Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Watabaki na chama cha spika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuandika kwenyewe hujui TUNAKUPUUZA!
Hamna ataefukuzwa mnajisumbua bure.Tumia akili wewe,huoni kama walikuwa wanatoa kauli chafu.Kama ni kuwakilisha wananchi mbona Jafari Michael na Lijualikali wamebaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikimkumbuka rwakatare Enzi zile yuko ni Ile Nissan March alipokuwa anaingiza cdm hata nuru hakuwa nayo, Chama kimembeba hadi akapata ubunge...
Mwisho atabaki Mbowe,Lucy Mukya,Mdee na Bulaya.Safi sana CHADEMA,
Ondoa chuya bakiza mchele.Hakuna haja ya kuwabeba mamluki wakati wa vita.
SawaEndelea kuota.
Mbowe kampigania sana lwakatare nashangaa lwakatare kwanini Ajitambui.
Wewe jamaa tangu magufail kaingia kusikomfaa, akili zako zimehamia chini. Acheni ushabiki wa kibwege kama wa gwajiboy.Kabla ya 2015 CHADEMA ilikuwa taasisi ya umma ambayo ilikuwa inahamasisha umma mpaka CCM ikafikia kujivua magamba. Lakini katikati ya 2015 CHADEMA iligeuka kuwa kampuni ya mtu binafsi ikiwa na lengo la kutimiza maagazio ya mmiliki wake tu. Kwa hiyo kuhamasiha umma kukageuka kuwa ni kugoma, kuandamana na kufanya vurugu hata pale pasipokuwa na ulazima.
Pawepo na tume huru uone kitu mtafanywa na Watanzania.Waiz nyieMwisho atabaki Mbowe,Lucy Mukya,Mdee na Bulaya.
Waendeleze kale kamchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay covidiotSawa
Maana ya "wengi wape " ndo demokrasia yenyewe. Ukiondoa hiyo maana yake demokrasia itapoteza maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hicho ni chama au Saccos?CHADEMA ni chama makini sana!!
Mwaka 1995 Mbowe alikuwa Marangu anakunywa Mbege? Wakati mwingine huwa nawasikitikia sana kwa yale mnayoyaandika humu?Rwakatare ameanza kuwa mbunge,Mbowe bado yupo marangu anakunywa mbege acha fiks
Wewe unaonaje?Kwani hicho ni chama au Saccos?
Wengine wametakiwa kujieleza kwa kukiuka agizo la chama na kuhudhuria bunge.Mbona wanasema kuwa waliohudhulia vikao vya bunge ni 17, why these 4 only? johnthebaptist