Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichoongozwa na mwenyekiti wake mh Mbowe kwa njia ya mtandao kimefanya maamuzi magumu mno.

Taarifa ya maamuzi hayo inategemewa kutolewa leo na Katibu mkuu wa chama hicho Mh. J J Mnyika.

Source: Tanzania Daima
Hayo maamuzi magumu we umeyajuaje mkuu...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi yule aliyevunjwa mkono na kutaka kwenda kutibiwa nje, hatimaye kaponea ndani? Kumbe nje maringo tu!
 
Ni makosa makubwa kuendelea kuamini kwenye maisha kwamba watu wote unaoweza kufanya nao urafiki wasiwe wasaliti, Eti watu wote ambao unaweza kujenga nao Chama kusiwemo wasaliti!! Huo ni Ujinga mkubwa,...

Ushauri nzuri sana huu kwa yule aliyemfukuza uanachama Membe, kazi yake ni kuamrisha,kufokea na kutukana wasaidizi wake(Anaitwa Jiwe,ni Jiwe kweli kweli)
 
Karibu.

Up dates;
Wapo wabunge waliotimuliwa na wengine wametakiwa kujieleza kwa kukiuka maamuzi ya chama ya kujitenga na bunge kwa siku 14.
 
Kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichoongozwa na mwenyekiti wake mh Mbowe kwa njia ya mtandao kimefanya maamuzi magumu mno.

Taarifa ya maamuzi hayo inategemewa kutolewa leo na Katibu mkuu wa chama hicho Mh. J J Mnyika.

Source: Tanzania Daima
Anaungurumia wapi?
 
Aisee mkuu wewe hapa Jf nimtu wa kwanza kupenda siasa sana , nafikiri wewe mkuu siasa kwako niburudani tosha ..nakukubari
Bwashee sisi ndio waasisi wa Chadema pale Kisutu majamatini kwenye ofisi za rip Ndesamburo!
 
Back
Top Bottom