Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Kamati kuu imejitikenya na kucheka wenyewe, Wabunge waliofukuzwa watabaki Bungeni wanaenda mahakamani kutafuta court injection.

Pia Speaker atawabeba wameweka maslahi ya wananchi mbele na sio chama. This is the end of the beginning of CHADEMA.
 
Naona hapa wanaoumia ni washabiki,Kocha hana malengo ya kuisaidia timu yake bali kuwasaidia timu pinzani,mambo yataenda hivi mwisho wa siku hata yeye atataka akae pembeni timu iongozwe na kocha aliyetoka timu pinzani huku ikijulikana wazi kuwa kocha yule ni mnazi wa timu yake na mwanachama mtiifu,...
Sasa kama ni hivyo kwanini watandike risasi hao wapinzani feki, yaani kwanini Mbowe arisk kukaa gerezani miezi 6 kufurahisha wazungu?

CUF ya lipumba au TLP ya mrema mbona inatosha kuonyesha ushahidi wa demokrasia Tanzania!!

Leo hii Mbowe akienda CCM mtampa uwaziri atakula bata na hatowahi kaa jela sasa kwanini apigike upinzani ambako hakuna hela za kutafuna za kutosha??

Hii metaphor yako haina logic kabisa msiwafanye CCM kama ni bright kiasi hiko.
 
Kamati kuu imejitikenya na kucheka wenyewe, Wabunge waliofukuzwa watabaki Bungeni wanaenda mahakamani kutafuta court injection. Pia Speaker atawabeba wameweka maslahi ya wananchi mbele na sio chama. This is the end of the beginning of CDM
Masikini sasa kwani wamefukuzwa ili wasipate mafao yao?
Some people like you always wanna be academic were is not even necessary!
 
Kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichoongozwa na mwenyekiti wake mh Mbowe kwa njia ya mtandao kimefanya maamuzi magumu mno.

Taarifa ya maamuzi hayo inategemewa kutolewa leo na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh. John J. Mnyika.

—————
UPDATES
—————
Akitolea maamuzi hayo, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema

Kamati Kuu CHADEMA imeazimia Wabunge Anthony Komu na Joseph Selasini pamoja na kuwa wamejipotezea sifa ya uanachama wa CHADEMA, wameendelea kutoka kauli za kejeli, kashfa na kukiuka maagizo ya Chama, hivyo Chama kimeazimia kuwafukuza uanachama

Mbunge David Silinde na Wilfred Rwakatare sio tu wamekiuka agizo la Chama bali wamekuwa wakijitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa maneno ya kashfa na kejeli dhidi ya maagizo ya Chama na Viongozi wa Chama, Kamati Kuu CHADEMA imefikia uamuzi wa kuwafuta uanachama.

Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Mariamu Msabaha, ameshiriki kukiuka maagizo ya Chama, ilitakiwa awe mfano na kwakuwa amekwenda kinyume, amevuliwa nafasi zake zote ndani ya Chama na kubaki na Ubunge na atatakiwa ajieleze kwanini asichukuliwe hatua zaidi kwa kukiuka maagizo.

View attachment 1447012
View attachment 1447013
View attachment 1447014
VIZURI SANA
 
Wa kuwaachia wapo wengi tu ndio maana kamsogeza mnyika ukatibu na Lissu makamu yeyote kati ya hao anaweza kuibeba CHADEMA kwa miaka 10 ijayo...
Hii ni kweli kabisa, ila alikuwa na mvuto kwa vijana na wasomi.Kuna watu walifikiri akitoka wata fix nafas yake kirahisi, pigo lingine ni kuondoka kwa Dr. Slaa,
 
Kamati kuu imejitikenya na kucheka wenyewe, Wabunge waliofukuzwa watabaki Bungeni wanaenda mahakamani kutafuta court injection. Pia Speaker atawabeba wameweka maslahi ya wananchi mbele na sio chama. This is the end of the beginning of CDM
Duu hiki kimalkia miguu juu kichwa chini!
 
Sasa Boss, hapo ni nani atakayetumia Busara?
Ni aibu kwamba Maelezo ya wote waliohama chama yanaonekana yako sahihi. Kwamba ukitaka kubaki CHADEMA, lazima utii amri za Mbowe. Hii ni hali wanayoiga toka CCM lakini, hawajitambui. CCM ina legacy ya chama kimoja na chama kushika hatamu. Vyama vya mageuzi kama CHADEMA walistahili kuwa watu wenye sayansi ya siasa na uwezo mkubwa wa ufahamu...
Mkuu kupinga unaweza sana ila kupitia vikao halali, ambacho silinde angefanya ni kukusanya saini za waliokataa mapendekezo alafu kuwasilisha kma hoja rasmi kupitia platform zao ili ijadiliwe na vikao halali.

Ila sio kusikia agizo la mwenyekiti alafu unaenda tu kwa media kukejeli sio ustaarabu.

Mbona kina Komu na Kubenea walipotaka kumdhuru Jacob hawakutimuliwa? Ama ule mpango wa kuhamia ACT plus ule mpango wa kumtoa Mbowe kupitia sumaye!! Sababu walienda kwenye vikao halali kuyatolea ufafanuzi ila wangeenda tu kwenye media wangeshafukuzwa kitambo sana.

Tujifunze nidhamu, chama ni taasisi.
 
CHADEMA utakuwa ujinga wa kutokwenda shule kushabikia CHADEMA
 
Mkuu maagizo ya mwenyekiti ni official directive ya chama ambayo kila mwanachama anapaswa kusimamia.

Kwa hiyo kuna mawili wangekataa kupitia vikao halali vya chama hyo directive ambapo silinde ange raise hyo hoja kma katibu wa wabunge kwamba maagizo hayo ya chama wameyakataa...
Mimi nawashangaa Hawa Mafisi wa Lumumba Street. Wao wamesha sahau maamuzi magumu ya Mwenyekiti wao Jiwe kuhusu sakata la kina Membe, Mzee Makamba, Kinena, Nape,Januari etc....!

Wakifanya wao ni nidhamu ya chama inaxingatiwa lakini wakifanya CHADEMA.....umbeya mwingi Sana!

Kila Chama kina sheria,Kanuni na taratibu za kufuata kwa yeyote anayekiuka maelekezo ya Chama.

After all Bunge la Bajeti linamalixika mwisho wa mwezi na linavunjiliwa mbali, so far so good. There's nothing to loose.
 
Back
Top Bottom