Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
umeshakunywa chai?Naona leo chadema mnatwangana vichwa wenyewe kwa wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeshakunywa chai?Naona leo chadema mnatwangana vichwa wenyewe kwa wenyewe
Ni tag pleaseNdio unalijua sasa maktaba ya jf ina nyuzi nyingi zinazo zungumzia kuhusu hiyo saccos!
Hebu kunywa chai kwanza.
Neno saccos ina maana ulikua huelewi watu wanamaanisha nini?Ni tag please
Hakuna mtu mwenye siasa za kihuni kama Mbowe, binafsi nilipoteza imani nae baada ya kumleta Lowasa kwenye Chama na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Mbowe hawezi kufanya ujinga kama huo
Mimi ningekuwa karibu na Magu ningemwambia katika zile nafasi zake 10 achukue 3 ampe Mbowe, Msigwa na Upendo Peneza waende bungeni na vikamati wawape ili tujenge nchi. Haya mengine ya kutuletea Mbelgiji awe Rais tutawasamehe.Watu wengi wanaoshabikia CHADEMA ni watu myopic na frustrated sana!....
Mtu amepata Ubunge unasema hana jipya kivipi wakati ndoto zake ni kuendelea kuwa Mbunge maisha yao yote.Halima kwa sasa hana jipya. Jitihada zake za kumkashifu Rais Magufuli kwa kujifanya "jike dume" zimeisha kukubali Ubunge wa viti maalumu huku akiwa aneshindwa vibaya kwenye jimbo. AIBU
CHADEMA wanahitaji pesa ya ruzuku kula na kuendesha chama, hao kina mdee wameruhusiwa ni kwamba kina Mnyika wanacheza na akili za watu tu hapa.Ndugu zangu,
Nimeona nitoe ushauri tu kwa mdogo wangu John Mnyika kuwa sasa anatakiwa ang'atuke kwani BAWACHA wamemzidi nguvu...
Darasa la saba baada ya matokeo kutoka. Furahia zawadi ya iPhone uliyopewa.Na Mwamba wa Kaskazini
Nianze kwa kongole kwa Mbunge wangu kipenzi Halima Mdee na wenzake waliokubali kutimiza haki yao ya kikatiba leo kwa kukubali kuapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) kwenye Bunge la JMT....
Hulazimishi kumwamini MboweHakuna mtu mwenye siasa za kihuni kama Mbowe, binafsi nilipoteza imani nae baada ya kumleta Lowasa kwenye Chama na kumpa nafasi ya kugombea Urais.
Toka hapo nawashangaaga wanaoimba jina la Mbowe eti shujaa na Kamanda.
Yule yupo kimaslahiNani alijua Halima atafanya ujinga huu?
Inakuhusu?huu mchongo wote una baraka zote kutoka kwa wakuu we baki unapiga kelele tu apa! Kwan kuna mtu alikua anajua chadema wanachoma ofisi zao moto wenyewe? hujui hujui tu
Kama wewe anavyowapenda JPM wajinga wengi kwenye chamaNyie ndio wajinga wenyewe ambao Mbowe anawapenda sana kuwa nao kwenye chama
Angekuwa na wale wa viti maalum wengi sana!Swali zuri sana hili ngoja makamanda waje kujibu
🤣🤣 jua chini kuna mafuriko au moto! NimechekaUkimuona kobe juu ya mti......!
Siasa za Tanzania zimebadilika, CHADEMA wanatakiwa kujua Hilo jamboNdugu zangu,
Nimeona nitoe ushauri tu kwa mdogo wangu John Mnyika kuwa sasa anatakiwa ang'atuke kwani BAWACHA wamemzidi nguvu.
Ni dhahiri Halima Mdee ana baraka za "mwamba" Freeman Mbowe.
Kwa ufupi tu jiweke pembeni na CHADEMA.
Maziwa yapo mkuuHuwezi kula kila kitu. Vingine ni sumu.