Wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) na kisa cha asiyefanya kazi na asile

Wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) na kisa cha asiyefanya kazi na asile

Mbowe ana akili na busara ndio maana hata tamko la maandamano ni Lissu ndio alimshinikiza!
 
Ndiyo maana mimi huwa namkubali Mbowe kama kiongozi madhubuti. Hata katika uchaguzi ulopita alijua hakuna wa kumg’oa JPM ila akamtoa kama sadaka Tototundu. Tototundu kwa vile he is not that much intelligent, akaingia kingi...
Hivi kwa akili ya kawaida, mtu mwenye kuchanganua masuala hawezi eti kuwazuia kuingia bungeni wabunge waliotokana na kura za wabunge halafu huyo huyo akakubali kupokea ruzuku zitokanazo na idadi ya kura zilizowapeleka bungeni hao wabunge aliowazuia!
 
Mmeanza kutetemeka kama kawaida yenu na maneno mengi, mkutano wa leo na waandishi wa habari ndio utatoa majibu ya maswali yote.
Hivi hapa anaetetemeka ni nani? [emoji23][emoji23][emoji23]

Nenda twitter uone nani anatetemeka! Tuliwaonya na Lisu wenu kwamba acheni mihemuko,

Haya hiyo ICC yenu sijui imeishia wapi?
 
Mbowe hawezi kufanya ujinga kama huo
Huu mchongo wote una baraka zote kutoka kwa wakuu we baki unapiga kelele tu apa! Kwan kuna mtu alikua anajua chadema wanachoma ofisi zao moto wenyewe? hujui hujui tu
 
Mmeanza kutetemeka kama kawaida yenu na maneno mengi, mkutano wa leo na waandishi wa habari ndio utatoa majibu ya maswali yote.
Boss unategemea leo wakubali hili hadharani kuwa wanatambua Ubunge wa kina Mdee?

Kitakachojiri leo..ni igizo la kulaani na kuwataka kina Mdee kujieleza kwanini wasichukuliwe hatua za kisheria na kinidhamu kwa mujibu wa Chama.

Hili litaendaaa wee..mwisho nyie wachambua mchele mnasahau maisha yanaendelea.

Huwezi kuwasusia nyani (CCM) shamba (serikali)
 
Ndugu zangu,

Nimeona nitoe ushauri tu kwa mdogo wangu John Mnyika kuwa sasa anatakiwa ang'atuke kwani BAWACHA wamemzidi nguvu.

Ni dhahiri Halima Mdee ana baraka za "mwamba" Freeman Mbowe.

Kwa ufupi tu jiweke pembeni na CHADEMA.
Halima kwa sasa hana jipya. Jitihada zake za kumkashifu Rais Magufuli kwa kujifanya "jike dume" zimeisha kukubali Ubunge wa viti maalumu huku akiwa aneshindwa vibaya kwenye jimbo. AIBU
 
Mbowe hawezi kufanya ujinga kama huo

Pole sana MKASKAZ Mh. mbowe biznesMAN.
Anajua kuchanga karata ili asipoteze kabisa.

Leo wakina Halima wasingeenda kula bata na Green chama kingejiendesha kwa pesa ya nani?

Na Mh. mbowe anajua anategwa na ZITTO wakina Halima wasingeenda kuapishwa hata hivyo ACT iwavyo lazima SHIRIKISHO LIFANYIKE ZANZIBAR hapo ingekuwa bao la kisigino na bao la penati.

Tulieni acheni matusi oneni Mh. Mbowe nini anaenda kunena pia panapo mbowe humkosi LEMA NA HALIMA.
 
Chama chochote kile cha siasa huwa kina makundi madogomadogo ambayo kila kundi walio ndani yake wana strong bond kati yao na huwa wana msimamo mmoja kwa kila jambo hata kabla ya vikao rasmi vya chama. Pia kuna mahusiano ya kingono huwa yanakuwepo ndani ya makundii hayo na pia kati ya mfuasi wa chama kimoja na mfuasi wa chama kingine. Uhusiano huo wa kingono ndio hudrive decision mbali mbali au uungaji hoja fulani fulani inayotolewa na mpenzi mwenza.

Katika nchi za dunia ya tatu wengi wa wanasiasa wanawake huwa na wapenzi wanaume wanasiasa ambao huwasaidia kuwanyanyua kisiasa.
Mkuu;
You just hit the nail on the head!
 
Watu wengi wanaoshabikia CHADEMA ni watu myopic na frustrated sana!

Mbowe ni wapi amepambana katika kampeni za Urais za Tundu Lissu !?

Tundu Lissu anaongea na Dunia kuhusu msimamo wa CHADEMA kutoitambua Serikali ya JPM ,siku moja baadaye Halima Mdee anaongoza Wabunge wa Viti maalumu kuapishwa.

Ina maana Tundu Lissu na Mbowe hawana mawasiliano ?! Ndani ya CHADEMA kuna shida kubwa saaana! Wenye akili ndogo ndo wanachezeshwa ujinga huu na hawajitambui!
 
Tumeona kinachojiri ndani ya Chama Cha Maendeleo na Demokrasia CHADEMA hakika hiki sio chama au taasisi ya umma, ni taasisi ya kundi Fulani la watu wenye maslahi yao binafsi ya kifedha.

Freeman Mbowe Ni adui namba moja wa haki. Migogoro yote ndani ya Chama huasisiwa na huyu bwana. Yeye ndiye anaamua nani apewe nafasi gani, na nani aondoke. Huu ni mwamba wa kaskazini ambao bila kung'olewa CHADEMA kitaendelea kuwa Chama Cha hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom