Eti kwa maamzi ya chama hahahhahahaha hivi siku Mbowe anatoa agizo la wabunge kutohudhuria vikao vya bunge hiyo kamati ya chama iliketi wapi na saa ngapi??? Yaaani huu ndo upumbavu wa vyama vya siasa na viongozi wake, yaani utoe maamzi wewe ukiwa just a single entity then uyaite maamzi ya chama??? Halafu uje ushinikize vikao kuonyesha unademokrasia ufukuze watu hahahahahha chadema hii hatari
Hakuna demokrasia hata zero hakuna , narudia tena chadema hakuna demokrasia , endeleeni mashabiki kumwabudu mzee baba , mkiambiwa macho yanafyatuka kama chura aliyekoswa na gari bara barani mtaelewa tu ipo siku
Sent using
Jamii Forums mobile app