Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chadema ni chama kinachosimamia misingi yake , Lwakatare yote aliyotendewa na ccm na Chadema kumuokoa kwa gharama kubwa , leo amesahau ! hakika laana hii haitamuacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No, huna ushahidi wowote; just pure speculations, na haisaidii chama chako kisiasa. Hiyo clip unayodai "niliyosambaza" siyo kwamba haina credibility bali ni video inayowahusu ya watanzania wa kawaida sana huko vijijini ambao ni wapiga kura pia; hao siyo movie actors.Kusambaza taarifa isiyo credible na ww unakuwa kwenye hyo chain mkuu!!
Mimi siwezi kuleta video ya watu 10 kuwakilisha maoni ya JF nzima sio kutenda haki kabisa kwa Mbowe.
Mainstream media ingefaa zaidi sio vi-blog uchwara, tijifunze kuleta credible sources humu...
Dk Slaa ndiye aliyekuwa mashine ya chama wengine wote walikuwa Wanatembele nyota yake, tokea atoke pale chadema haijawahi kusimama. Huo ndio ukweli ingawa wengine hawataki kukubaliana hili. Mungu ibariki TanzaniaHii ni kweli kabisa,ila alikuwa na mvuto kwa vijana na wasomi.Kuna watu walifikiri akitoka wata fix nafas yake kirahisi,pigo lingine ni kuondoka kwa Dr.Slaa,
1. Hakuna aliyebagua ila ukiskiliza utagundua hawana uelewa wowote kuhusu lockdown, ni wapi Mbowe alisema wafungiwe ndani ili wafe njaa?No, huna ushahidi wowote; just pure speculations, na haisaidii chama chako kisiasa. Hiyo clip unayodai "niliyosambaza" siyo kwamba haina credibility bali ni video inayowahusu ya watanzania wa kawaida sana huko vijijini ambao ni wapiga kura pia; hao siyo movie actors...
Nji hii, siyo? Arawa umesema kwe, kweli!Hawezi kufuta Upinzani maana upo kulingana na KATIBA na SHERIA za nji hii. Nyie endeleeni kumshangilia Magufuli wenu akiendelea KUSIGINA KATIBA lakini ipo siku atalipia haya maovu anaowafanyia Watz! Jiulize Al- Bashir wa Sudan Yuko wapi leo?
Wamejiongeza wenyewe huko ama CCM au NCCR. Walishaamua kuondoka Chadema. Hakuna Chama kinaweza kuvumilia ujinga walioufanya. Wao wangeendelea kuhudhuria vikao vya bunge bila kuwananga viongozi wao. Kulikuwa na sababu gani ya kuwakebehi akina Mbowe?Naona wamepanga kuwaongezea NCCR wagombea!
Dah!...siasa za hii nchi ni pasua kichwa.NCCR -MAGEUZI wao walishaahidiwa wabunge 20 ili waweze kuunda kambi rasmi ya upinzani Bungeni!!!
chadema imejengwa Kwa jasho na damu ya watanzania pamoja na kodi zetu, lazima tuhumie tuvyoona chama kinaporomoka Kwa kasi ya ajabu wakati tuliamini wanaweza kuwa mbadala wa ccm. Mungu ibariki TanzaniaNinachoshangaa ni chadema kufukuza wanachama wake halafu wanaccm wakaumia.
Kinachowauma wanaccm na kuanza kuropokwa ovyo ni nini hasa?
Mkuu Membe alitumbuliwa sababu alitaka urais hilo liko wazi ila hawa wanatumbuliwa kwa utovu wa nidhamu tofautisha hayo masuala.Naangalia michango ya makamanda huku nikilinganisha na yale waliyosema alipovuliwa uanachama Mh. Bernad Membe!
Hivi makamanda huwa mnajielewa kweli?
I can't be a great thinker of trivial things!1. Hakuna aliyebagua ila ukiskiliza utagundua hawana uelewa wowote kuhusu lockdown, ni wapi Mbowe alisema wafungiwe ndani ili wafe njaa?
They are not credible because they are not making informed decisions, hvi kweli Trump amesema anamuiga Magufuli? Hyo ease ya lockdown pamoja na mchanganuo wake ndio unaofanywa na Magufuli? Then unatala tuseme ni credible?...
Kwa nini Membe alifukuzwa?Huu sio uamuzi halali na ni kuwaonea watu ambao walikuwa wanawawakilisha wananchi wao kihalali. Na kwa mantiki hii spika hawezi kukubali huu uhuni.
Trivial wakati una muda wa kupost video za propaganda ya wazee illiterates humu?I can't be a great thinker of trivial things!
Hahahaha jamaa ivi chadema wanakulipa sh ngapiCHADEMA ni chama makini sana!!
Hawajawalamba bakora 12 @ hao wasalitiUonevu gani bwashee?!
Una wish iwe hivyo. Lol, Haitokei na CDM itaendelea kuwa tishio kwenu.Maamuzi magumu ni mwenyekiti kukaa pembeni ili kukiokoa chama kinyume na hapo Ni bure tu