Wabunge walihongwa na DP World; ushahidi huu hapa!

Wabunge walihongwa na DP World; ushahidi huu hapa!

Vitendo vya kuuza nchi? Utasubiri hadi uuzwe wewe bibi kikongwe
Kama hii nchi imeuzwa basi hakuna aliyeinunuwa zaidi ya Kanisa. Makanisa yanahodhi ardhi kuliko taasisi nyingine Tanzania6 hii.


Tena hili mama alitazane sana.
 
Kama hii nchi imeuzwa basi hakuna aliyeinunuwa zaidi ya Kanisa. Makanisa yanahodhi ardhi kuliko taasisi nyingine Tanzania6 hii.


Tena hili mama alitazane sana.
Udini umekujaa hadi unashindwa kujadili hoja ya msingi unaleta chuki zako za kuwachukia wakristo.
 
DP wakitaka kutukonga watuondolee Kodi komozi kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini
Wengi sijui hamuelewi kuwa Kodi za magari ni TRA Wala sio bandari, bandari wao Wana ushuru wao ambao sio gharama kubwa na hauobgezi chochote. TRA ndio kwenye kukomoa na Sasa hivi wameongeza tena Kodi kwenye magari
 
Wengi sijui hamuelewi kuwa Kodi za magari ni TRA Wala sio bandari, bandari wao Wana ushuru wao ambao sio gharama kubwa na hauobgezi chochote. TRA ndio kwenye kukomoa na Sasa hivi wameongeza tena Kodi kwenye magari
TRA ibinafishwe wapewe DP watuondolee Kodi komozi.Kodi kubwa makusanyo kidogo
 
Wengi sijui hamuelewi kuwa Kodi za magari ni TRA Wala sio bandari, bandari wao Wana ushuru wao ambao sio gharama kubwa na hauobgezi chochote. TRA ndio kwenye kukomoa na Sasa hivi wameongeza tena Kodi kwenye magari
Mkuu turejee kwenye mada. Hili ndio limesababisha bunge kuhongwa na DPW kuuza nchi kwa gabacholi wa kiarabu?
 
Kwanini Samia akaacha hayo yaendelee kama hakuwa sehemu ya ule mpango?
Samia naye ana lawama zake lakini Magufuli ndiye chanzo kikuu cha haya maumivu tunayopitia
 
Hawa watu ni zaidi ya ibilisi. Ni afadhali nchi hii ingeongozwa na shetani kuliko kuongozwa na CCM.
Ni zaidi ya ibilisi, nakumbuka walivyotaka kuiingiza nchi na mkataba wa Richmond wa karibu nusu bilioni dollar, nilikuwa Texas hiyo time nikaenda kuangalia hiyo address ya ofisi za Richmond, ilikuwa aibu tupu kiofisi kilikuwa ni kama mgahawa wa chai, wahindi wameiba mabilioni kwa ofisi za kwenye mikoba wanayozunguka nayo, CCM ni wapumbavu na washamba kiwango cha SGR
 
Ni zaidi ya ibilisi, nakumbuka walivyotaka kuiingiza nchi na mkataba wa Richmond wa karibu nusu bilioni dollar, nilikuwa Texas hiyo time nikaenda kuangalia hiyo address ya ofisi za Richmond, ilikuwa aibu tupu kiofisi kilikuwa ni kama mgahawa wa chai, wahindi wameiba mabilioni kwa ofisi za kwenye mikoba wanayozunguka nayo, CCM ni wapumbavu na washamba kiwango cha SGR
Hawa watawala nakwambia hawana tafauti na Lucifer. Ndio maana nchi imelaaniwa kila siku watu tunakimbizana kama mbwa kwa maslahi ya mafisi wachache wanaotamani kufakamia rasilimali zote za taifa hili. Mungu anawaona hawa mashetani kutoka kuzimu.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja nisiwachoshe na maneno mengi. Ukimsikiliza huyu mbunge kwa umakini utakubaliana nami pasi na shaka kwamba wabunge wa CCM walihongwa na kampuni ya DP World ili kuwauzia nchi. Inauma sana. Kumbe mkataba ulisainiwa tangu mwaka jana, sasa hawa wezi wanatuchora tu jinsi tunavyolalamika mitandaoni.

View attachment 2668819
CCM ni Yuda Eskarioti, wametusaliti mchana kweupe!
Wakati watanzania tunapambana kila siku kujikusuru na umaskini, wabunge hawa wa CCM wamegeuka kuwa Yuda Eskarioti aliyemuuza Yesu kwa vipande 30 vya fedha. Uroho wa mali na uchumia tumbo ndivyo vinavyopewa kipaumbele kuliko utu na uzalendo kwa taifa. Hata kama wakituuza kwa hizo fedha kidogo wanadhani wataishi milele? Hawa wapuuzi wamelaaniwa sio bure.

View attachment 2668825
Magufuli alaumiwe 100%
Haya yote yamesababishwa na Magufuli pale alipoamua kuchezea uchaguzi wa 2020. Ndio. Kama wabunge wa upinzani wangekuwemo bungeni huu upumbavu wa kuwauza watanzania kwa mabeberu wa kiarabu usingefanyika. Huko aliko Mungu anamuona. Kama kaburi lake lingekuwa halilindwi 24/7 tungeenda kulipiga fimbo.

CCM ni ukoo wa panya
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

Ukoo huu wa panya badala ya kuangamia peke yao wameona wagugune mtumbwi ili tuzame wote. Kuchumiia tumbo kwao limekuwa janga la taifa. Ni afadhali nchi hii iuzwe tugawene hela kila mmoja atafute nchi ya kwenda kuishi.

Hii nchi sio mahali pa kuishi tena; imegeuka kuwa shamba la wanyama. Katika shamba la wanyama inasemekana wanyama wote ni sawa lakini baadhi yao ni sawa kuliko wengine. Katika nchi hii ukoo wa panya (CCM) ni sawa kuliko wengine. Ndio maana kila kukicha wanauza rasilimali za taifa kwa bei ya kutupa bila soni.
View attachment 2668810
Hii naitunza ina ujumbe mzito ambao tafakari yake itaeleweka karne ya 22
 
Hawa wabunge walipitishwa na Magufuli baada ya kuchakachua uchaguzi wa 2020. Mungu anamuona huko aliko.
Tushawah kuwa na meremeta, EPA, Richmond, Dowans, IPTL na wabunge walikuwepo na wala hawakupishwa na Magufuli! Nakumbuka kipindi cha IPTL Rais Kikwete alikuwa akiwatete IPTL
 
Huyu muoingo, anasema haelewi alikwenda kufanya hapohapo anasema "niliambiwa unakwenda kujifunza namna bandari zinavyoendeshwa".

Hivi mtu kama huyu anakuwaje bungeni kuwawakilisha watu.

Hata sura yake anaonesha ni bomu.

Anavyoongea anajichanganya kwa uongo. Toka January mwaka jana mbona hajayasema yote hayo?


Huyu ni wakala wa shetani.
Wakala wa shetani ni mama yako mvaa majuba mwenzako aliyeuza nchi kwa waarabu wenzake wafuga majini.
 
1687928482162.jpeg
 
Back
Top Bottom