Wabunge wa COVID 19 na Hatma ya serikali ya awamu ya sita na kufeli KWA TISS 2020!

Wabunge wa COVID 19 na Hatma ya serikali ya awamu ya sita na kufeli KWA TISS 2020!

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
NB;
UHALALI ninao zungumzia ni wa Bunge kama mhimili ndani ya serikali!Bunge linapopata mtanziko wa ki demokrasia husababisha serikali kutokamilika na kutotambulika kama serikali ya ki demokrasia kimataifa na kuleta dosari za kiutawala!!!
Nadhani nimeeleweka!!
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoja ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
CCM sijui walitumia akiri gani kuiba uchaguzi kishamba,kumbe bado wanawaitaji wapinzani
 
RAMLI CHONGANISHI

YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?

SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.

MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.
 
RAMLI CHONGANISHI

YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?

SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.

MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.
kama wanaweza wawatoe na hizo euro million 900 za european union watazisikia hewani
 
RAMLI CHONGANISHI

YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?

SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.

MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.
Komenti yako ni muendelezo wa UHUNI !!na itagharimu chama na SERIKALI!
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
TISS ni taasisi ya ovyo kuliko Polisi.
 
Ivi mnadhaani European Union hawajui ujinga uliofanywa na CCM 2020, kwamba hawana delegations yao hapa nchini, kwamba hawawasiliani na wapinzani kina Lissu,,, wanajua kila kitu
wanajua ila wahusika wenyewe bado wanakazania uongo wao kwamba chadema waliwapitisha yale matapeli 19...ina maana hujui kuna msaada huo wa EU wenye masharti hayo? hushangai hadi Ndugai aliendaga nje na Matiko kwenye mkutano wa mabunge sijui ya dunia ili ionekane nchi ina demokrasia ..hahahahaha
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
Tabia za kishenzi shenzi zinarudisha JAMHURI YETU NYUMA....ccm ya leo mnajenga future ya kitoto hivi kweli? Hawa uvccm wanarithishwa tabia za kijingajinga hivi? Acheni Mara moja pateni muda wa kujitafakari, sio muda wote mnalamba asali na kupanga panga njama njama katika JAMHURI YETU. Tiss sijui Tisiyu kuweni na akili hata kidogo, kazi yenu Sasa inakuwa kupokea ujinga kutoka hata kwa wajinga ndani ya ccm kufanikisha ushenzi kwenye JAMHURI YETU, kutembea na bastola kutishatisha wananchi mitaani Mara oooh unanijua Mimi? kwa nini uli overtake gari yangu? Kwa nini unamsumbuasumbua demu wangu?...poor TZ
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
Hoja ya kijinga kabisa. Katiba gani inayosema wakikosekana wabunge wa upinzani Bungeni basi Serikali iliyo madarakani inakosa uhalali. Basi yangetengwa majimbo ya upinzani peke yake wagombee wenyewe ili Bunge lisikose wapinzani.

Lazima mkubali ukweli kwamba hiki chama hakina mvuto wala ushawishi tena kwenye jamii, kwasabb ya madudu yanayofanywa na viongozi wenu. Wananchi wameshtukia ulaghai wao, wakishapewa ubunge wanajiimarisha kiuchumi wao wanawasahau wananchi waliowachagua.
 
SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.
Je unazungumzia vipi hizi kura za kwenye mabegi!
 
Back
Top Bottom