Wabunge wa COVID 19 na Hatma ya serikali ya awamu ya sita na kufeli KWA TISS 2020!

Wabunge wa COVID 19 na Hatma ya serikali ya awamu ya sita na kufeli KWA TISS 2020!

Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!

Weka hata paragraph basi dah,

Unatuumiza macho
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!

Alafu Acha kuzusha mambo usiyokuwa na uhakika nayo

Ikulu ni taasisi kubwa so kuwa makini na mambo ambayo unahusisha kuhusu ikulu
 
Alafu Acha kuzusha mambo usiyokuwa na uhakika nayo

Ikulu ni taasisi kubwa so kuwa makini na mambo ambayo unahusisha kuhusu ikulu
Mkuu
Nimetukana!!?
Nani hajui
UNAFIKIRI COVID-19 sio mada huko kikaoni!!?
Ikulu ni yetu sote sio Mbinguni!!
Tuna haki ya kujadili yanayotrend!!!
 
RAMLI CHONGANISHI

YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?

SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.

MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.
Wewe Msu-qummer wa Gay-tor ukishiba mchembe unakuja kujambia jukwaa la great thinkers!
 
RAMLI CHONGANISHI

YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?

SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.

MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.
Nani aliamuru Nusrat Hanje atolewe jela usiku na asubuhi yake aapishwe kwenye kwenye gereji awe mbunge?
 
Ndipo huo uji ulioubeba kichwani ulipoishia kukusaidia kuwaza?TISS wanapaswa kujishughulisha na masuala nyeti ya taifa na siyo kubebeshwa maboksi ya kura hewa na kutumikishwa magumashi.Badilika!
haya TISS ni mapopoma nimekubali..... mkuu
 
haya TISS ni mapopoma nimekubali..... mkuu
Usihitimishe kwa kulipua tu.Ni kwamba,wanafanya shughuli zao muhimu kwa kiasi kidogo tena bila tija.Wanakomaa na kutumia nguvu na rasilimali fedha nyingi kwenye kuwaengaenga CCM.Hasa kwenye uhuniuhuni na wizi wa kura.
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
Nielimisheni. Hivi kama 2020 uchaguzi ungefanyika kihalali kabisa (achana na uchafuzi uliofanywa wa uporaji) na vyama vyote vya upinzani vikashindwa kihalali kabisa lakini wakagoma katu kuchagua wabunge hao wa viti maalum based on kura walizopata, serikali ingepata uhalali kwa namna gani?
 
haya TISS ni mapopoma nimekubali..... mkuu
Mkuu
Nielimisheni. Hivi kama 2020 uchaguzi ungefanyika kihalali kabisa (achana na uchafuzi uliofanywa wa uporaji) na vyama vyote vya upinzani vikashindwa kihalali kabisa lakini wakagoma katu kuchagua wabunge hao wa viti maalum based on kura walizopata, serikali ingepata uhalali kwa namna gani?
Mkuu
Wale walioshinda UBUNGE wangetosha kuuunda Bunge la kidemokrasia KABISA na HAYO yasingekuwepo!!
 
Mkuu
Nimetukana!!?
Nani hajui
UNAFIKIRI COVID-19 sio mada huko kikaoni!!?
Ikulu ni yetu sote sio Mbinguni!!
Tuna haki ya kujadili yanayotrend!!!

Sio mada kabisa hata Jana hawajaongea, so Acha kusingizia taarifa za taasisi kubwa

Ikulu sio chama cha upatu au kijiweni Tu unaweza kuamka na kusema Jana wamesema hiki na hiki

Ukiitwa udhibitishe utasema serikali ya manguvu na onevu
 
Mkuu
Nimetukana!!?
Nani hajui
UNAFIKIRI COVID-19 sio mada huko kikaoni!!?
Ikulu ni yetu sote sio Mbinguni!!
Tuna haki ya kujadili yanayotrend!!!

Covid haiwez kuwa mada ya rais kuongea kila anapokutana na mbowe, kama ingekuwa waliongea na rais akakubali kufanya mnachokitaka nyie then leo wale wadada wangekuwa nje ya Bunge muda mrefu Tu

Why mpaka sasa wapo?
 
Eu
Covid haiwez kuwa mada ya rais kuongea kila anapokutana na mbowe, kama ingekuwa waliongea na rais akakubali kufanya mnachokitaka nyie then leo wale wadada wangekuwa nje ya Bunge muda mrefu Tu

Why mpaka sasa wapo?
Euro milion 900 na kunyimwa misaada fullstop!
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
Kwamba IPO HOFU kuwa wakiwafukuza itakuwa Haina uhalali kuwapo madarakani?

Sidhani kama Kuna HOFU ya namna hiyo. Naamini kilichopo, wanawakumbatia sababu ni Ile DHANA ilojengeka kuwa MKUBWA hakosei.

Wananchi wakiamua wameamua, wakikipa ushindi wa 98% chama Fulani hayupo wa kuhoji kama tu uchaguzi ulikuwa huru na HAKI. Walilazimika kuwakumbatia sababu wanahitaji pesa za WAFADHILI na Si HOFU ya kutokuwa na uhalali wa kutawala.

Pia nakushauri ndugu kutokukitaja kitengo hicho moja Kwa moja, inatosha tu kusema VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA. Kwa maana Si Rahisi wakuu wa KITENGO hicho Kutoka public kujibu au Kutoa ufafanuzi wowote.
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
Pia maagizo ya unayoita THE STATE Kwa Serikali juu ya wabunge 19, unayo document hiyo? Kama ulisikia Mahali Si sawa kuweka wazi namna hiyo ndugu yangu. Bt hoja zingine ziko sawa.
 
Pia maagizo ya unayoita THE STATE Kwa Serikali juu ya wabunge 19, unayo document hiyo? Kama ulisikia Mahali Si sawa kuweka wazi namna hiyo ndugu yangu. Bt hoja zingine ziko sawa.
Kuna uzi humu wa Tumia akili wa operation Imesitishwa unaongelea hili!!kwenye komenti mmojawapo yake!!!tujaribu kujikumbusha humu jamvini
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
Kama maridhiano yatakua ya UWAZI, na ya HAKI Kwa pande zote mbili, issue ya hao wabunge itamalizwa kirahsi kabisa bila kuacha DOA Kwa uongozi wa Mh S. na Serikali Kwa ujumla, Kwa maana walikosea b4 na Awamu hii watataka KUJIKOSHA.
 
Wakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
TISS ilitakiwa kuwa mgongo wa mwisho wa kuegemea dola katik kuendesha nchi kwa utawala bora.
Sasa kama TISS yenyewe ILITUMIKA KUVUNJA MAADILI ya kazi yao, hapo hatuna kitu.
Ni bora hata Rais wa nchi aelezwe mipaka ya kazi yake katika uteelezaji wa kazi zake.
 
Back
Top Bottom