Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Mwenyekiti wenu hua ana wisdom au anger?
Mkuu, Maana ya kuwa na Chama mbadara bado hujajua ni nini Maana yake?

Nikuviziana, huku hawana hiki, Mimi najitahidi kuwa nacho, kama mambo yaliyoko CCM tuyakute tena Chadema, Maana yake hakuna mbadala hapo ni janjajanja tu inayofanyika,

Ni Ujinga kuamua mambo ki CCM CCM Wakati wewe ukijita ni Chama mbadala
 
tulisema tukabezwa humu, kuwa mpaka 2020 wakati wa uchaguzi, chadema itakuwa imebaki na mwenyekiti tu hawa wote waliofukuzwa ndio waliokuwa wajenzi wa chadema 2010_2015 eti sasahivi ndio wamekuwa wasaliti. Tabu ya Mbowe ataki kuhambiwa ukweli kuwa ndiye alialibu chadema Kwa gia yake ya angani. Sasa wanatafunana wenyewe Kwa wenyewe watamalizana. Mungu ibariki Tanzania
Ninachoshangaa ni chadema kufukuza wanachama wake halafu wanaccm wakaumia.
Kinachowauma wanaccm na kuanza kuropokwa ovyo ni nini hasa?
 
Mkuu kila mahali pana utaratibu wake unajulishwa kabla hujaingia na wao walijua kawaida sikila Jambo mtakubaliana Ila mnapingana kwenye vikao tu mkitoka pale wote mnakuwa kitu kimoja
sikia ndugu hakuna Samaki mwenye nguvu akiwa nje ya maji
wao wanadhani Nccr watapata ubunge kirahisi ngoja tuone
Busara ilikuwa ni kuwaacha tu ndani ya Chama wajipoteze wenyewe, kwa sasa ni kama mmewapa kiki hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu Kaka Lwakatare alichakaaaaa Ila leo anajiita KUB daah
Nikimkumbuka rwakatare Enzi zile yuko ni Ile Nissan March alipokuwa anaingiza cdm hata nuru hakuwa nayo, Chama kimembeba hadi akapata ubunge
Nuru ikamrudia, Sasa anataka kuvimbiana na watu
Huyu silinde naye yuko chuo anaenda kwenye chama
Hana A wala Be upepo wa slaa ule akapata ubunge
Kuna wakati fulani Kuna watu tunawacheki tu!

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunajua kabisa mmewafukuza sababu ni wabunge wanaojitambua kuwa ni wazalendo na hawataki kutumiwa kujenga umaarufu wa kisiasa ambao hauna tija.

Mlipoenda jela na kunyolewa mipara na kisha kupigwa sachi ya kijeshi hawakuwaunga mkono sababu ninyi mmezoea siasa za harakati ambazo kwa sasa hazina tija. Na hapa ndio mlipowachukia hawa wazalendo, maana wao wana busara na maono makubwa.

Mmezoea siasa za harakati na siasa za kupata umaarufu kwa kupitia matukio maana mlitaka kutumia janga la Corona virus ili kujipatia umaarufu.

Mtu yuko Belgium alafu anataka kuwaaminisha watanzania kuwa kuna wabunge watatu walifariki kwa Corona yeye ana uhakika gani? Vyeti vya vifo vya hao wabunge ameviona?

Sasa hivi mmerudi kwenye ishu ya sukari na soon mnakwama, maana mmekuwa mnakwama kwa kila jambo ambalo mnataja liwapaishe kisiasa. Na kwa sababu hawa jamaa walikuwa bungeni kutuwakilisha sisi Watanzania natoa rai kwa spika mkipeleka barua ya kuwafukuza aiweke kwenye waste bin alafu ichomwe moto na hawa wazalendo waendelee kuchapa kazi.

