Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Nataman Mwenyekiti wao aje asome 👆👆 hii commentyah ni dude kubwa la hovyo hovyo.
Yaani ccm iko kama kubwa jinga flani hivi😅😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataman Mwenyekiti wao aje asome 👆👆 hii commentyah ni dude kubwa la hovyo hovyo.
Yaani ccm iko kama kubwa jinga flani hivi😅😅😅😅
Ila Babu taletale dah aibu huwa naona mpka mimi
Unakosea sana kwenye thread yako. Umeandika "tuliyakanyaga" as if sisi ndiyo tulimchagua Bishop Gwajima.Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.
Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.
Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili baadae tuje na orodha yao.
CCM MBELE KWA MBELE.
nipo tanga bumbuli huku ninamiezi miwili natamani kazi yangu nimalize hata kesho niondoke.januali makamba hajawafanyia chochote hawa wananchi wake.bado wanaishi maisha yazamani maji shida bado wanabeba ndoo kichwani umeme washida Kuna vijiji wanatembea parefu kufata huduma ya umeme[emoji1787]hadikarne hii umeme hakuna ni Hadi uufate Kijiji kingine
ila chakushangaza huyu jamaa nimbunge tokea 2005 Hadi sasa ila hajafanya chochote.barabara mbovu hatari ameshindwa kuweka lami miaka yote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nabado wanamchagua yeyetuu sijui wanampendea nini[emoji848]
Kama tume ilitangaza ni mshindi ina maana tulimchaguaUnakosea sana kwenye thread yako. Umeandika "tuliyakanyaga" as if sisi ndiyo tulimchagua Bishop Gwajima.
Kwa taaarifa yako Gwajima aliwekwa na SIKTETA Magufuli ndiyo maana hajali performance kwa vile anawajibika kwa marehemu
Hakukuwa TUME Bali Mahera anayetekekeza agizo la MwendazakeKama tume ilitangaza ni mshindi ina maana tulimchagua
Kongwa na Mpwapwa
Yaani Jerry Slaa hapana ni zaidi ya kimeo atoke 2025 hatumtakiUkonga jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jerry marehemuu au?!!!Ukonga Haina mbunge mtoa mada kauliza majimbo yenye wabunge ukonga ni yatima nadhani inaenda kwa nguvu za serikali na watendaji wake ila mbunge Haina
Wapuuzi hao watanga wapo wapo tu km wafunipo tanga bumbuli huku ninamiezi miwili natamani kazi yangu nimalize hata kesho niondoke.januali makamba hajawafanyia chochote hawa wananchi wake.bado wanaishi maisha yazamani maji shida bado wanabeba ndoo kichwani umeme washida Kuna vijiji wanatembea parefu kufata huduma ya umeme[emoji1787]hadikarne hii umeme hakuna ni Hadi uufate Kijiji kingine
ila chakushangaza huyu jamaa nimbunge tokea 2005 Hadi sasa ila hajafanya chochote.barabara mbovu hatari ameshindwa kuweka lami miaka yote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nabado wanamchagua yeyetuu sijui wanampendea nini[emoji848]
Kondoa,chemba,chamwino,bahi yaani in short ukitoa Dom mjini kungine kote hovyoo mnooo hovyoo sanaaKondoa kule nimepita yaan mvua ikinyesha huingii mjin wala kutoka mnabaki ndan kama utumbo!! Yaan kujenga madaraja kondoa imekua ngumu kinyama. Miaka na miaka!!
Yaan acha tuKondoa,chemba,chamwino,bahi yaani in short ukitoa Dom mjini kungine kote hovyoo mnooo hovyoo sanaa
Wee,sema dokita TaletaleKwa babu tale
Mkuu nilimaanisha mwibaraUnakosea sana kwenye thread yako. Umeandika "tuliyakanyaga" as if sisi ndiyo tulimchagua Bishop Gwajima.
Kwa taaarifa yako Gwajima aliwekwa na DIKTETA Magufuli ndiyo maana hajali performance kwa vile anawajibika kwa marehemu