Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Rais wa ovyo kuwahi kutoka TzHawa wabunge walipitishwa na Magufuli baada ya kuchakachua uchaguzi wa 2020. Mungu anamuona huko aliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa ovyo kuwahi kutoka TzHawa wabunge walipitishwa na Magufuli baada ya kuchakachua uchaguzi wa 2020. Mungu anamuona huko aliko.
Muda sio mrefu ujao zinaanza kusainiwa hizo HGAs na biashara inakwenda kuanza. Hivyo endeleeni tu na haya majungu yenu wakati nchi inakwenda kuongeza wigo wa mapato.Naingia kwenye mada moja kwa moja nisiwachoshe na maneno mengi. Ukimsikiliza huyu mbunge kwa umakini utakubaliana nami pasi na shaka kwamba wabunge wa CCM walihongwa na kampuni ya DP World ili kuwauzia nchi. Inauma sana. Kumbe mkataba ulisainiwa tangu mwaka jana, sasa hawa wezi wanatuchora tu jinsi tunavyolalamika mitandaoni.
View attachment 2668819
CCM ni Yuda Eskarioti, wametusaliti mchana kweupe!
Wakati watanzania tunapambana kila siku kujikusuru na umaskini, wabunge hawa wa CCM wamegeuka kuwa Yuda Eskarioti aliyemuuza Yesu kwa vipande 30 vya fedha. Uroho wa mali na uchumia tumbo ndivyo vinavyopewa kipaumbele kuliko utu na uzalendo kwa taifa. Hata kama wakituuza kwa hizo fedha kidogo wanadhani wataishi milele? Hawa wapuuzi wamelaaniwa sio bure.
View attachment 2668825
Magufuli alaumiwe 100%
Haya yote yamesababishwa na Magufuli pale alipoamua kuchezea uchaguzi wa 2020. Ndio. Kama wabunge wa upinzani wangekuwemo bungeni huu upumbavu wa kuwauza watanzania kwa mabeberu wa kiarabu usingefanyika. Huko aliko Mungu anamuona. Kama kaburi lake lingekuwa halilindwi 24/7 tungeenda kulipiga fimbo.
CCM ni ukoo wa panya
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
Ukoo huu wa panya badala ya kuangamia peke yao wameona wagugune mtumbwi ili tuzame wote. Kuchumiia tumbo kwao limekuwa janga la taifa. Ni afadhali nchi hii iuzwe tugawene hela kila mmoja atafute nchi ya kwenda kuishi.
Hii nchi sio mahali pa kuishi tena; imegeuka kuwa shamba la wanyama. Katika shamba la wanyama inasemekana wanyama wote ni sawa lakini baadhi yao ni sawa kuliko wengine. Katika nchi hii ukoo wa panya (CCM) ni sawa kuliko wengine. Ndio maana kila kukicha wanauza rasilimali za taifa kwa bei ya kutupa bila soni.
View attachment 2668810
Prof Tibaijuka ni mtu wa karibu wa Karamagi na ni mnufaika wa pesa ya TICTS, hawezi kuusema vizuri mkataba huu wa DP World.Prof Tibaijuka katuambia UBAYA wa mkataba. Wewe na mafisadi wenzako hebu tuambie UZURI wa mkataba ni upi.
Magufuli ndiye alicheza rafu ya uchaguzi wa mwaka 2020 ili kuua upinzani. Wabunge wa upinzani wangekuwa bungeni, wahongaji wasingethubutu kutoa mlungula. Umeona uhusiano wa kuhongwa unavyomgusa Magufuli?Ulipomtaja Magufuli na wewe unaingia kwenye kulaumiwa kwa sababu kuhongwa fedha kwa wabunge kunauhusiano gani na Magufuli?
Kwani hukuwahi kuwaona wapinzani wakitoka nje ya bunge pale wanapoona uchache wao hauwasaidii kukwamisha hoja za maCCM? Tatizo ni wewe na wananchi wengine kuwapigia kura mafisadi ya CCM badala ya kuwapigia wapinzani ili wawe wengi bungeni watusaidie kupinga hoja za mafisi wa CCM.Sasa Nyumbu hapo nyuma si walikuwepo bungeni je kuna mikataba ilijadiliwa na kusimamishwa na hao nyumbu? hata nyumbu wangekuwepo bungeni nao wangeimba mapambio tu kama akina Musukuma, nani asiyependa rushwa nchi hii?
Hao kurudi labda utawala utuletee mambo ya nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa!! Bila ivo hawatoboi 2025!!Mungu atatushangaa sana endapo hawa wakina Msukuma.and Company watarudi Bungeni Ingawa najua asilimia 90 watarudi but Mungu anatushangaa sana kwa hili.
Hili sakata lilikuwa ni moja ya sehemu ya kudili na hawa wahuni wa Bungeni, ambao wao masilahi yao binafisi na ya Mwenyekiti wao ndio kipa umbele chao.
Hawa najua watarudi, ila Mungu hata jinsi ya kuja kutusaidia tena anashindwa sasa, make hatuwezi jisaidia wenyewe.
Na kinacho wapa nguvu ni hicho kwamba watarudi Bungeni tena na tena.
Je hatuna namna ya kuhakikisha hawarudi tena Bungeni?
Wakati wamatokeo ya uchaguzi kwa asilimia zile zile ndoziwabakishe majumbani mwao,,Mungu atatushangaa sana endapo hawa wakina Msukuma.and Company watarudi Bungeni Ingawa najua asilimia 90 watarudi but Mungu anatushangaa sana kwa hili.
Hili sakata lilikuwa ni moja ya sehemu ya kudili na hawa wahuni wa Bungeni, ambao wao masilahi yao binafisi na ya Mwenyekiti wao ndio kipa umbele chao.
Hawa najua watarudi, ila Mungu hata jinsi ya kuja kutusaidia tena anashindwa sasa, make hatuwezi jisaidia wenyewe.
Na kinacho wapa nguvu ni hicho kwamba watarudi Bungeni tena na tena.
Je hatuna namna ya kuhakikisha hawarudi tena Bungeni?
Njia ni kuhakikisha hawachezei uchaguzi kama ilivyotokea 2020 Magufuli alipochezea uchaguzi. Kama mle bungeni tungekuwa na wabunge wa upinzani angalau 50 tu kusingekuwa na ufisadi wa kutisha kama huu tunaouona leo.Mungu atatushangaa sana endapo hawa wakina Msukuma.and Company watarudi Bungeni Ingawa najua asilimia 90 watarudi but Mungu anatushangaa sana kwa hili.
Hili sakata lilikuwa ni moja ya sehemu ya kudili na hawa wahuni wa Bungeni, ambao wao masilahi yao binafisi na ya Mwenyekiti wao ndio kipa umbele chao.
Hawa najua watarudi, ila Mungu hata jinsi ya kuja kutusaidia tena anashindwa sasa, make hatuwezi jisaidia wenyewe.
Na kinacho wapa nguvu ni hicho kwamba watarudi Bungeni tena na tena.
Je hatuna namna ya kuhakikisha hawarudi tena Bungeni?