Oroka msoro
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 569
- 435
NdugulileSiyo kila mtu anafaa vkuwa kiongozi/mwakilishi wa watu.
Mbunge wa Kigamboni siyo kiongozi/mwakilishi mzuri, he's bogus.
Kama umekuwa mbunge wa jimbo lolote Dar es salaam na una sehemu umeme haujafika, huna karama ya uongozi/uwakilishi.
He's basically an agent of hopelessness.