DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Bwashee sisi ndio waasisi wa Chadema pale Kisutu majamatini kwenye ofisi za rip Ndesamburo!
Aisee kwaiyo wewe unatoka kaskazini .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee sisi ndio waasisi wa Chadema pale Kisutu majamatini kwenye ofisi za rip Ndesamburo!
ukweli mtupuMaamuzi magumu ni mwenyekiti kukaa pembeni ili kukiokoa chama kinyume na hapo Ni bure tu
Ni sawa lakini hawa watu automatically kwa matendo yao hawakuonekana kutaka kuendelea kuwa wanachama wa Chadema.Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Kamati Kuu CHADEMA imefikia uamuzi wa kuwafuta uanachama Mbunge David Silinde na Wilfred Rwakatare baada ya Wabunge hao kukiuka agizo la Chama na kukijitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa maneno ya kashfa na kejeli dhidi ya maagizo ya Chama na Viongozi wa Chama...
Safi sana JJM, yaani Silinde ni Mpumbavu sana!! Mwache aende NCCR,wakati Kigogo alivyosema Jamaa kanunuliwa watu walikuwa hawajamuelewa kigogo na ndio hivyo yupo kwenye wabunge 20 wa NCCR.Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Kamati Kuu CHADEMA imefikia uamuzi wa kuwafuta uanachama Mbunge David Silinde na Wilfred Rwakatare baada ya Wabunge hao kukiuka agizo la Chama na kukijitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa maneno ya kashfa na kejeli dhidi ya maagizo ya Chama na Viongozi wa Chama...
Kama una taasisi inayoheshimika, huwezi kukaa na watu kama hao ambao wanadharau maagizo ya taasisi. Jaribu kwa Jiwe kama utafika saa moja subuhi! Watakaobaki CDM wanatosha sana!Wakati mwingine ni busara kukaa kimya kuliko kuchukua hatua ambazo zinazidi kudhoufisha chama sioni sababu za msingi za kufukuza wabunge wakati kila siku wananunuliwa kama ndugu