Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera. Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi!!! Alianza zamani kufanya hujuma zake akapewa wilaya ya Chato iliyomegwa kutoka Kagera na sasa wanataka wamege wilaya zingine eti wapate hadhi ya mkoa!!

Tutawaadabisha wote watakaojichanganya, tuko tayari kwa lolote, ukabila mmeuanzisha nasi tutamalizia liwalo na liwe.
Huo mkoa nani aliuweka na nan anataka kuumega?
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera. Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi...
Kumbe Chato kuwa wilaya ilikuuma,,mbona kuanzishwa kwa wailya ya kyerwa karagwe na wilaya ya misenyi hakikuuma?Sijaelewa kwanini unasema mkoa usimegwe.

Hivi population ikiongezeka kyera na karagwd wakawa na sifa za kuwa mkoa utakataa hao wasiunde mkoa wao? Yote ni Tanzania au mnaoongao wa kuanzisha uasi ndo maana mnataka kusiwe n mkoa mwingine unaondwa.

Kama shida ni kuwa chato basi tymeamua tutakuwa na mkoa utakaikuwa na makao makuu nyakanazi na utwaundwa na Kakonko..ngara..biharamulo na chato..
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera. Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi...
Unamwakilisha nani zaidi ya ujinga wako? Wanyambo na wahangaza wangependa hata kesho waachane na wahaya ili nao wawe huru na kutambulika. Nimewahi kusoma somewhere hii kitu nikashangaa sana kuwa kumbe kuna makabila mengine Kagera zaidi ya wahaya
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera. Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi....
Hivi unajua huo mkoa wa Kagera nao ulimegwa kutoka mkoa wa Mwanza? Kichwa chako kina pumba!
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera. Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi!!! Alianza zamani kufanya hujuma zake akapewa wilaya ya Chato iliyomegwa kutoka Kagera na sasa wanataka wamege wilaya zingine eti wapate hadhi ya mkoa!!

Tutawaadabisha wote watakaojichanganya, tuko tayari kwa lolote, ukabila mmeuanzisha nasi tutamalizia liwalo na liwe.
Mkuu Omutontozi, jee wewe una undugu na Mkuu britanicca ?
P
 
Kama Samia anahamu ya kumuenzi Magufuli kwa kuwapa mkoa "watu wake" anaweza kufanya kitu kimoja simpo

Aubadili jina mkoa wa Geita auite Chato, kisha aifanye chato kuwa ndo makao makuu ya huo mkoa wa Chato

Kagera aiache hivyohivyo, asiguse kabisa mkoa huo adhimu
 
Kwani wewe mleta mada kabila gani? Kagera ina makabila kibao mlikutana lini na makabila yote ya Kagera kuwa yasimegwe kwenda mkoa mwingine?

Nadhani suala siyo kabila bali umuhimu wa huo mkoa mpya haupo.

Tufike mahali, tuseme sasa hakuna tena kuongeza mikoa, jambo la muhimu ni kuongeza Halmashauri.
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera. Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi!!! Alianza zamani kufanya hujuma zake akapewa wilaya ya Chato iliyomegwa kutoka Kagera na sasa wanataka wamege wilaya zingine eti wapate hadhi ya mkoa!!

Tutawaadabisha wote watakaojichanganya, tuko tayari kwa lolote, ukabila mmeuanzisha nasi tutamalizia liwalo na liwe.
Samia naye si anauza Bagamoyo, na hela zote ni zake na mawaziri
 
Ulichoposti ni uhaini bila kujijua. Mods haraka ondoa taka-neno please!!
Nchi hii nimoja maswala ya kugawa mikoa,wilaya in ya utawala ili kuwafikia watu kirahisi hayamuathiri mtu mwerevu labda mjinga maana mtu unaruhusa ya kuishi popote upapendapo kisheria (ndani ya nchi yako)
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera.

Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi!!! Alianza zamani kufanya hujuma zake akapewa wilaya ya Chato iliyomegwa kutoka Kagera na sasa wanataka wamege wilaya nyingine eti wapate hadhi ya mkoa.

Tutawaadabisha wote watakaojichanganya, tuko tayari kwa lolote, ukabila mmeuanzisha nasi tutamalizia liwalo na liwe.
Jitengeni mkuu kama Tigray manake hamna maana kupinga devolutions

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom