Wabunge walihongwa na DP World; ushahidi huu hapa!

Wabunge walihongwa na DP World; ushahidi huu hapa!

Kweli kuna connection hapa.

Wakati nikimsikiliza Dr. Slaa alipokuwa anaupinga mkataba wa DPW, kuna mahali alitoa mfano kwamba, hata serikali ya awamu ya nne ilitaka kuiuza bandari, bahati nzuri kwetu, yule aliyewapa hiyo taarifa upinzani wakati ule, alifukuzwa kazi.

Kitendo cha kumfukuza kazi yule whistleblower tayari kinaonesha nia ovu iliyokuwepo wakati wa awamu ya nne kwa rasilimali zetu, sasa nikiunganisha na hicho alichoandika Chinga One, nikiongezea na kelele zilizokuwepo kwenye mkataba wa Bandari ya Bagamoyo, naona kabisa, jamaa inawezekana wameamua kuwapa waarabu wakijua ule wa Bandari ya Bagamoyo kwao umeshakuwa mgumu.
Bila shaka huu ni mwendelezo wa mafisi wa CCM kuuza rasilimali za taifa kwa manufaa finyu ya matumbo yao mapana yasiyojaa!
 
Akileta hoja za kumpinga Prof Tibaijuka nitag, nimekaa paleee.

Tatizo mafisadi wameajiri watu wa kuwatetea humu mitandaoni bila kuwapa hoja zozote zaidi ya kupayuka tu pasipo kutoa hoja watu tuwaeewe. Inasikitisha sana😢😮
Sawa neno ujinga linaweza lisiwe tusi lakini ulivyoandika linapekea kwenye tusi. Nilipata hamu sana ya kumsikiliza Prof. Tibaijuka. Kwa kiasi kikubwa ameongelea mambo makuu mawili, "interpretation" na "scope of cooperation" (Kipengele cha 4 kama alivyosema - mimi sina huo mkataba). Amenukuu kipengele hicho namba 4 kama ifuatavyo "Tanzania will inform Dubai of any opportunity ...". Mwandishi wa habari akamuuliza kuwa hicho kipengele kina shida gani? Akaishia kuongelea mambo ya "sovereignty" na kwamba yeye ni "grandmother". Kwa maoni yangu (na kama alivyohoji mwandishi wa habari) hicho kipengele mbona hakina shida yo yote kwani kuwapa taarifa Dubai siyo kusema kwamba watakachotaka tutawajibika kuwapa ("... they will just express their interest subject to our consideration..."). Kwanza hata huko kuwapa Dubai taarifa siyo lazima. Kwa hadhi ya Prof. Tibaijuka "I expected her to be more analytical rather just expressing her worries". Bahati mbaya sana mtu kama Prof. Tibaijuka akisema kitu watu wengi wanamshabikia (na pengine wengine hawana uelewa mkubwa wa mambo). Ana haki ya kutoa maoni yake lakini ni vyema kujitayarisha vizuri kwani ajue anachosema kinavuta watu wengi. Sisi wengine tunatarajia kuwa watu wa hadhi ya Prof. Tibaijuka wawe "more analytical" badala ya kusema tu "wanasheria watakuja". Uzuri wa JF ni kwamba wengi tunaamini kuwa hatujulikani na kwamba tunaweza kuandika cho chote (hata matusi).
 
Magufuli alaumiwe vipi 100% kwasababu aliamua kuchezea uchaguzi??

How?

- Kwani kuchezea uchaguzi ndio kuliwafanya hao wabunge wakachukue rushwa Dubai?

- Kuchezea uchaguzi ndio kulimfanya Samia akatoe bandari zetu kwa wajomba zake huku akiungwa mkono na hao wabunge?

- Kuchezea uchaguzi ndio kuliwafanya kina Mbarawa watie saini zao kwenye ule mkataba wa hovyo?

Kwa mantiki hiyo, kama kwako unaona Magufuli anastahili kulaumiwa 100%, hebu tuambie, Samia yeye aliyesimamia huo uozo chini ya serikali yake alaumiwe kwa asilimia ngapi?
Magufuli ndiye aliyecheza deal ya kuua upinzani ili kule mjengoni wabaki mafisi ya CCM tu yauze nchi bila kubughudhiwa na wabunge wa upinzani.
 
Kwa wabunge wa ccm kuchukua rushwa ni jadi na kawaida yao!
Wamekuwa uzao wa rushwa kama ilivyo ccm, hiki chama kimeleta majanga na laana kubwa mno ktk nchi hii kwa mikataba mingi ya Hovyo!
Tuamke wananchi kupambana na ibilisi!
 
Kwa wabunge wa ccm kuchukua rushwa ni jadi na kawaida yao!
Wamekuwa uzao wa rushwa kama ilivyo ccm, hiki chama kimeleta majanga na laana kubwa mno ktk nchi hii kwa mikataba mingi ya Hovyo!
Tuamke wananchi kupambana na ibilisi!
Hawa watu ni zaidi ya ibilisi. Ni afadhali nchi hii ingeongozwa na shetani kuliko kuongozwa na CCM.
 
Nyie kama mmeshindwa kuandamana pigeni kimya, acha kumlaumu Magufuli hao akina mbowe walafi hata wangekuwa bungeni wangefanyaje
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja nisiwachoshe na maneno mengi. Ukimsikiliza huyu mbunge kwa umakini utakubaliana nami pasi na shaka kwamba wabunge wa CCM walihongwa na kampuni ya DP World ili kuwauzia nchi. Inauma sana. Kumbe mkataba ulisainiwa tangu mwaka jana, sasa hawa wezi wanatuchora tu jinsi tunavyolalamika mitandaoni.

View attachment 2668819


Huyu muoingo, anasema haelewi alikwenda kufanya hapohapo anasema "niliambiwa unakwenda kujifunza namna bandari zinavyoendeshwa".

Hivi mtu kama huyu anakuwaje bungeni kuwawakilisha watu.

Hata sura yake anaonesha ni bomu.

Anavyoongea anajichanganya kwa uongo. Toka January mwaka jana mbona hajayasema yote hayo?


Huyu ni wakala wa shetani.
 
Sawa neno ujinga linaweza lisiwe tusi lakini ulivyoandika linapekea kwenye tusi. Nilipata hamu sana ya kumsikiliza Prof. Tibaijuka. Kwa kiasi kikubwa ameongelea mambo makuu mawili, "interpretation" na "scope of cooperation" (Kipengele cha 4 kama alivyosema - mimi sina huo mkataba). Amenukuu kipengele hicho namba 4 kama ifuatavyo "Tanzania will inform Dubai of any opportunity ...". Mwandishi wa habari akamuuliza kuwa hicho kipengele kina shida gani? Akaishia kuongelea mambo ya "sovereignty" na kwamba yeye ni "grandmother". Kwa maoni yangu (na kama alivyohoji mwandishi wa habari) hicho kipengele mbona hakina shida yo yote kwani kuwapa taarifa Dubai siyo kusema kwamba watakachotaka tutawajibika kuwapa ("... they will just express their interest subject to our consideration..."). Kwanza hata huko kuwapa Dubai taarifa siyo lazima. Kwa hadhi ya Prof. Tibaijuka "I expected her to be more analytical rather just expressing her worries". Bahati mbaya sana mtu kama Prof. Tibaijuka akisema kitu watu wengi wanamshabikia (na pengine wengine hawana uelewa mkubwa wa mambo). Ana haki ya kutoa maoni yake lakini ni vyema kujitayarisha vizuri kwani ajue anachosema kinavuta watu wengi. Sisi wengine tunatarajia kuwa watu wa hadhi ya Prof. Tibaijuka wawe "more analytical" badala ya kusema tu "wanasheria watakuja". Uzuri wa JF ni kwamba wengi tunaamini kuwa hatujulikani na kwamba tunaweza kuandika cho chote (hata matusi).
Kumbe unaelewa ila unajizima data kwa makusudi? Kama unajua maana ya sovereingt ulipaswa ujue nchi kuingia mkataba wenye kipengele cha namna hiyo ni kujishushia hadhi ya kimamlaka. Hakuna nchi yeyote inayoweza kusaini mkataba wenye kipengele kinachoidhalilisha nchi kiasi hicho isipokuwa tanzania tu. Kenya, Uganda au Rwanda hawawezi kusaini mkataba wa kikahaba kama hicho. Kahaba yeye anachojali ni kujiuza kwa mtu yeyote ili apate fedha; hajali utu wske hata kidogo.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja nisiwachoshe na maneno mengi. Ukimsikiliza huyu mbunge kwa umakini utakubaliana nami pasi na shaka kwamba wabunge wa CCM walihongwa na kampuni ya DP World ili kuwauzia nchi. Inauma sana. Kumbe mkataba ulisainiwa tangu mwaka jana, sasa hawa wezi wanatuchora tu jinsi tunavyolalamika mitandaoni.

View attachment 2668819
CCM ni Yuda Eskarioti, wametusaliti mchana kweupe!
Wakati watanzania tunapambana kila siku kujikusuru na umaskini, wabunge hawa wa CCM wamegeuka kuwa Yuda Eskarioti aliyemuuza Yesu kwa vipande 30 vya fedha. Uroho wa mali na uchumia tumbo ndivyo vinavyopewa kipaumbele kuliko utu na uzalendo kwa taifa. Hata kama wakituuza kwa hizo fedha kidogo wanadhani wataishi milele? Hawa wapuuzi wamelaaniwa sio bure.

View attachment 2668825


Huyu ndiyo hafai hata kusikilizwa, ni wakala wa kanisa. Anafikiri tumesahau alivyolambishwa asali na benki ya kanisa, ili afunge mdomo? Kikwete akamstukia akapiga chini.
 
Huyu muoingo, anasema haelewi alikwenda kufanya hapohapo anasema "niliambiwa unakwenda kujifunza namna bandari zinavyoendeshwa".

Hivi mtu kama huyu anakuwaje bungeni kuwawakilisha watu.

Hata sura yake anaonesha ni bomu.

Anavyoongea anajichanganya kwa uongo. Toka January mwaka jana mbona hajayasema yote hayo?


Huyu ni wakala wa shetani.
Jadili hoja usijadili mtu. Unaonesha kiwango kikubwa cha umbumbumbu
 
Magufuli ndiye aliyecheza deal ya kuua upinzani ili kule mjengoni wabaki mafisi ya CCM tu yauze nchi bila kubughudhiwa na wabunge wa upinzani.
Kwanini Samia akaacha hayo yaendelee kama hakuwa sehemu ya ule mpango?
 
Kumbe unaelewa ila unajizima data kwa makusudi? Kama unajua maana ya sovereingt ulipaswa ujue nchi kuingia mkataba wenye kipengele cha namna hiyo ni kujishushia hadhi ya kimamlaka. Hakuna nchi yeyote inayoweza kusaini mkataba wenye kipengele kinachoidhalilisha nchi kiasi hicho isipokuwa tanzania tu. Kenya, Uganda au Rwanda hawawezi kusaini mkataba wa kikahaba kama hicho. Kahaba yeye anachojali ni kujiuza kwa mtu yeyote ili apate fedha; hajali utu wske hata kidogo.
Mimi sijui maana ya neno "sovereingt". Ni lugha gani hiyo? Yale yale niliyoandika ya washabiki wasiokuwa na uelewa wa kutosha. Kazi kuandika matusi tu. Kwani kuandika matusi ndo kutoa hoja? "Kikahaba" maana yake nini?
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja nisiwachoshe na maneno mengi. Ukimsikiliza huyu mbunge kwa umakini utakubaliana nami pasi na shaka kwamba wabunge wa CCM walihongwa na kampuni ya DP World ili kuwauzia nchi. Inauma sana. Kumbe mkataba ulisainiwa tangu mwaka jana, sasa hawa wezi wanatuchora tu jinsi tunavyolalamika mitandaoni.

View attachment 2668819
CCM ni Yuda Eskarioti, wametusaliti mchana kweupe!
Wakati watanzania tunapambana kila siku kujikusuru na umaskini, wabunge hawa wa CCM wamegeuka kuwa Yuda Eskarioti aliyemuuza Yesu kwa vipande 30 vya fedha. Uroho wa mali na uchumia tumbo ndivyo vinavyopewa kipaumbele kuliko utu na uzalendo kwa taifa. Hata kama wakituuza kwa hizo fedha kidogo wanadhani wataishi milele? Hawa wapuuzi wamelaaniwa sio bure.

View attachment 2668825
Magufuli alaumiwe 100%
Haya yote yamesababishwa na Magufuli pale alipoamua kuchezea uchaguzi wa 2020. Ndio. Kama wabunge wa upinzani wangekuwemo bungeni huu upumbavu wa kuwauza watanzania kwa mabeberu wa kiarabu usingefanyika. Huko aliko Mungu anamuona. Kama kaburi lake lingekuwa halilindwi 24/7 tungeenda kulipiga fimbo.

CCM ni ukoo wa panya
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

Ukoo huu wa panya badala ya kuangamia peke yao wameona wagugune mtumbwi ili tuzame wote. Kuchumiia tumbo kwao limekuwa janga la taifa. Ni afadhali nchi hii iuzwe tugawene hela kila mmoja atafute nchi ya kwenda kuishi.

Hii nchi sio mahali pa kuishi tena; imegeuka kuwa shamba la wanyama. Katika shamba la wanyama inasemekana wanyama wote ni sawa lakini baadhi yao ni sawa kuliko wengine. Katika nchi hii ukoo wa panya (CCM) ni sawa kuliko wengine. Ndio maana kila kukicha wanauza rasilimali za taifa kwa bei ya kutupa bila soni.
View attachment 2668810
Huyo mtangazaji wa Wasafi ni pumbavu kabisa. Tena Kenge kabisa
 
Back
Top Bottom