albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
ukikua utaacha.Kulala kwako ni hisani ya hao TISS!Umeelewa mzizi wa uzi unaeleza nini? Hopeless!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukikua utaacha.Kulala kwako ni hisani ya hao TISS!Umeelewa mzizi wa uzi unaeleza nini? Hopeless!
Propaganda tu hizo. Tuliosimamia uchaguzi tunafahamu kuwa CDM ilishindwa kwenye boksi la kura; waliachwa mbali sana kutokana Magufuli alikubalika sana na wananchi kuliko mwanaharakati LISSU ambaye kimsingi hakuwa na uwezo wa kuwashawishi wapiga kura kwa hotuba zake ndefu zilizojaa huruma.
Ndipo huo uji ulioubeba kichwani ulipoishia kukusaidia kuwaza?TISS wanapaswa kujishughulisha na masuala nyeti ya taifa na siyo kubebeshwa maboksi ya kura hewa na kutumikishwa magumashi.Badilika!ukikua utaacha.
RAMLI CHONGANISHI
YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?
SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.
MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.
Uongouongo haukufikishi popote na wala haukusaidii.Hivi,ni weye pekee ndiye ulisimamia chaguzi?Propaganda tu hizo. Tuliosimamia uchaguzi tunafahamu kuwa CDM ilishindwa kwenye boksi la kura; waliachwa mbali sana kutokana Magufuli alikubalika sana na wananchi kuliko mwanaharakati LISSU ambaye kimsingi hakuwa na uwezo wa kuwashawishi wapiga kura kwa hotuba zake ndefu zilizojaa huruma.
Tiss wenyewe ndo kina Katambi unategemea NiniTISS ni taasisi ya ovyo kuliko Polisi.
Ila Aya majitu, Ndugai, Jiwe, Bashiru kaa mijitu ilikuwa mishamba , roho mbaya, limbukeni, haina aibu,yaan iliona bunge kuwa CCM, kwa 99% Ni sifa,wanajua ila wahusika wenyewe bado wanakazania uongo wao kwamba chadema waliwapitisha yale matapeli 19...ina maana hujui kuna msaada huo wa EU wenye masharti hayo? hushangai hadi Ndugai aliendaga nje na Matiko kwenye mkutano wa mabunge sijui ya dunia ili ionekane nchi ina demokrasia ..hahahahaha
WahuniPropaganda tu hizo. Tuliosimamia uchaguzi tunafahamu kuwa CDM ilishindwa kwenye boksi la kura; waliachwa mbali sana kutokana Magufuli alikubalika sana na wananchi kuliko mwanaharakati LISSU ambaye kimsingi hakuwa na uwezo wa kuwashawishi wapiga kura kwa hotuba zake ndefu zilizojaa huruma.
Basi CCM ndo inamvuto furahi[emoji3][emoji3]Hoja ya kijinga kabisa. Katiba gani inayosema wakikosekana wabunge wa upinzani Bungeni basi Serikali iliyo madarakani inakosa uhalali. Basi yangetengwa majimbo ya upinzani peke yake wagombee wenyewe ili Bunge lisikose wapinzani.
Lazima mkubali ukweli kwamba hiki chama hakina mvuto wala ushawishi tena kwenye jamii, kwasabb ya madudu yanayofanywa na viongozi wenu. Wananchi wameshtukia ulaghai wao, wakishapewa ubunge wanajiimarisha kiuchumi wao wanawasahau wananchi waliowachagua.
Jamani yaani nyie mangombe kazi ipo[emoji3]Propaganda tu hizo. Tuliosimamia uchaguzi tunafahamu kuwa CDM ilishindwa kwenye boksi la kura; waliachwa mbali sana kutokana Magufuli alikubalika sana na wananchi kuliko mwanaharakati LISSU ambaye kimsingi hakuwa na uwezo wa kuwashawishi wapiga kura kwa hotuba zake ndefu zilizojaa huruma.
Kuna majimbo 75 yaliyotangazwa na tume wahusika hawakushinda kabisa na wapo BUNGENI Hadi leo!!CCM sijui walitumia akiri gani kuiba uchaguzi kishamba,kumbe bado wanawaitaji wapinzani
Hayo ni kwa Tanzania ya NYERERE sio hii ya mafisadi mkuu!!!Kwani kwenye uchaguzi haiwezi kutokea wananchi wakakikubali chama fulani kwa asilimia 98 na vingine kwa asilimia 2 tu?
Yaani ATA sahv uchaguzi ukiwa huru majimbo Ni 55 kwa 45%Hayo ni kwa Tanzania ya NYERERE sio hii ya mafisadi mkuu!!!
Tatizo maagizo yote yalitolewa na ile maiti ya ChattleCCM sijui walitumia akiri gani kuiba uchaguzi kishamba,kumbe bado wanawaitaji wapinzani
Na Taasisi nyeti ikakaa kimya SIO!!!?kumbe Tiss inamuogopa Raisi si ndio!!!?Tatizo maagizo yote yalitolewa na ile maiti ya Chattle
Watu wanaumiza vichwa kuweka mambo sawa halafu unakuja na hoja dhaifu.Mara zoote hizi hoja dhaifu hazijengi bali huendelea kudhoifisha serikali.RAMLI CHONGANISHI
YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?
SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.
MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.