Wabunge wa majimbo haya hawawajibiki…

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.

Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.

Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili baadae tuje na orodha yao.
 
Mimi Mbunge wangu tangu aingie mjengoni sijawahi kumsikia hata kwa bahati mbaya akishusha hoja za kututetea sisi wapiga kura wake na Watanzania kwa ujumla.
Utakuta wenzie wanawatetea Wananchi wao kwa nguvu zote lakini yeye yupo kimya tu.
Hata sisi tunatamani 2025 ifike haraka.
 
Mimi Mbunge wangu tangu aingie mjengoni sijawahi kumsikia hata kwa bahati mbaya akishusha hoja za kututetea sisi wapiga kura wake na Watanzania kwa ujumla.
Utakuta wenzie wanawatetea Wananchi wao kwa nguvu zote lakini yeye yupo kimya tu.
Hata sisi tunatamani 2025 ifike haraka.
Inaonekana mlichagua mbunge bubu
 
Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe Jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.

Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Mhe. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.

Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili badae tuje na orodha yao.
Jimbo la Rungwe,Mbeya!
 
Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe Jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.

Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Mhe. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.

Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili badae tuje na orodha yao.
Segerea, Dar Es Salaam.
 
Siyo kila mtu anafaa vkuwa kiongozi/mwakilishi wa watu.
Mbunge wa Kigamboni siyo kiongozi/mwakilishi mzuri, he's bogus.
Kama umekuwa mbunge wa jimbo lolote Dar es salaam na una sehemu umeme haujafika, huna karama ya uongozi/uwakilishi.
He's basically an agent of hopelessness.
 
Back
Top Bottom