Tetesi: Wabunge waanza mkakati wa kupiga kura kutokuwa na imani na Waziri Mkuu Majaliwa

Kwa bunge la Mwendazake nani ana uwezo huo?
 
Kwa hiyo raisi amewateua wazembe alafu hao wazembe wanafanya madudu raisi anawangalia tu awafanyi chocho Kisha lawama zinaenda Kwa waziri mkuu hi nchi Ina vilaza wengi sana
 
Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa
Hiyo itakuwa "mutiny" dhidi ya Mama. Jambo ambalo litawapa shida wakusanya saini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…