Kama mna hasira ya kulipishwa zile pesa mlizokula bila kuzifanyia kazi basi tembezeni bakuli alafu wanachama wenu wawachangie maana mlishazoea kuchangiwa. Lakini kuleta kisasi kwa hawa wabunge sio jambo jema na kipimo kinachoonyesha kisiasa mmefeli sana.
 
Ni sawa lakini hawa watu automatically kwa matendo yao hawakuonekana kutaka kuendelea kuwa wanachama wa Chadema...
Siyo kutemwa hawa, hata Mbowe kwa nini ameachwa hadi kufikia hapa?
Kama kweli Mbowe anafaa kiasi hiki basi ajitambue kwamba alionao siyo size yake, aondoke maana hataweza kupata wanaomfaa.

Lakini kwa uhakika kabisa, tangu aanze kusemwa kwa tabia ya ubabe na waliohama, yeye ndo hafai. Anakiua chama. Wanachukuwa maamuzi ya kizembe mwaka wa uchaguzi. Anadhani huo ndo uimara lakini mpiga kura anajionea hayo na kuona kama uhuni tu!
 
Spuka aliwaambia wabunge wa upinzani wasiogope wakae bungeni kwa amani kabisaa,ngoja tusubili tuone
 
NCHI IPO KWENYE HARAKATI ZA KUPAMBANA NA CORONA WAO WAPO BUSY NA KUFUTA WABUNGE UANACHANA HAWA HAWANA UCHUNGU NA HILI TAIFA TUWAPUUZE WAMETUMWA NA MABEBERU
 
Niliandika hapa siku si nyingi, kwamba chadema itaingia kwenye wiki mbili ngumu mno. Naona yameaza kutokea. Mwenyekiti anapaswa mawazo yake yawe shirikishi, huwezi kutoa maamuzi kama vile unaowaongoza ni watoto wa nursery.

Kitendo cha mwenyekiti kusitisha wabunge wasiingie bungeni kilikua ni cha maamuzi mabaya mno. Mwenyekiti hakusoma alama za nyakati. Wanaweka rehani posho zao za mamilioni na uhakika wa kurudi bungeni ni mdogo, hivyo kwa mantiki hiyo wata wanaamua kujilipua na kua nunda.

Kitendo kile cha mwenyekiti kuruhusu lowasa aje ndani ya chama, kilimjengea picha mbaya hata ndani ya chama, hivyo watu wapo chadema pia kwa ajili ya masilahi huku wakiamini mwenyekiti kuna jinsi alinufaika.

Chadema sasa sio ile ya kusimamia maadili, sio ile ya 'opersheni sangara', 'list of shame' na makamanda wa uhanarakati. Kipindi kile watu walikipenda chama na ideology yake. Saizi wamekua kama CCM ni masilahi mbele... Sasa kila mtu anaangalia tumbo. Baada ya uchaguzi 2020 kutakua na mabadiliko makubwa bungeni, upinzani hautakua huu, na CDM litabaki jina... Tunzeni hii comment

The irreplaceable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama itakuwa ni kuwafukuza uanachama watu, hayo hayatakuwa maamuzi magumu. Tujifunze kukubali maamuzi yanayopingana na misimamo yetu. Sometimes hii ya “wengi wape” haina mantiki
Sure mkuu, sio kila uamuzi wa chama lazima tuukubali wote. Mengine tujifunze kwa wenzetu wanaosema NO
 
CCM wamesikitika sana, wameumia sana. Nashangaa wanaumia wakati wamerahisishiwa biashara waliyofanya kwa maiak 4 tena kwa damu?

Walipowanyongoa meya wa DAr n kumuingiza bi tukinao-Dr Chemka kisonyi hawakujua kwamba wanafanya nini?

Leo kwanini wanalia lia eti CHADEMA isiwafukuze hawa mapandikizi? CCMtusheherekee tumerahisishiwa kazi, na bwana ayubu Ndugu - ai pia karahisishiwa, akitaka awaite waendelee kula penshenikama mwambe, maana yeye na Meku Tanganyika ni yao
 
Back
Top Bottom