Alipoambiwa afanye KAZI WAZEE hawatomwingilia ktk majukumu yake, hapo ndipo ..z.. e..e kajipenyezaa kajivika ustarling.
KESI Ile yote ni kutaka tu kumvuruga na kumgombanisha na pande zote, hata hii habar ya kufuta LEGACY ni chuki binafsi tu za ..z...e..e yule.
Hata bwawa lile walitaka lifukiwe Eti, na miradi yote aloanzisha bwana yule iachwe bila kujali pesa nyingi ilozamishwa Kodi ya wananchi.
Tungeenda kubaya sana kama nchi. Mpango wa kuendelea walkaa kimya bt hamna kitu kama Iko, capacity capacity capacity👎