Wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) na kisa cha asiyefanya kazi na asile

Wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) na kisa cha asiyefanya kazi na asile

Then kusikika huko hakuna faida yoyote
Bro, upinzani umenivunja moyo sana.
Leo hii nimejikuta ninamshuku Mbowe kuwa yuko kimaslahi binafsi.
Umefika wakati ninapata hisia kuwa hienda alikuwa na mgawo katika manunuzi wa wabunge na madiwani uliofanyika kipindi cha nyuma.
Nimejikuta ninamhurumia Lissu na Mnyika kwa kukitoa kwao lakini juhudi zao zinatafunwa na mwenyekiti wao.
Kama kuna kitu Mbowe anakijua...atalipa
 
Bro, upinzani umenivunja moyo sana.
Leo hii nimejikuta ninamshuku Mbowe kuwa yuko kimaslahi binafsi.
Umefika wakati ninapata hisia kuwa hienda alikuwa na mgawo katika manunuzi wa wabunge na madiwani uliofanyika kipindi cha nyuma.
Nimejikuta ninamhurumia Lissu na Mnyika kwa kukitoa kwao lakini juhudi zao zinatafunwa na mwenyekiti wao.
Kama kuna kitu Mbowe anakijua...atalipa
Ndugu yangu usife moyo, ngoja nikwambie kitu

Chadema now hawana pesa kabisa, Mpaka wamepunguza wafanyakazi pale HQ

Uwez amini Mpaka magari yao hayana mafuta coz hawana pesa

Mbowe biashara zake zimeshake Hana ela ya kuudumia chama kama Zaman

Lisu anapiga kelele tu but nae Hana pesa, Sasa hebu jiulize je chama kitaishi vipi?

Nambie mwana chadema ambae anaweza kutoa Milion mbili kila mwez kuendesha chama ni Nani?

Sasa si bora Hao wabunge 20 kila mtu anatoa 3 kwenye salary yake kwa ajili ya chama? Na ruzuku inapatikana
 
Ndugu yangu usife moyo, ngoja nikwambie kitu...
Uko tayari mke akaliwe ili atunze familia?

Tangu lini vita vya ukombozi vikawa rahisi?

Hivi kiongozi gani wa kweli hasa mpigania uhuru na haki anaweza kurudishwa nyuma na ukata?
 
Uko tayari mke akaliwe ili atunze familia?
Tangu lini vita vya ukombozi vikawa rahisi?
Hivi kiongozi gani wa kweli hasa mpigania uhuru na haki anaweza kurudishwa nyuma na ukata?
Acha kuzungumzia zama za ujima this is 20 century

Sasa unataka Mbowe atoke dar kwenda moshi kwa miguu?

Au ww unaweza kwenda kufanya kazi ya kujitolea pale chadema?
 
Tumia akili.
CHADEMA hakijaafiki. Yale Ni maamuzi binafsi ya mtu. Ukimuomba Bulaya Urafiki wa kimapenzi akakubali, huwezi kusema umetongoza CHADEMA
Kijana tatizo mchakato wa hawa malaya wa kisiasa unaanza uongozi ulipenyezewa taarifa lkn Jmnyika aliishia kukanusha na hatukuona hatua stahiki zikichukuliwa kabla ya jambo hili kutokea kama lilivyotokea
 
Kwani CHADEMA kupeleka wabunge viti maalumu nyumbani kwako unalala njaa au hupati huduma ya ndoa?
Tatizo tumepitia magumu mengi kisa tu kutetea chama . Unapoona wale mliokuwa mnawategemea wanaendatofauti na mataraji yenu utafanyaje . Hapo inabidi mpishane yeye akienda huku na ww nenda huku
 
Tatizo tumepitia magumu mengi kisa tu kutetea chama . Unapoona wale mliokuwa mnawategemea wanaendatofauti na mataraji yenu utafanyaje . Hapo inabidi mpishane yeye akienda huku na ww nenda huku
Hao ndio wanasiasa
 
Na Mwamba wa Kaskazini

Nianze kwa kongole kwa Mbunge wangu kipenzi Halima Mdee na wenzake waliokubali kutimiza haki yao ya kikatiba leo kwa kukubali kuapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) kwenye Bunge la JMT.

Wabunge hao takribani 19 wa CHADEMA wameapishwa leo wakati mambo mawili yakitokea; mosi, Chama chao kikiwa kimefura wao kuapishwa (Katibu Mkuu wao Mnyika anasema hatambui wakati kina Mdee wenyewe wakikenua) lakini haya yanakuja wakati majamaa mawili ya Chama hicho yakiwa yanalelewa huko Ulaya!

Majamaa hayo Tundu Lissu na Godbless Lema yamekiuka kile wadada wa CHADEMA walichokienzi cha kufanya kazi ili wale kwa wao kwenda kukimbilia Kwenye Balozi na Mataifa ya Ulaya kulishwa bureeee kwa visingizio visivyokuwepo.

Kwa kifupi nasema Kongole kwa Mdee na wenzako, kwa kutimiza maandiko kuwa asiyefanyakazi na asile, kachapeni kazi sasa, msimamie hoja sio vioja, mtaendelea kula.
Kwa mara ya kwanza nimempendaga buure Halima Mdee, wakati midume mizima inakimbilia kwa mabeberu yeye kaamua kupambana hapahapa,naamini wake wa wakubwa wangekuwemo kwenye hiyo orodha basi tusingesikia akina Mnyika wakibweka bweka kwenye Twitter, mkisusa twala, kule Zenj nae Maalimu yuko kwenye mtihani,muda si mrefu nae atajiendea kula kuku.
 
Hizo nafasi za viti maalum bora zifutwe kwani hazina maana kabsa ni mojawapo ya matumizi mabaya ya pesa za umma

Huu ni Mkataba kuhusu ufutaji wa ubaguzi wote wa wanawake kwenye mabaraza ya maamuzi (Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women) ulisainiwa na mataifa 189 tangu kuanzishwa mwaka 1981 na kuimarishwa na azimio la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 2011

Na pia imo kwenye ibara ya 66 ibara ndogo 1b ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

So kuifuta unaanzia UN kujitoa then unaleta mswada bungeni wa kufanya mabadiliko ya katiba ibara nilitaka hapo juu.
 
Back
Top Bottom