Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Wabunge wanne - Anthony Komu, Joseph Selasini, David Silinde na Wilfred Lwakatare wafutwa uanachama wa CHADEMA

Mimi nawashangaa Hawa Mafisi wa Lumumba Street. Wao wamesha sahau maamuzi magumu ya Mwenyekiti wao Jiwe kuhusu sakata la kina Membe, Mzee Makamba, Kinena, Nape,Januari etc....! Wakifanya wao ni nidhamu ya chama inaxingatiwa lakini wakifanya CHADEMA.....umbeya mwingi Sana!
Kila Chama kina sheria,Kanuni na taratibu za kufuata kwa yeyote anayekiuka maelekezo ya Chama.
After all Bunge la Bajeti linamalixika mwisho wa mwezi na linavunjiliwa mbali, so far so good. There's nothing to loose.
sawa kufukuza wanachama sio tatizo vyama vyote hufanya hivyo lakini kwa kosa gani kubwa?
 
Utasikia wamenunuliwa.
Kitu imoja nina uhakika, silinde kokote atakakoenda anaenda na jimbo lake.
 
Ccm walikaa jiwe polepole bashiru na mzee mangula ndo wajwamfukuza membe na kina kinana na makamba wakipewa karipio kali Chadema wamekaa mbowe mnyika na wengine wengi zaidi ya 10 naunga mkono maamuzi haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 1995 Mbowe alikuwa Marangu anakunywa Mbege??? Wakati mwingine huwa nawasikitikia sana kwa yale mnayoyaandika humu?

Mbowe was elected to the National Assembly in 2000 representing Hai Constituency. He won 64.5% of the vote, which was the highest percentage of votes won among constituencies with opposition MP's
1995 alikuwa DJ bills
 
Asa kama mtu kashafukuzwa uanachama anandikaje barua ya kujieleza tena
 
Sasa Boss, hapo ni nani atakayetumia Busara?
Ni aibu kwamba Maelezo ya wote waliohama chama yanaonekana yako sahihi. Kwamba ukitaka kubaki CHADEMA, lazima utii amri za Mbowe...
Hakuna chama kisicho Na utaratibu Mkuu, vinginevyo Ni bora kutojiunga Na chama.Wale wabunge walichemka kuingia bungeni.
 
Demokrasia ni muhimu sana ila hatuwezi kujenga chama kisicho na nidhani; akina Silinde wanajua kabisa bila chama wao siyo lolote wala chochote.

Asidhani Magufuli atawabeba milele bali Chadema ingewabeba kwa muda mrefu sana kwenye siasa. Kwanza watambue kua wote wanaobeba kutoka Chadema na Magufuli wajue wao ni chukizo sana huko ccm; anasubiriwa tu muda wa Magufuli upite then watupiwe virago nje.

Chama inawanachama wengi tutajenga chama tu; waliozaliwa kipindi cha chadema ni wengi kuliko kipindi cha ccm.
 
Una matataizo ya uelewa; na sababu kubwa inatokana na ama kutokujua kusoma au kusoma mambo ukiwa na mindeset fulani. Wengine tumekomalia katika kusoma substance, siyo ushabiki kama unavyokomaa hapa...
Kusambaza taarifa isiyo credible na ww unakuwa kwenye hyo chain mkuu!!

Mimi siwezi kuleta video ya watu 10 kuwakilisha maoni ya JF nzima sio kutenda haki kabisa kwa Mbowe.

Mainstream media ingefaa zaidi sio vi-blog uchwara, tijifunze kuleta credible sources humu.

Hao ni obvious wameandaliwa statement wasome tu but hawaelewi lolote kuhusu partial lockdown aliyosuggest Mbowe na kma wangekua na nia si wangepeleka malalamiko yao dhidi ya Mbowe kwenye consultative commitee za jimboni ama ofisi yake hawaijui?

Mkuu your too good to be a propaganda tool!!
 
tulisema tukabezwa humu, kuwa mpaka 2020 wakati wa uchaguzi, chadema itakuwa imebaki na mwenyekiti tu hawa wote waliofukuzwa ndio waliokuwa wajenzi wa chadema 2010_2015 eti sasahivi ndio wamekuwa wasaliti. Tabu ya Mbowe ataki kuhambiwa ukweli kuwa ndiye alialibu chadema Kwa gia yake ya angani. Sasa wanatafunana wenyewe Kwa wenyewe watamalizana. Mungu ibariki Tanzania
Kutetea hawa wabunge waasi inahitaji uwe Na moyo mgumu sana kwa kweli.
 
Niliandika hapa siku si nyingi, kwamba chadema itaingia kwenye wiki mbili ngumu mno. Naona yameaza kutokea. Mwenyekiti anapaswa mawazo yake yawe shirikishi, huwezi kutoa maamuzi kama vile unaowaongoza ni watoto wa nursery...
Kuwatetea kina silinde unahitaji uwe Na moyo Mkuu sana ule Ni usaliti, hats kama wangefanya wabunge Wa CCM ingekuwa hivo.
 
Nimeipata hii kutoka Hai

Video nzima wanamsifia Magufuli eti USA wanamuiga!!

Kwanini wasingestick kumkosoa Mbowe tu ila wanafanya comparison na utendaji wa magufuli. Yaani wanapinga lockdown huku wanasifia SGR!! kuna correlation hapo?

Kwenye partial lockdown ilishakua suggested kuwa relief itolewe whether kwenye kodi au watu wapewe direct incentives kutoka kwenye reserve ya nchi.
Sasa hiyo njaa wangekufa lini? Siku 14?

By the way ule ni ushauri tu na ndio kazi ya KUB kuleta mawazo mbadala ila yasigeuzwe eti kumpinga Rais. Na ndio maana nkasema hawa wamepewa tu wasome hyo barua ila hawakuelewa kabisa suggestion ya Mbowe otherwise wasingeita eti KUMPINGA MAGUFULI!!!

Hzi ni cheap propaganda
 
Back
Top Bottom