishi wengine wa afya mahospitalini wakiwemo madaktari tumeambiwa wamekuwa wakikimbia vituo vyao vya kazi kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari la corona. Hali hii imechangiwa zaidi kwa watumishi hawa kutopewa vifaa vya kujikinga na maambukizi haya, yaani PPE (personal protective equipment). PPE is not just a mere mask! It is more than that.

Tumeambiwa pia kuwa wabunge wa Chadema wamekimbia kituo chao cha kazi kwa kuogopa kuambukizwa gonjwa hili hatari. Tumeambiwa kuwa wabunge hawa wameenda kuji lockdown kabisa kabisa majumbani kwao hadi gonjwa hili litakapotoweka duniani. Wabunge hawa wakiwa kituoni kwao kazini hupatiwa barakoa za N95 free of charge, wakati wale wauguzi hospitalini hulazimika wengi wao (hasa wa hospitali za binafsi) kujinunulia barakoa zao za kiwango cha chini kwa bei ya sh 3,000/.

Sasa tofauti ni ipi kati ya wabunge hawa na wauguzi hawa ambao tunaamini wote wako kwenye frontline katika vita hii dhidi ya nduli Corona? Mbona wote wame-retreat siyo backline bali backhome?
Chadema tumeambiwa wamejilockdown kwa siku 14. Hiyo mpaka iishe duniani umeipata wapi?
 
Yeye Amiri Jeshi Mkuu yuko wapi? Makamanda wake wanakufa hata kuwaaga anaogopa?
Jibu hili hapa ukishamaliza futa huo uharo wako
 
Moja ni la lazima (watu wa huduma ya afya wanahitajika kuhudumia watu kwa wakati huu), Nyingine ni unnecessary (Kuna umuhimu gani wa kuwa Dodoma sasa hivi, na leo wapo Dodoma kesho wapo kwenye majimbo) kwanza hio ni risk kwa wananchi wengine....., Kwahio moja linazuia maafa jingine linaweza kusababisha maafa...
 
Kwa hiyo wenzake wote hawana vijiji kwao? Mbona Majaliwa hajaenda kujificha Ruangwa?
Hivi kichwani umejaa kamasi au? Kama jibu umepewa na bado unafikiria kumlinganisha raisi na majaaliwa au na mtu yeyote yule huoni Kama unajidhihirisha ufahamu wako ni mdogo sana? Raisi wa nchi na amiri jeshi mkuu awe sawa na mbowe?
 
Back
Top Bottom