Kipimo cha kutokuwa na Akili timamu ni kushabikia CCM na CHADEMA.
Bora TIELOPI?😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipimo cha kutokuwa na Akili timamu ni kushabikia CCM na CHADEMA.
Bora TIELOPI?😀
Intelijensia inayogundua mambo baada ya kuharibika hiyo ni Intelijensia butuNasikitika kuona UPINZANI hasa chama kikuu CHADEMA kikipita katika wakati mgumu kiasi hiki.
Jambo pekee ambalo watu wengi hawalifahamu ni kwamba Udhaifu wa upinzani (vyama vya ukosoaji) ndiyo Udhaifu wa Serikali.
Kingine ambacho nakiona ni hofu ya CHADEMA dhidi ya ulaghai unaoweza kufanyika kwa wabunge hao waliokubali kuwasaliti wenzao pamoja na maagizo ya Chama. Fikra zangu zinanishawishi kuwa endapo wangevuta subira kidogo wangeweza kupata mengi zaidi kuliko hivi sasa, japo ni ngumu sana kuwa na muda mrefu wa uvumilivu hasa katika kipindi hiki ambacho hujuma za kisiasa zimekithiri pande zote na wakati ambao kila upande ukitafuta namna ya kujiimarisha kisiasa.
Aidha Intelijensia ya Chama imeshapata infos za kutosha.
Mungu atuvushe salama katika janga hili la CORONA na kuwapa hekima wanaotakiwa kuwasemea/ kuwasaidia Watanzania walio wengi na wasijue cha kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri ukiandika kwa lugha ya mabeberu ndiyo utatufanya tukuamini kwamba si mbumbumbu!!Mwaka 1995 Mbowe alikuwa Marangu anakunywa Mbege??? Wakati mwingine huwa nawasikitikia sana kwa yale mnayoyaandika humu?
Mbowe was elected to the National Assembly in 2000 representing Hai Constituency. He won 64.5% of the vote, which was the highest percentage of votes won among constituencies with opposition MP's
Intelijensia inayogundua mambo baada ya kuharibika hiyo ni Intelijensia butu
Sent using Jamii Forums mobile app
SaccosWewe unaonaje???
Sasa Boss, hapo ni nani atakayetumia Busara?
Ni aibu kwamba Maelezo ya wote waliohama chama yanaonekana yako sahihi. Kwamba ukitaka kubaki CHADEMA, lazima utii amri za Mbowe. Hii ni hali wanayoiga toka CCM lakini, hawajitambui. CCM ina legacy ya chama kimoja na chama kushika hatamu. Vyama vya mageuzi kama CHADEMA walistahili kuwa watu wenye sayansi ya siasa na uwezo mkubwa wa ufahamu.
Kwa mtindo huu siyo tena jambo la kujiuliza eti waliohama walinunuliwa au hapana! Vijana walidhani ni chama kinachowafaa kwa mageuzi kumbe wapi! Utafuata mageuzi wakati kuna mtu ambaye hapingwi?
Sijaandika mimi ndugu yangu bali nimenukuu toka kwingine na kuweka hapa JF (Copy &Paste). Samahani isije ikaonekana nimefanya "plagiarism" kwenye maandishi ya watu!!Unafikiri ukiandika kwa lugha ya mabeberu ndiyo utatufanya tukuamini kwamba si mbumbumbu!!
Sifa za SACCOS sizijui hebu nieleze labda naweza kuamini kwamba CHADEMA ni SACCOS!!Saccos
Ndio Mzee? Hivi Kiongozi Mkuu wa Kambi ya Upinzani ni Mzee? Halafu wanawezaje kuchagua mtu mwingine na kumwita Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bila ya baraka za chama??Hapa si ndiyo yale ya kutaka NDIYO MZEE!
Tofauti gani na CCM?
Hivi ndio kuenzi demokrasia?
CHADEMA ni chama makini sana!!
Wewe jamaa tangu magufail kaingia kusikomfaa, akili zako zimehamia chini. Acheni ushabiki wa kibwege kama wa gwajiboy.
Watakosa 340,000 x 19 = 6,460,000 kila mmoja, lakini kuna chama kipya cha spika watabaki hukoWa kuwaachia wapo wengi tu ndio maana kamsogeza mnyika ukatibu na Lissu makamu yeyote kati ya hao anaweza kuibeba CHADEMA kwa miaka 10 ijayo.
Zitto alikua insubordinate, chama kilimvumilia sana ila kiukweli alipata alichostahili. Ilifika kipindi zitto anakejeli chama wazi wazi utadhani yye hayupo CHADEMA. Mara chama kikaguliwe na CAG utadhani yye sio Naibu KM wa kutekeleza hilo, mara mitambo ya dowans iletwe ilihali chama kiliweka msimamo wa kupinga!!
Kiufupi Zitto alishakua mkubwa kuliko chama ilikua either wampe uenyekiti au autafute kwingine. Angekua loyal kma Mnyika au Lisu leo hii angekua KUB