Ok, ungetumia neno TETESI, Kwa maana TUMIA AKILI mwenyewe hujificha kwenye NDOTO na MAONO ambayo mtu hawezi kumtight ushahidi mahakamani.Kuna uzi humu wa Tumia akili wa operation Imesitishwa unaongelea hili!!kwenye komenti mmojawapo yake!!!tujaribu kujikumbusha humu jamvini
Leo ndo nimesoma Uzi huo, ndugu kumbe Umesoma maelekezo yote na Bado ukashindwa kujua kuwa Katiba mpya itatangulia kwanza kabla ya uchaguzi wowote!Kuna uzi humu wa Tumia akili wa operation Imesitishwa unaongelea hili!!kwenye komenti mmojawapo yake!!!tujaribu kujikumbusha humu jamvini
Tusijidanganye kuwa eti European Union wanawategemea Lissu na/au upinzani kufahamu au kupata habari hapa Tanzania. Naweza kuwahakikishia kwamba wanafahamu mengi kuliko hata hao wapinzani na akina Lissu.Ivi mnadhaani European Union hawajui ujinga uliofanywa na CCM 2020, kwamba hawana delegations yao hapa nchini, kwamba hawawasiliani na wapinzani kina Lissu,,, wanajua kila kitu
Mwanzoni nilivyosoma sikuelewae kabisa hasa mwenendo wa mwanzo kabisa wa serikali Kumbuka kesi ya MBOWE ilipoteza maboya kabisa ya MAELEKEZO yale ya Tumia akili ni kana KWAMBA upinzani ulikuwa unaendelea kufa kimya kimya!!angalau Sasa naona baadhi ya MAELEKEZO yale yanafanyiwa kazi KWA speedy FULANI japo mipango ya huyu mama kugombea 2025 sijui kama BADO upo au VIPI!!Leo ndo nimesoma Uzi huo, ndugu kumbe Umesoma maelekezo yote na Bado ukashindwa kujua kuwa Katiba mpya itatangulia kwanza kabla ya uchaguzi wowote!
Na Kwa move maridhiano yanayoendelea ni dhahiri kuwa yule mstaafu Hana tena access na jikoni. Nikijumlisha na kulinganisha hili na lile, Bado hesabu ya kupatikana KATIBA mpya inabaki 2026.
Alipoambiwa afanye KAZI WAZEE hawatomwingilia ktk majukumu yake, hapo ndipo ..z.. e..e kajipenyezaa kajivika ustarling.Mwanzoni nilivyosoma sikuelewae kabisa hasa mwenendo wa mwanzo kabisa wa serikali Kumbuka kesi ya MBOWE ilipoteza maboya kabisa ya MAELEKEZO yale ya Tumia akili ni kana KWAMBA upinzani ulikuwa unaendelea kufa kimya kimya!!angalau Sasa naona baadhi ya MAELEKEZO yale yanafanyiwa kazi KWA speedy FULANI japo mipango ya huyu mama kugombea 2025 sijui kama BADO upo au VIPI!!
TUSUBIRI!
MkuuAlipoambiwa afanye KAZI WAZEE hawatomwingilia ktk majukumu yake, hapo ndipo ..z.. e..e kajipenyezaa kajivika ustarling.
KESI Ile yote ni kutaka tu kumvuruga na kumgombanisha na pande zote, hata hii habar ya kufuta LEGACY ni chuki binafsi tu za ..z...e..e yule.
Hata bwawa lile walitaka lifukiwe Eti, na miradi yote aloanzisha bwana yule iachwe bila kujali pesa nyingi ilozamishwa Kodi ya wananchi.
Tungeenda kubaya sana kama nchi. Mpango wa kuendelea walkaa kimya bt hamna kitu kama Iko, capacity capacity capacity👎
Nimesoma, kajibiwa hakuna plan itayobadilika, iyo movie ya yoga na t.akili DIRECTOR ni mmoja ila waleta ujumbe wanareport ktk angle tofauti. Message hazpingani.Mkuu
Kuna kistory cha yoga kinaendelea kinaonekana kuwa eti new CEO wa kampuni anapata back up ya mzee mmoja mkongwe Ili agombee 2025 UCEO wa kampuni KWA masharti asiruhusu Mtoto wa Born town na mtoto February marope wasigombee UCEO in the future!!!?ukipata Muda pitia Pia!!
Tiss iliyoshindwa kumjua Delilah aliyekuwa anavujisha siri nzito nzito za serikali zikiwa za moto tena mchana kweupe? [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]TISS ni taasisi ya ovyo kuliko Polisi.
Kama hujui lolote sio lazima kuchangia.Hoja ya kijinga kabisa. Katiba gani inayosema wakikosekana wabunge wa upinzani Bungeni basi Serikali iliyo madarakani inakosa uhalali. Basi yangetengwa majimbo ya upinzani peke yake wagombee wenyewe ili Bunge lisikose wapinzani.
Lazima mkubali ukweli kwamba hiki chama hakina mvuto wala ushawishi tena kwenye jamii, kwasabb ya madudu yanayofanywa na viongozi wenu. Wananchi wameshtukia ulaghai wao, wakishapewa ubunge wanajiimarisha kiuchumi wao wanawasahau wananchi waliowachagua.
Tiss iliyoshindwa kumjua Delilah aliyekuwa anavujisha siri nzito nzito za serikali zikiwa za moto tena mchana kweupe?
Hoja haipigwi RUNGU, inajibiwa Kwa hoja iliyo Bora zaidi. Mwl Nyerere said. Hakuna hoja ya kijinga, UPUMBAVU ni kudhani unajua Kila kitu.Hoja ya kijinga kabisa. Katiba gani inayosema wakikosekana wabunge wa upinzani Bungeni basi Serikali iliyo madarakani inakosa uhalali. Basi yangetengwa majimbo ya upinzani peke yake wagombee wenyewe ili Bunge lisikose wapinzani.
