Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Nikimkumbuka rwakatare Enzi zile yuko ni Ile Nissan March alipokuwa anaingiza CHADEMA hata nuru hakuwa nayo, Chama kimembeba hadi akapata ubunge...
Rwakatare huyuhuyu ambaye alikuwa mbunge since 2000 kupitia CUF.
 
Silunde ni mpumbavu Sana kijana halafu unakuwa msaliti.
Sijawahi kuwa na mashaka na chadema.
Anatoka chuo hana lolote mwili kama fidodido
Chama kimemlea, kimempa nafasi
Yaani unatoka chuo ajira yako ya kwanza unakula ubunge, Leo hii unavimbiana na waliyokukuza

Ova



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walipokelewa wakiwa wanapanda daladala na sasa wamepata mashangingi wanaringaringa tu hawana habari


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hao huwa hawaniambiagi lolote
Wapuz tu Ngoja waende hko ccm
Komu mwenyewe ajira yake alikuwa mhasibu mkuu wa Chama hadi badaye akapewa line ya ubunge

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoma ya watoto haijawahi kukesha hata wakinywa kahawa.

Na

Chombo cha kuzama hakina usukani.
 
Kama kuna mtu Mbowe ana mmis sana ni Zitto. Mbowe alishachoka kuwa mwenyekiti Ila hana mtu wa kumuachia chama.

Yaani hana kiongozi rafiki ambaye ana mthubutu kumshauri ukweli.Chama kimejaa watu waoga mno.

Hii tofauti kwa chama cha mapinduzi,wapi watu wengi ambao hawa muogopi yeyote ,CCM inafanya kazi nyingi kwa wakati mmoja ,yaani kifupi kuilinda nchi.
 
Eti kwa maamzi ya chama hahahhahahaha hivi siku Mbowe anatoa agizo la wabunge kutohudhuria vikao vya bunge hiyo kamati ya chama iliketi wapi na saa ngapi?

Yaaani huu ndo upumbavu wa vyama vya siasa na viongozi wake, yaani utoe maamzi wewe ukiwa just a single entity then uyaite maamzi ya chama?

Halafu uje ushinikize vikao kuonyesha unademokrasia ufukuze watu hahahahahha chadema hii hatari

Hakuna demokrasia hata zero hakuna , narudia tena chadema hakuna demokrasia , endeleeni mashabiki kumwabudu mzee baba, mkiambiwa macho yanafyatuka kama chura aliyekoswa na gari bara barani mtaelewa tu ipo siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom