Ndugulile
 
Àache kanisa afu afanyaje
 
hilo libunge la kawe gwajima. mimi sitaki hata kulisikia. halina impact yoyooote, bora lirudi kanisani kwake kuendeleza na uongo wake wa ufufuo na uzima. nitashangaa sana kama 25 ataukwaa tena ubunge
Subirini mpelekwe Bamingam mkale maisha
 
Stanslaus Mabula wa Nyamagana Mwanza, ni Mbunge kiazi hajui hata Bungeni anafanya nini. Leo ukifika Jimbo la Ilemela kwa Angelina Mabula linashine lakini nenda Nyamagana, barabara ni mashimo, maji ya bomba shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…