Lazima mkubali ukweli kwamba hiki chama hakina mvuto wala ushawishi tena kwenye jamii, kwasabb ya madudu yanayofanywa na viongozi wenu. Wananchi wameshtukia ulaghai wao, wakishapewa ubunge wanajiimarisha kiuchumi wao wanawasahau wananchi waliowachagua.
COVID 19 WAONDOKE BUNGENI CHADEMA IWACHAGUE WENGINEWakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
Magufuli Hakujua kuwa Bunge bila Kambi ya Upinzani SIO HALALICCM sijui walitumia akiri gani kuiba uchaguzi kishamba,kumbe bado wanawaitaji wapinzani
WAFADHILI NDIO WENYE SAUTI SIO WANANCHIRAMLI CHONGANISHI
YAANI UHALALI WA SERIKALI YETU UPIMWE KWA WABUNGE WA CHADEMA?
SERIKALI YETU INA BARAKA ZOTE ZA WANANCHI KWA KUWA TULIIPIGIA KURA ZA KUTOSHA CCM KWA KUWA NDIYO CHAMA PEKEE KINACHOWAUNGANISHA WATANZANIA NA KULINDA TUNU ZA TAIFA.
MIGOGORO YENU KTK VYAMA VYA UPINZANI MALIZENI HUKO HUKO KWENYE VYAMA VYENU.
Hoja ya kijinga kabisa. Katiba gani inayosema wakikosekana wabunge wa upinzani Bungeni basi Serikali iliyo madarakani inakosa uhalali. Basi yangetengwa majimbo ya upinzani peke yake wagombee wenyewe ili Bunge lisikose wapinzani.
Lazima mkubali ukweli kwamba hiki chama hakina mvuto wala ushawishi tena kwenye jamii, kwasabb ya madudu yanayofanywa na viongozi wenu. Wananchi wameshtukia ulaghai wao, wakishapewa ubunge wanajiimarisha kiuchumi wao wanawasahau wananchi waliowachagua.
Hakuna kitu kama hicho kama wanaamini waliibiwa kura wasipeleke majina kama wakipeleka chadema kitakuwa chama cha kihuni kuliko hata sisiemuWakuu
Baada ya uchaguzi mbovu wa 2020,kulijitokeza dosari kubwa Sana ya uundaji wa serikali KWA mihimili mitatu hasa wa Bunge ambao ulikosa UHALALI wa kisheria KWA kukosa wapinzani wakutosha Bungeni.
KWA kutambua hilo UHUNI ulifanyika KWA mara ya pili KWA KUINGIZA wabunge ambao hawana baraka za chama Ili kuinusuru serikali na fedheha ya kukosa UHALALI wake nchini ndipo zao la covid 19 likawepo Bungeni Hadi leo.
Haya yote yalitokea Baada ya vyombo VYA usalama kucheza ngoma ya ccm na kusahau Taifa ambalo ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa.
Wakati awamu ya sita inaingia Moja ya maagizo waliyopewa ni kuwaondoa wabunge wasio Halali Bungeni ambao wapo kinyume cha sheria!awamu hii ilishinda kuwaondoa KWA kuogopa kuwa serikali yake itapoteza uhalali wa kuwepo madarakani Sasa ina wakumbatia.
Hofu kubwa ni kuwa iwapo wakifukuzwa Bungeni CHADEMA inaweza ikagoma kuteua majina mengine ya wabunge KWA kutotambua uchaguzi wa 2020 hivyo serikali ya awamu hii kukosa UHALALI wa kisheria ndio maana purukushani za vikao viingi ikulu Hadi Sasa vinaendelea Ili chadema ilegeze misimamo au ikubaliane na haramu ya COVID 19 Bungeni Ili kuokoa uhalali wa serikali hii!
Agizo la Taasisi kubwa KWA awamu hii ni kitanzi KWA serikali na TISS kwani linaonyesha ulimbukeni wa madaraka wa makada wa chama na UZEMBE wa Taasisi nyeti kutoratibu matukio makubwa na muhimu ya nchi Hadi uhuni wa uchaguzi 2020 kuzaa uhuni mwingine wa COVID-19 na kuzaa na uhuni wa kutetea uvunjifu wa sheria Baada ya uhuni mbili kufanyika!!
Kinachoendelea ni kufanya compromise Ili uhuni wa uvunjifu wa shera uwe Halali Ili serikali hii ipate uhalali wa kuwepo madarakani!
Tujiulize je taasisi kubwa (the state)itakubali MAAGIZO yake kusiginwa na awamu ya sita tena kihuni KWA mara nyingine!!?
TUSUBIRI
Uchambuzi huru!!!
nadhani nyie ndio mazuzu wenyeweHoja ya kijinga kabisa. Katiba gani inayosema wakikosekana wabunge wa upinzani Bungeni basi Serikali iliyo madarakani inakosa uhalali. Basi yangetengwa majimbo ya upinzani peke yake wagombee wenyewe ili Bunge lisikose wapinzani.
Lazima mkubali ukweli kwamba hiki chama hakina mvuto wala ushawishi tena kwenye jamii, kwasabb ya madudu yanayofanywa na viongozi wenu. Wananchi wameshtukia ulaghai wao, wakishapewa ubunge wanajiimarisha kiuchumi wao wanawasahau wananchi waliowachagua.
kama taifa tuna kazi kubwa kama watu wenyewe wana akili kama hizi aiseeHadi nacheka kwa kushindwa kwako kumuelewa mleta mada!